< Amos 3 >

1 “You people of Israel, I brought all your ancestors out of Egypt; so listen to what I am saying about you.
Sikieni neno la Yahwe aliloongea juu yenu, watu wa Israeli, juu ya familia nzima ambayo niliwatoa kutoka nchi ya Misri,
2 From all the people-groups on the earth, I [chose and] took care of only you. That is the reason that I will punish you for the sins that you have committed.”
“Nimewachagua ninyi tu kutoka familia zote za dunia. Kwa hiyo nitawaadhibu kwa dhambi zenu zote.”
3 Two [people] certainly cannot [RHQ] walk together if they have not [already] agreed [about what place they will start walking from].
Je wawili wanaweza kutembea pamoja isipokuwa wamekubaliana?
4 A lion certainly does not [RHQ] roar in the bushes/forest if it has not killed another animal. It does not [RHQ] growl in its den if it is not eating [the flesh of an animal that it has caught].
Je simba huunguruma msituni wakati hakuna mawindo? Je mwana simba ataunguruma kutoka pangoni mwake kama hajakamata kitu?
5 No one can [RHQ] catch a bird if [he does] not [set] a trap for it. A trap does not spring shut unless some [animal] has not sprung the trap.
Je ndege ataanguka kwenye mtego aridhini wakati hakuna chambo kimewekwa kwa ajili yake? Je mtego utafyatuka juu aridhini wakati hakuna kitu cha kukamata?
6 [Similarly, all] the people in a city certainly [RHQ] become afraid when [they hear someone] blowing a trumpet [to signal that enemies are attacking]. And when a city experiences disaster, Yahweh is the one who has caused it [RHQ].
Je tarumbeta itapigwa mjini na watu wasitetemeke? Je janga laweza kuja mjini lisiyoletwa na Yahwe?
7 And whatever Yahweh plans to do, he tells his prophets about it.
Hakika Bwna Yahwe hatafanya kitu vinginevyo amewafunulia mpango watumishi wake manabii.
8 Everyone certainly becomes terrified [RHQ] when they hear a lion roar, and if Yahweh the Lord has given messages [to prophets like me], we certainly must [RHQ] proclaim those messages, [even if they cause people to become terrified].
Simba ameshaunguruma; nani hatoogopa? Bwana Yahwe amekwisha ongea; nani hatotabiri?
9 [I said this to the leaders of Samaria] (OR, [Yahweh said this to me]): Send this message to the leaders [MET] in Ashdod [city] and to Egypt: “Come to the hills of Samaria and see [the way that their (leaders/wealthy people)] are causing people in that city to be terrified, and [the way that they] are causing the people to suffer!”
Tangaza hii katika ngome huko Ashdodi, na katika ngome za nchi ya Misri; sema, “Kusanyikeni kwenye milima ya Samaria na oneni vile mchafuko ulivyomkubwa kwake, na ukandamizaji uliopo katika yeye.
10 Yahweh says that the people there do not know how to do things that are right. Their homes are filled with [valuable things] that they have stolen or [taken] violently [from others].
Kwa kuwa hawajui jinsi ya kufanya haki -hivi ndivyo Yahwe asemavyo- hao watunzao nguvu na uharibifu katika ngome zao.”
11 So Yahweh [our] God says that [soon] their enemies will come and tear down their (defenses/high city walls) and take away those valuable things.
Kwa hiyo, hivi ndivyo Yahwe asemavyo, “Adui ataizunguka nchi. Atazivuta chini nguvu zako na ngome zenu zitatekwa nyara.”
12 Yahweh has declared this: “When a lion attacks a sheep, [sometimes] a shepherd will be able to snatch from the lion’s mouth only two legs or an ear of the sheep. Similarly, [only] a few people from Samaria will escape, and [they will be able to rescue only] a part of a couch and a part of a bed.”
Hivi ndivyo Yahwe asemavyo,” Kama mchungaji aokoavyo miguu miwili tu kwenye mdomo wa simba, au kipande cha sikio, ndivyo wana wa Israeli watakavyookolewa wale waishio katika Samaria, pamoja na pembe ya kulalia, au pembe ya kitanda.”
13 The Commander of the armies of angels said this: “Proclaim [this message] about the descendants [MTY] of Jacob:
Sikieni na kushudia juu ya nyumba ya Yakobo -hivi ndivyo Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi,
14 When I, Yahweh, punish [the people of] Israel because of the sins that they have committed, I will cause the altars at Bethel [town] to be destroyed; even the projections at the corners of the altars will be cut off and fall to the ground.
“Kwa kuwa katika siku ambayo nimeadhibu dhambi za Israeli, pia nitaziadhibu madhabahu za Betheli. Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka chini.
15 I will cause the houses [that they live in during] the (winter/rainy season) and those [in which they live during] the (summer/dry season) to be torn down. [Beautiful] big houses and houses [that are decorated] with ivory will be destroyed. [That will surely happen because I], Yahweh, have said it!”
Nitaiharibu nyumba ya baridi pamoja na nyumba ya hari. Nyumba za pembe zitaangamia, na nyumba kubwa zitatoweka, -hivi ndivyo Yahwe asemavyo.”

< Amos 3 >