< 2 Timothy 2 >
1 You [are like a] son to me. So I urge also that you [let God] empower you [spiritually] as a result of Christ Jesus acting kindly toward you.
Kwa hiyo, wewe mwanangu, utiwe nguvu katika neema iliyondani ya Kristo Yesu.
2 [As you do that], remembering that [the message] that you heard from me is the same message that other people have affirmed/declared to you, you must entrust/give that message to people whom you can trust, people who will be competent/able/qualified to teach others.
Na mambo uliyoyasikia kwangu miongoni mwa mashahidi wengi, uyakabidhi kwa watu waaminifu ambao wataweza kuwafundisha wengine pia.
3 Endure as I do what we suffer for Christ Jesus, like a good soldier [endures what he suffers].
Shiriki mateso pamoja nami, kama askari mwema wa Kristo Yesu.
4 [You know that] soldiers, in order to please their captain, do not (become involved in civilian affairs/spend time doing other kinds of work) [MET]. [So, like soldiers, do not let other matters (distract you as you serve/hinder you from serving]) [Christ Jesus]!
Hakuna askari atumikae wakati huo huo akijihusisha na shughuli za kawaida za maisha haya, ili kwamba ampendeze ofisa wake mkuu.
5 [Similarly, you know that] athletes who do not obey the rules of the contest will not be given {not win} the prize [MET]. [So, like athletes, do all that Christ Jesus has commanded so that God will reward you]!
Pia kama mtu akishindana kama mwanariadha, hatapewa taji asiposhindana kwa kufuata kanuni.
6 [You also know that] a hard-working farmer should be the first to receive some of the harvest [MET]. [So, like farmers, work hard for Christ Jesus and expect that God will reward you]!
Ni Muhimu kwamba mkulima mwenye bidii awe wa kwanza kupokea mgao wa mazao yake.
7 Think about what I have just written, because, [if you do], the Lord will enable you to understand everything [that you need to understand].
Tafakari kuhusu nisemacho, kwa maana Bwana atakupa uelewa katika mambo yote.
8 [Endure everything by] remembering how Jesus Christ [endured it when he suffered]. Remember that he came back to life {God raised him from the dead} and [God affirmed/declared him to be king as] his ancestor [King] David was. Those are things that I tell to people when I tell them the message [about Christ].
Mkumbuke Yesu Kristo, kutoka uzao wa Daudi, ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu. Hii ni kulingana na ujumbe wangu wa Injili,
9 I am suffering [here in prison] because [some people oppose] the good message [that I tell]. They have even put me in chains as if I were a criminal. Nevertheless, the message from God is not chained {nothing is preventing [MET] [others from proclaiming] the message from God}.
ambao kwa sababu ya huo ninateswa hata kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi kwa minyororo.
10 Therefore I [willingly] endure all [that I am suffering] for the sake of those [whom God has] chosen. [I do this] in order that Christ Jesus will save them, too, and that they will be forever with [him in the] glorious [place where he is]. (aiōnios )
Kwa hiyo, navumilia mambo yote kwa ajili ya wale ambao Mungu amekwishawachagua, ili kwamba nao pia waupate wokovu ulio katika Kristo Yesu pamoja na utukufu wa milele. (aiōnios )
11 [Endure everything as you remember] that these words [that we all say/sing] (OR, [that we teach people]) [are trustworthy]: Since we have stopped behaving as we did in the past, as though we died when he died, we shall also live with him.
Usemi huu ni wakuaminika: “Ikiwa tumekufa pamoja naye, tutaishi pamoja naye pia,
12 Since we are also patiently enduring what we suffer, we shall also rule with him. But if we say that we do not know him, he also will say that he does not know us.
kama tukivumilia, tutatawala pamoja naye pia, kama tukimkana yeye, naye pia atatukana sisi.
13 If we (are unfaithful/stop doing what he tells us to do), he will treat us just like he promised to do, because he (can never be untrue to himself/always does what he says that he will do).
kama hatutakuwa waaminifu, yeye atabaki kuwa mwaminifu, maana hawezi kujikana mwenyewe.”
14 [Those whom you appointed to teach others] God’s truth, keep reminding them about these things that [I have told you]. Tell them strongly that, since God knows what they are doing (OR, that God [will judge them for everything that is wrong that they do, and therefore]) they must not quarrel (about words/about matters that are not important), [because, when teachers quarrel, it helps] no one, [and because, when they quarrel, they spiritually] destroy those who hear them (OR, they cause those who hear [them to] quit (being committed [to Christ]/believing [in Christ]).)
Endelea kuwakumbusha juu ya mambo haya. Waonye mbele za Mungu waache kubishana kuhusu maneno. Kwa sababu hakuna manufaa katika jambo hili. Kutokana na hili kuna uharibifu kwa wale wanaosikiliza.
15 (Do your best/Try hard) to be the kind of person that God will approve of. [Be like a] good worker as you teach the true message accurately. If a worker works well, he will not need to be ashamed of (OR, will be pleased about) [what he does].
Fanya bidii kujionesha kuwa umekubalika kwa Mungu kama mtenda kazi asiye na sababu ya kulaumiwa. Litumie neno la kweli kwa usahihi.
16 (Stay away from/Do not talk with) [those who talk foolishly and] ([godlessly/say things that displease God]), because [those who talk foolishly] will become even more (ungodly/displeasing to God),
Jiepushe na majadiliano ya kidunia, ambayo huongoza kwa zaidi na zaidi ya uasi.
17 and [because] their message will [harm people] [SIM] [like] gangrene/cancer does. [You know] Hymenaeus and Philetus. They are [two] such people [who talk in this manner].
Majadiliano yao yatasambaa kama donda ndugu. Miongoni mwao ni Himenayo na Fileto.
18 [Specifically], they teach a wrong message; [that is], they say [wrongly that God will not cause dead people to live again because] he has already given us [spiritual] life. [They claim that our spiritual life is the only new life that we will receive. By saying that], they cause some people
Hawa ni watu walioukosa ukweli. Wanasema ya kuwa ufufuo tayari umishatokea. Wanapindua imani ya baadhi ya watu.
19 not to continue to believe [in Christ]. However, [the congregations of] God are strong [MET]. [They are like] a strong foundation on which is written: “The Lord knows the people who really belong to him,” and “Every person who calls Jesus [MTY] ‘Lord’ must stop doing wicked things”.
Hata hivyo, msingi imara wa Mungu unasimama, wenye uandishi huu, “Bwana anawajua walio wake, na kila alitajaye jina la Bwana ni lazima ajitenge na udhalimu.”
20 In a wealthy person’s house there are not only utensils made of gold and of silver, but also utensils made of wood and of clay. The gold and silver [utensils are used] at special [occasions/events], and the others are used at ordinary [occasions. Similarly, in a congregation there are those who] ([are ready/desire]) [to do great things for the Lord Jesus, and there are those like the teachers of false doctrines/teachings who are not].
Kwenye nyumba ya kitajiri, siyo kwamba vimo vyombo vya dhahabu na shaba tu. Pia kuna vyombo vya miti na udongo. Baadhi ya hivi ni kwa ajili ya matumizi ya heshima na baadhi yake ni kwa matumizi yasiyo ya heshima.
21 Therefore, those who rid themselves of [what is evil in their lives] will be able to [work well for the Lord. They will be like] utensils [MET] used at special [occasions], set apart for and especially useful to the owner [of the big house. They will be like fine utensils] that have been prepared {are ready} to do any kind of good work.
Ikiwa mtu atajitakasa mwenyewe kutoka kwenye matumizi yasiyo ya heshima, yeye ni chombo chenye kuheshimika. Ametengwa maalumu, mwenye manufaa kwa Bwana, na ameandaliwa kwa kila kazi njema.
22 [Because of that], you [(sg)] must avoid doing the wrong actions that [many] young people desire to do. Instead, you must earnestly do right actions, believe [the true teaching], love [God and others, and you must continually be at] peace with those who ask the Lord [to help them and who are] pure in every way (OR, who serve [Jesus] faithfully).
Zikimbie tamaa za ujanani. Ukifuata haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.
23 Do not talk [with anyone who] foolishly [wants] to argue about matters that are not important. [Do not talk with them], because you know that [when people talk about foolish things], they begin to quarrel.
Lakini ukatae upumbavu na maswali ya kipuuzi. Kwani unajua ya kuwa huzaa ugomvi.
24 But those who serve the Lord must not quarrel. Instead, they should be kind to all people, they should be able to teach [God’s truth well], and they should be patient [with people].
Mtumishi wa Bwana hapaswi kugombana, badala yake inampasa kuwa mpole kwa watu wote, awezaye kufundisha, na mvumilivu.
25 [That is, they should] gently instruct/teach people who oppose [the true message. They should do that] in order that perhaps God will cause others to completely change what they think, so that they may acknowledge/believe the true [message].
Ni lazima awaelimishe kwa upole wale wampingao. Yamkini Mungu aweze kuwapatia toba kwa kuifahamu kweli.
26 In that way they may get free from [what is like] [MET] a trap [set by] the devil. The devil has deceived them in order that [they might do] what he wants [them to do].
Waweze kupata ufahamu tena na kuepuka mtego wa Shetani, baada ya kuwa wametekwa na yeye kwa ajili ya mapenzi yake.