< 2 Samuel 8 >
1 Some time later, David’s army attacked the Philistia [army] and defeated them. They took control over the entire Philistia area.
ikawa baada ya haya Daudi aliwashambulia Wafilisti na kuwashinda. Hivyo Daudi akaichukua Gathi na vijiji vyake kutoka katika mamlaka ya wafilisti.
2 David’s army also defeated the army of the Moab people-group. David forced their soldiers to lie down on the ground [close to each other]. His men killed two out of every three of them. The [other] Moab people [were forced to] accept David as their ruler, and they were forced to give to him [every year the] payment/tax [that he demanded].
Kisha akaishinda Moabu na akawapima watu wake kwa mstari kwa kuwafanya walale chini juu ya ardhi. Alipima mistari miwili ya kuua, na mstari mmoja kamili kuwahifadhi hai. Hivyo Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakaanza kumlipa kodi.
3 David’s army also defeated [the army of] Hadadezer, the son of Rehob, who ruled [the state of] Zobah [in Syria]. That happened when David went to rule again over the area at [the upper part of] the Euphrates River.
Kisha Daudi akamshinda Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, Hadadezeri aliposafiri kuurudisha ufalme wake katika mto Frati.
4 David’s army captured 1,700 of Hadadezer’s soldiers who rode on horses, and 20,000 of his other soldiers. They also crippled/hamstrung most of the horses that pulled the chariots, but they left/spared enough horses to [pull] 100 chariots.
Daudi aliteka magari 1, 700 ya farasi na askari ishirini elfu waendao kwa miguu. Daudi akawakata miguu farasi wa magari, lakini akahifadhi wakutosha magari mia moja.
5 When [the army of] Syria came from Damascus [city] to help King Hadadezer’s [army], David’s soldiers killed 22,000 of them.
Wakati Washami wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadeziri mfalme wa Soba, Daudi akaua katika Washami watu ishirini na mbili elfu.
6 Then David stationed (groups of his soldiers/army camps) in their area, and the people of Syria were forced to accept David as their ruler, and to give to David’s government [every year] the payment/tax that he demanded. And Yahweh enabled David’s [army] to win victories wherever they went.
Daudi akaweka ngome huko Shamu ya Dameski, na Washami wakawa watumishi wake na wakaleta kodi. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alikokwenda.
7 David’s soldiers took the gold shields that were carried by Hadadezer’s officials, and brought them to Jerusalem.
Daudi akachukua ngao za dhahabu walizokuwa nazo watumishi wa Hadadezeri naye akazileta Yerusalemu.
8 They also brought [to Jerusalem] a lot of bronze [that they found] in Betah and Berothai, two cities that King Hadadezer [had previously] ruled.
Mfalme Daudi akachukua shaba nyingi kutoka Beta na Berosai, miji ya Hadadezeri.
9 When Toi, the king of the Hamath [city in Syria], heard that David’s [army] had defeated the entire army of King Hadadezer,
Wakati Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,
10 he sent his son Joram to greet King David and to (congratulate him/say that he was happy) about his army defeating Hadadezer’s army, which Toi’s [army] had fought many times. Joram brought to David many items/gifts made from gold, silver, and bronze.
Tou akamtuma Hadoramu mwanawe kwa mfalme Daudi kumpa salamu na kumbariki, kwa kuwa Daudi alikuwa amepigana na Hadadezeri na kumshinda, maana Hadadezeri alikuwa amepiga vita dhidi ya Tou. Hadoramu akaja pamoja na vitu vya fedha, dhahabu, na shaba.
11 King David dedicated all those items to Yahweh. He also dedicated the silver and gold which his army had taken from the nations that they had conquered.
Mfalme Daudi akaviweka wakfu vitu hivi kwa ajili ya Yahwe, pamoja na fedha na dhahabu kutoka katika mataifa yote aliyokuwa ameyashinda-
12 They had taken items from the Edom people-group and the Moab people-group, from the Ammon people-group, from the Philistia people, and from [the descendants of] Amalek, as well as from the people that Hadadezer [previously] ruled.
kutoka Shamu, Moabu, Waamoni, Wafilist, Waamaleki, pamoja na nyara zote alizoziteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.
13 When David returned [after defeating the armies of Syria], he became more famous because his army killed 18,000 soldiers from the Edom people-group in the Salt Valley [near the Dead Sea].
Jina la Daudi likajulikana sana alipowashinda washami katika bonde la Chumvi, pamoja na watu wao wapatao elfu kumi na nane.
14 David stationed (groups of his soldiers/army camps) throughout the Edom area, and forced the people there to accept him as their king. Yahweh enabled David’s [army] to win battles wherever they went.
Akaweka ngome katika Edomu yote, na Waedomu wote wakawa watumishi wake. Yahwe akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.
15 David ruled over all the Israeli people, and he always did for them what was fair and just.
Daudi akatawala juu ya Israeli yote, naye akatenda kwa haki na usawa kwa watu wote.
16 Joab was the army commander; Jehoshaphat, the son of Ahilud, was the man who reported to the people everything that David decided that they should do;
Yoabu mwana wa Seruya alikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mwenye kuandika taarifa.
17 Zadok the son of Ahitub and Ahimelech the son of Abiathar were the priests; Seraiah was the official secretary;
Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Seraya alikuwa mwandishi.
18 Benaiah the son of Jehoiada was the commander of (David’s bodyguards/the men who protected the king); and David’s sons were priests (OR, his administrators/advisors).
Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.