< 2 Kings 12 >

1 When Jehu had been ruling Israel for almost seven years, Joash became the king of Judah. He ruled in Jerusalem for 40 years. His mother was Zibiah, from Beersheba [city].
Katika mwaka wa saba wa Yehu, utawala wa Yoashi ulianza; alitawala kwa mda wa miaka arobaini huko Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Sibia, wa Beersheba.
2 All his life, he did what pleased Yahweh, because Jehoiada the priest instructed/taught him.
Yoashi akafanya yaliyo mema usoni mwa Yahwe siku zote, kwa sababu Yehoyada kuhani alimfundisha.
3 But the places where the people worshiped [Yahweh] on the tops of hills were not destroyed, and they continued to offer sacrifices and burn incense at those places, [instead of at the place that God had chosen for them in Jerusalem].
Lakini sehemu ya juu haikuchukuliwa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kuchoma ubani kwenye sehemu za juu.
4 Joash said to the priests, “You must take all the money which the people contribute, both the money they are required to give and the money that they themselves decide to give, as sacred offerings to buy things for the temple.
Yoashi akamwambia kuhani, “Pesa zote zilizokuja kama sadaka takatifu kwenye nyumba ya Yahwe, pesa ya matumizi pesa ya watu kadiri alivyoandikiwa kila mtu, na pesa yote aonayo moyoni mwake kuileta kwenye nyumba ya Yahwe-
5 Each priest must take the money from people who know him (OR, from one of the treasurers), and he must use that money to repair the temple whenever he sees that there is something that needs to be repaired.”
makuhani watapokea pesa kutoka miongoni mwa mmoja wa watunza pesa na kutengeneza kila sehemu itakayoonekana imeharibika kwenye hekalu.”
6 But after Joash had been ruling for almost twenty-three years, the priests still had not repaired anything in the temple.
Lakini kama mwaka wa ishirini na tatu wa mfalme Yoashi, makuhani hawakuwa wameandaa kitu chochote kwenye hekalu.
7 So Joash summoned Jehoiada and the other priests and said to them, “(Why are you not repairing things in the temple?/You should have been repairing things in the temple!) [RHQ] From now on, you must not keep the money that you receive from people who know you (OR, the treasurers). You must give it to the people who will be repairing things in the temple!”
Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na kuhani mwingine; akawaambia, “Kwa nini hamjaandaa kitu chochote kwenye hekalu? Sasa msichukue tena pesa kutoka kwa walipa kodi wenu, lakini chukueni kile kilichokuwa kikikusanywa kwa ajili ya matengenezo ya hekalu na uwapatia wale wanaoweza kufanya matengenezo.
8 The priests agreed to do that, and they also agreed that they themselves would not do the repair work.
Hivyo makuhani wakakubaliana wasichukue pesa tena kutoka kwa watu na wasitengeneze wenyewe.
9 Then Jehoiada took a chest and bored a hole in the lid. He placed it alongside the altar [for burning incense/sacrifices] that was on the right as anyone enters the temple. The priests who guarded the entrance to the temple put in the box the money that was brought to the temple.
Badala yake, Yehoyada yule kuhani akachukua kasha, akatoboa tundu kwenye kifuniko chake, na kuliweka karibu na madhabahu, upande wa kulia kama mtu anaingia kwenye madhabahu ya Yahwe. Makuhani ambao walikuwa wakilinda mlango wa hekalu wakatumbukiza pesa zote ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe.
10 Whenever they saw that there was a lot of money in the chest, the king’s secretary and the Supreme Priest would come and count the money. Then they would put it in bags and tie the bags shut.
Ikawa walipoona kwamba kulikuwa na pesa za kutosha kwenye kasha, mwadishi wa mfalme na kuhani mkuu wakaja na kuweka pesa kwenye mifuko na kisha kuhesabu, pesa ikaonekana kwenye nyumba ya Yahwe.
11 Then, after they weighed it, they would give the money to the men who supervised the work in the temple. Then the supervisors would use that money to pay the carpenters and builders who did the repair work in the temple,
Wakawapa pesa ambayo ilikuwa imepimwa kwenye mikono ya watu ambao waliokuwa wanatunza nyumba ya Yahwe. Wakawalipa mafundi seremala na wajenzi ambao walikuwa wemefanya kazi kwenye nyumba ya Yahwe,
12 and the masons and the stone cutters. Also with some of that money they bought timber and stones that had been cut to be used in the repair work, and to pay all the other expenses for the repair work.
na waashi na wakata mawe, kwa ajili ya kununua mbao na kukata mawe kwa ajili ya kutengenezea nyumba ya Yahwe, na yote iliyokuwa inahitajika kulipwa kwa ajili ya kuitengeneza.
13 But they did not use any of that money [to pay men] to make silver cups or wick trimmers or bowls or trumpets or any other items made of silver or gold to be used in the temple.
Lakini ile pesa iliyokuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe haikulipwa kwa ajili ya vikombe vya fedha, mabeseni, au dhahabu au fedha yoyote ya vyombo.
14 All that money was given to the men who were doing the work of repairing the temple.
Waliwapa hizi fedha wale ambao waliokuwa wamefanya kazi ya kutengeneza nyumba ya Yahwe.
15 The men who supervised the work always did things honestly, so the king’s secretary and the Supreme Priest never required that the supervisors report what they had spent the money for.
Pia, hakukuhitajika zile pesa zilipwe kwa ajili ya matengenezo ili kuwajibika kwa kuwa watu walizipokea nakuzilipa kwa watenda kazi, kwa sababu hawa watu walikuwa waadilifu.
16 But the money that people gave to pay for the wrong things that they had done and the money they gave to purify themselves because of the sins that they had committed was not put in the chest. That money belonged to the priests.
Lakini pesa kwa ajili ya matoleo ya hatia na pesa kwa ajili ya matoleo ya dhambi hazikuwa zimeletwa kwenye hekalu la Yahwe, kwa sababu zilikuwa mali ya makuhani.
17 At that time, Hazael, the king of Syria, went [with his army] and attacked Gath [city] and conquered it. Then he decided that they would attack Jerusalem.
Kisha Hazaeli mfalme wa Shamu akashambuliwa na kupigana dhidi ya Gathi, na kuichukua.
18 So Joash, the king of Judah, took all the money that the previous kings, Jehoshaphat and Jehoram and Ahaziah, had dedicated to Yahweh. He added some of his own money, and all the gold that was in the rooms in the temple where valuable things were kept/stored, and the gold in his palace, and sent it all to King Hazael, [to (appease him/persuade him to not attack Jerusalem)]. So King Hazael [took his army] away from Jerusalem.
Ndipo Hazaeli akageuka kuishambulia Yerusalemu. Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vitu vyote ambavyo Yehoshefati na Yehoramu na Ahazia, baba zake, wafalme wa Yuda, na kuviweka wakfu, na vile alivyokuwa ameviweka wakfu, na dhahabu zote zilizokuwa zimeonekana kwenye gala la nyumba ya Yahwe na la mfalme akawatuma kwenda kwa Ahazi mfalme wa Shamu. Kisha Hazaeli akaenda zake kutoka Yerusamu.
19 [If you want to read more of] what Joash did, [it] is all written [RHQ] in the scroll called ‘The History of the Kings of Judah’.
Kama mambo mengine yanayomuhusu Yoashi, yote aliyoyafanya, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
20 Joash’s officials plotted against him, and two of them killed Joash on the road that goes down to [the] Silla [district]. The two men who did that were Jozabad, the son of Shimeath, and Jehozabad, the son of Shomer. Joash was buried in the place where his ancestors were buried, [in the part of Jerusalem called] ‘The City of David’. Then Joash’s son Amaziah became the king of Judah.
Watumishi wake wakainuka na kupanga pamoja; wakamteka Yoashi katika Bethi Milo, kwenye njia ya kushukia kwa Sila.
Yozakari mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri, watumishi wake, wakamshambulia na akafa. Wakamzika Yoashi pamoja na mababu zake katika mji wa Daudi, na Amazia, mtoto wake, akawa mfalme kwenye sehemu yake.

< 2 Kings 12 >