< 1 Chronicles 11 >

1 Then the people of Israel came to David at Hebron [town] and said to him, “Listen, we have the same ancestors [IDM] that you have.
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
2 In the past, when Saul was our king, it was you who led our Israeli [soldiers in our battles]. You are the one to whom Yahweh our God promised, ‘You will be the leader [MET] of my people; you will be their king.’”
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
3 So all the Israeli elders came to David at Hebron. And David made a sacred agreement with them while Yahweh was listening. They anointed him [with olive oil to set him apart] to be the king of the Israeli people. That is what Yahweh had previously told [the prophet] Samuel would happen.
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
4 David and all the Israeli [soldiers] [SYN] went to Jerusalem. [At that time, ] Jerusalem was called Jebus, and the people who lived there were the Jebus people-group.
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
5 Those people said to David, “Your [soldiers] will not be able to get inside our city!” But David’s [soldiers] captured the city, even though it had strong walls around it, and since then it has been called ‘The City of David’.
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
6 [What happened was this: ]: David said [to his soldiers], “The one who leads [our soldiers] to attack the Jebus people-group will become the commander of all my army.” Joab, the son of Zeruiah, led the soldiers, so he became the commander of all the army.
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
7 [After they captured] the city which had strong walls around it, David moved there. That is why they named it ‘The City of David’.
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
8 David’s workers rebuilt the city, starting where the land was filled in and extending to the wall that was around the city. Joab’s [men] repaired the other parts of the city.
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
9 David became more and more powerful/influential, because the Almighty Commander of the armies of angels was with/helping him.
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
10 Yahweh had promised [that David would become the king]. And all the Israeli people (were happy that David was/supported David as) their king. There were many soldiers/warriors who helped David’s kingdom to remain strong.
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
11 This is a list of the leaders of David’s [most mighty] warriors: Jashobeam was from the Hacmon clan. He was one of the leaders of David’s most powerful soldiers. One time he fought against 300 enemies and killed them all with his spear.
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
12 Another one was Eleazar, who was the son of Dodo from the clan of Ahoh.
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
13 [One day] he was with David at Pas Dammim when the soldiers of Philistia gathered there for the battle. There was a field of barley there. At first the Israeli soldiers ran away from the soldiers of Philistia,
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
14 but then David and Eleazar stopped in the middle of the field and fought to defend it and killed [many of] the soldiers of Philistia. Yahweh enabled them to win a great victory on that day.
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
15 One time three of David’s thirty most mighty warriors came to David when he was camping next to the huge rock outside the cave near Adullam. At that same time, the army of Philistia had camped in the Rephaim Valley.
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
16 David was in a fortress, and some of the soldiers of Philistia were occupying Bethlehem.
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
17 [One day] David was very thirsty and said, “I wish that someone would bring me some water from the well near the gate at Bethlehem!”
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
18 So those three most outstanding warriors forced their way through the camp of Philistia soldiers and drew some water from the well, and brought it to David. But he would not drink it. Instead, he poured it out [on the ground to be an offering] to Yahweh.
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
19 He said, “Yahweh, it would certainly not be right for me to drink this water! That would be like [RHQ] drinking the blood of these men who were willing/ready to die for me!” So he refused to drink it. That was one of the things that those three most outstanding warriors did.
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
20 Joab’s [younger] brother Abishai was the leader of the 30 most mighty warriors. [One time] Abishai fought 300 [enemy] soldiers with his spear and killed them.
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
21 So he became as famous as those three most outstanding warriors. He became their commander, even though he was not one of those three men.
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
22 Jehoiada’s son Benaiah was a brave soldier from Kabzeel [town] who did heroic deeds. He killed two of the best warriors from [the] Moab [people-group]. One day he went down into a pit when snow was falling [on the ground] and killed a lion there.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
23 He also killed a soldier from Egypt who was (7-1/2 feet/2.3 meters) tall. The soldier from Egypt carried a spear that was as long as a weaver’s rod. Benaiah had [only] a club, but he grabbed the other man’s spear and killed him with it.
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
24 Those are some of the things that Benaiah did. So he became as famous as the three mighty warriors.
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
25 He was more honored than the other members of the group of thirty most mighty warriors, but he did not become a member of the group of three most outstanding warriors. David appointed him to be the leader of his bodyguards.
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
26 These are the names of David’s mighty warriors: Asahel, the [younger] brother of Joab; Elhanan, the son of Dodo, from Bethlehem;
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
27 Shammah, from [the] Harod [clan]; Helez, from [the] Pelon [clan];
Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
28 Ira, the son of Ikkesh, from Tekoa [town]; Abiezer, from Anathoth [city];
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
29 Sibbecai, from Hushah’s [clan]; Ilai from Ahoh’s clan;
Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
30 Maharai, from Netophah [town]; Heled, the son of Baanah, also from Netophah [town];
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
31 Ithai, the son of Ribai, from Gibeah [town] in [the land that belonged to] the tribe of Benjamin; Benaiah, from Pirathon [town];
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
32 Hurai, from the valleys near Gaash [Mountain]; Abiel from the clan of Arabah;
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
33 Azmaveth, from Baharum [town]; Eliahba, from Shaalbon [town];
Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34 The sons of Hashem from [the] Gizon [clan]; Jonathan the son of Shagee from the Harar [town/clan];
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
35 Ahiam the son of Sharar/Sacar, from Harar [town/clan]; Eliphal the son of Ur;
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
36 Hepher from the Mekerath [clan]; Ahijah from the Pelon [clan/town];
Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
37 Hezro from Carmel [city]; Naarai the son of Ezbai;
Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
38 Joel the [younger] brother of Nathan; Mibhar the son of Hagri;
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
39 Zelek from the Ammon people-group; Naharai, the man who carried Joab’s weapons, from Beeroth [town];
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
40 Ira and Gareb from Jattir [town];
Ira Mithire, Garebu Mithire,
41 Uriah, [Bathsheba’s husband], from the Heth people-group; Zabad the son of Ahlai;
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
42 Adina the son of Shiza, a leader from the tribe of Reuben, who had thirty [soldiers] with him;
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
43 Hanan the son of Maacah; Joshaphat from Mithna [town/clan];
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
44 Uzzia from Ashterath [town]; Shama and Jeiel, the sons of Hotham, from Aroer [city];
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
45 Jediael the son of Shimri and his [younger] brother Joha, from Tiz [town/clan];
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
46 Eliel from Mahavah [town/clan]; Jeribai and Joshaviah, the sons of Elnaam; Ithmah from [the] Moab [region];
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
47 Eliel and Obed, and Jaasiel from Zobah [town/clan].
Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.

< 1 Chronicles 11 >