< Psalms 74 >
1 Maskil to/for Asaph to/for what? God to reject to/for perpetuity be angry face: anger your in/on/with flock pasturing your
Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
2 to remember congregation your to buy front: old to redeem: redeem tribe inheritance your mountain: mount Zion this to dwell in/on/with him
Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
3 to exalt [emph?] beat your to/for desolation perpetuity all be evil enemy in/on/with holiness
Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
4 to roar to vex you in/on/with entrails: among meeting your to set: make sign: indicator their sign: indicator
Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
5 to know like/as to come (in): bring to/for above [to] in/on/with thicket tree axe
Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
6 (and now *Q(K)*) engraving her unitedness in/on/with axe and axe to smite [emph?]
Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
7 to send: burn in/on/with fire sanctuary your to/for land: soil to profane/begin: profane tabernacle name your
Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
8 to say in/on/with heart their to oppress them unitedness to burn all meeting God in/on/with land: country/planet
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
9 sign: miraculous our not to see: see nothing still prophet and not with us to know till what?
Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10 till how God to taunt enemy to spurn enemy name your to/for perpetuity
Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11 to/for what? to return: return hand your and right your from entrails: among (bosom: garment your *Q(K)*) to end: destroy
Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12 and God king my from front: old to work salvation in/on/with entrails: among [the] land: country/planet
Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 you(m. s.) to split in/on/with strength your sea to break head serpent: monster upon [the] water
Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 you(m. s.) to crush head Leviathan to give: give him food to/for people: creatures to/for wild beast
Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 you(m. s.) to break up/open spring and torrent: river you(m. s.) to wither river strong
Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 to/for you day also to/for you night you(m. s.) to establish: establish light and sun
Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 you(m. s.) to stand all border land: country/planet summer and autumn you(m. s.) to form: formed them
Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18 to remember this enemy to taunt LORD and people foolish to spurn name your
Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19 not to give: give to/for living thing soul turtledove your community afflicted your not to forget to/for perpetuity
Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20 to look to/for covenant for to fill darkness land: country/planet habitation violence
Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21 not to return: turn back crushed be humiliated afflicted and needy to boast: praise name your
Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22 to arise: rise [emph?] God to contend [emph?] strife your to remember reproach your from foolish all [the] day
Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23 not to forget voice: sound to vex you roar to arise: attack you to ascend: rise continually
Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.