< Psalms 141 >

1 melody to/for David LORD to call: call to you to hasten [emph?] to/for me to listen [emph?] voice my in/on/with to call: call to I to/for you
Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
2 to establish: make prayer my incense to/for face: before your tribute palm my offering evening
Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
3 to set: make [emph?] LORD guard to/for lip my to watch [emph?] upon door lips my
Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
4 not to stretch heart my to/for word: because bad: evil to/for to abuse wantonness in/on/with wickedness with man to work evil: wickedness and not to feed on in/on/with delicacy their
Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
5 to smite me righteous kindness and to rebuke me oil head not to forbid head my for still and prayer my in/on/with distress: evil their
Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6 to release in/on/with hand: bank crag to judge them and to hear: hear word my for be pleasant
Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7 like to cleave and to break up/open in/on/with land: country/planet to scatter bone our to/for lip hell: Sheol (Sheol h7585)
Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
8 for to(wards) you (YHWH/God *L(ah+b)*) Lord eye my in/on/with you to seek refuge not to uncover soul: myself my
Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
9 to keep: guard me from hand: power snare to snare to/for me and snare to work evil: wickedness
Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
10 to fall: fall in/on/with net his wicked unitedness I till to pass
Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.

< Psalms 141 >