< Numbers 3 >

1 and these generation Aaron and Moses in/on/with day to speak: speak LORD with Moses in/on/with mountain: mount Sinai
Sasa hii ndiyo historia ya uzao wa Haruni na Musa wakati BWANA aliposema na Musa kwenye mlima Sinai.
2 and these name son: child Aaron [the] firstborn Nadab and Abihu Eleazar and Ithamar
Majina ya watoto wa Haruni walikuwa Nadabu ambaye ndiyo mtoto wa kwanza, na Abihu, na Eliezeri, na Ithamari.
3 these name son: child Aaron [the] priest [the] to anoint which to fill hand: donate their to/for to minister
Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni, makuhani waliokuwa wamepakwa mafuta na kuwekwa wakfu kutumika kama makuhani.
4 and to die Nadab and Abihu to/for face: before LORD in/on/with to present: bring they fire be a stranger to/for face: before LORD in/on/with wilderness (Wilderness of) Sinai and son: child not to be to/for them and to minister Eleazar and Ithamar upon face: before Aaron father their
Lakini Nadabu na Abihu walikufa mbele ya BWANA walipomtolea moto usiokubalika walipokuwa katika nyika ya Sinai. Nadabu na Abihu hawakuwa na watoto, kwa hiyo Eliazari na Ithamari walitumika kama makuhani pamoja na baba yao.
5 and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
BWANA alinena na Musa, akamwambia,
6 to present: bring [obj] tribe Levi and to stand: stand [obj] him to/for face: before Aaron [the] priest and to minister [obj] him
“Walete kabila ya Lawi na uwaweke kwa Haruni kuhani ili wamsaidie
7 and to keep: guard [obj] charge his and [obj] charge all [the] congregation to/for face: before tent meeting to/for to serve: minister [obj] service: ministry [the] tabernacle
Nao lazima wafanye majukumu badala ya Haruni na jumuiya yote mbele ya hema ya kukutania. Lazima watumike hemani.
8 and to keep: guard [obj] all article/utensil tent meeting and [obj] charge son: descendant/people Israel to/for to serve: minister [obj] service: ministry [the] tabernacle
Watayatunza mapambo ya hema ya kukutania, na watawatumikia makabila ya Israel kwa huduma ya hemani.
9 and to give: give [obj] [the] Levi to/for Aaron and to/for son: child his to give: give to give: give they(masc.) to/for him from with son: descendant/people Israel
Uwaweke Walawi kwa Haruni na watoto wake. Nimewatoa kikamilifu ili wamsaidie kuwatumikia watu wa Israel.
10 and [obj] Aaron and [obj] son: child his to reckon: overseer and to keep: guard [obj] priesthood their and [the] be a stranger [the] approaching to die
Umchague Haruni na watoto wake kuwa makuhani, lakini mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe.”
11 and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
BWANA alinena na Musa. akamwambia,
12 and I behold to take: take [obj] [the] Levi from midst son: descendant/people Israel underneath: instead all firstborn firstborn womb from son: descendant/people Israel and to be to/for me [the] Levi
“Tazama, nimewachagua Walawi katika watu wa Israel. Nimefanya hivyo badala ya kuchukua mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wana wa Israel. Hawa Walawi ni wangu.
13 for to/for me all firstborn in/on/with day to smite I all firstborn in/on/with land: country/planet Egypt to consecrate: consecate to/for me all firstborn in/on/with Israel from man till animal to/for me to be I LORD
Na hata wazaliwa wa kwanza ni mali yangu. Katika siku ambyo niliwavamia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, Niliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli kwa ajili yangu, watu na wanyama pia. Ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.”
14 and to speak: speak LORD to(wards) Moses in/on/with wilderness (Wilderness of) Sinai to/for to say
BWANA alinena na Musa katika nyika ya Sinai. Akasema,
15 to reckon: list [obj] son: child Levi to/for house: household father their to/for family their all male from son: aged month and above [to] to reckon: list them
“Wahesabu uzao wa Lawi katika kila familia, katika nyumba za koo zao. Hesabu kila mume kuanzia mwezi mmoja au zaidi.”
16 and to reckon: list [obj] them Moses upon lip: word LORD like/as as which to command
Musa aliwahesabu, kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
17 and to be these son: child Levi in/on/with name their Gershon and Kohath and Merari
Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
18 and these name son: child Gershon to/for family their Libni and Shimei
Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei.
19 and son: child Kohath to/for family their Amram and Izhar Hebron and Uzziel
Ukoo uliotokana na watoto Kohathi walikuwa ni Amramu na, Izihari, Hebroni, na Uzieli.
20 and son: child Merari to/for family their Mahli and Mushi these they(masc.) family [the] Levi to/for house: household father their
Ukoo uliotokana na watoto wa Merari walikuwa ni Mahili na Mushi. Hizi ndizo koo za Walawi, zilizoorodheshwa ukoo kwa ukoo.
21 to/for Gershon family [the] Libnite and family [the] Shimeite these they(masc.) family [the] Gershonite
Koo za Walibini na Washimei zilitokana na Wagerishoni. Hizi ndizo koo za Wagerishoni.
22 to reckon: list their in/on/with number all male from son: aged month and above [to] to reckon: list their seven thousand and five hundred
Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
23 family [the] Gershonite after [the] tabernacle to camp sea: west [to]
Koo za Wagerishoni watapanga upande wa magharibi wa hema.
24 and leader house: household father to/for Gershonite Eliasaph son: child Lael
Eliasafu mwana wa Laeli ataongoza koo za uzao wa Wagerishoni.
25 and charge son: child Gershon in/on/with tent meeting [the] tabernacle and [the] tent covering his and covering entrance tent meeting
Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania.
26 and curtain [the] court and [obj] covering entrance [the] court which upon [the] tabernacle and upon [the] altar around and [obj] cord his to/for all service: ministry his
Wataulinda ua, lile pazia la kwenye lango—ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
27 and to/for Kohath family [the] Amramite and family [the] Izharite and family [the] Hebronite and family [the] Uzzielite these they(masc.) family [the] Kohathite
Koo zifuatazo zinatokana na Kohathi: ukoo wa Waamrami, ukoo wa Waizihari ukoo wa Wahebroni, na ukoo wa Wauzieli. Koo hizi zinatokana na Wakohathi.
28 in/on/with number all male from son: aged month and above [to] eight thousand and six hundred to keep: guard charge [the] holiness
Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
29 family son: child Kohath to camp upon thigh [the] tabernacle south [to]
Familia ya uzao wa Kohathi watapanga upande wa kusini wa Hema.
30 and leader house: household father to/for family [the] Kohathite Elizaphan son: child Uzziel
Elizafani mwana wa Uzieli ndiye atakayeongoza ukoo wa Wakohathi.
31 and charge their [the] ark and [the] table and [the] lampstand and [the] altar and article/utensil [the] holiness which to minister in/on/with them and [the] covering and all service: ministry his
Watalilinda sanduku, meza, vikalishio vya taa, madhabahu, vitu vitakatifu ambvyo hutumika katika huduma yao, pazia, na kazi zote zinazoambatana na hema.
32 and leader leader [the] Levi Eleazar son: child Aaron [the] priest punishment to keep: guard charge [the] holiness
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza wanaume wanaowaongoza Walawi. Atawasimamia wanaume wanaongoza eneo takatifu.
33 to/for Merari family [the] Mahlite and family [the] Mushite these they(masc.) family Merari
Koo mbili zimetoka kwa Merari: Ukoo wa Mahili na ukoo wa Mushi. Koo hizi zimetokana na Merari,
34 and to reckon: list their in/on/with number all male from son: aged month and above [to] six thousand and hundred
Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
35 and leader house: household father to/for family Merari Zuriel son: child Abihail upon thigh [the] tabernacle to camp north [to]
Zurieli mwana wa Abihaili ataongoza ukoo wa Merari. Hawa watapanga upande wa kaskazini mwa hema.
36 and punishment charge son: child Merari board [the] tabernacle and bar his and pillar his and socket his and all article/utensil his and all service: ministry his
Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika,
37 and pillar [the] court around and socket their and peg their and cord their
na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.
38 and [the] to camp to/for face: before [the] tabernacle east [to] to/for face: before tent meeting east [to] Moses and Aaron and son: child his to keep: guard charge [the] sanctuary to/for charge son: descendant/people Israel and [the] be a stranger [the] approaching to die
Musa na Haruni na watoto wake watapanga upande wa mashariki wa masikani, mbele ya hema ya kukutania kuelekea mawio ya jua. Wao wataajibika na majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya wana wa Israeli. Mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe.
39 all to reckon: list [the] Levi which to reckon: list Moses and Aaron upon lip: word LORD to/for family their all male from son: aged month and above [to] two and twenty thousand
Musa na Haruni wakawahesabu wanaume wote wa ukoo wa Walawi walikuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi, kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Walihesabu wanaume ishirini na mbili elfu.
40 and to say LORD to(wards) Moses to reckon: list all firstborn male to/for son: descendant/people Israel from son: aged month and above [to] and to lift: count [obj] number name their
BWANA alisema na Musa, “Wahesabu wanaume wote ambo ni wazaliwa wa kwanza wa Israeli ambao wana umri wa mwezi mmoja na zaidi. Orodhesha majina yao.
41 and to take: take [obj] [the] Levi to/for me I LORD underneath: instead all firstborn in/on/with son: descendant/people Israel and [obj] animal [the] Levi underneath: instead all firstborn in/on/with animal son: descendant/people Israel
Unitwalie walawi kwa ajili yangu badala ya wazaliwa wa kwanza wa Israeli, Mimi ndimi BWANA. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa wanyama wa uzao wa Israeli,”
42 and to reckon: list Moses like/as as which to command LORD [obj] him [obj] all firstborn in/on/with son: descendant/people Israel
Musa akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli kama BWANA alivyomwagiza kufanya.
43 and to be all firstborn male in/on/with number name from son: aged month and above [to] to/for to reckon: list their two and twenty thousand three and seventy and hundred
Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
44 and to speak: speak LORD to(wards) Moses to/for to say
Tena BWANA alinena na Musa. Akasema,
45 to take: take [obj] [the] Levi underneath: instead all firstborn in/on/with son: descendant/people Israel and [obj] animal [the] Levi underneath: instead animal their and to be to/for me [the] Levi I LORD
“Watwae Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa wana wa Israeli. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wanyama wa Waisreli wengine. Walawi ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.
46 and [obj] ransomed [the] three and [the] seventy and [the] hundred [the] to remain upon [the] Levi from firstborn son: descendant/people Israel
Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi.
47 and to take: take five five shekel to/for head in/on/with shekel [the] holiness to take: take twenty gerah [the] shekel
Utazitumia hizo shekeli tano kwa kipimo cha mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera ishirini.
48 and to give: give [the] silver: money to/for Aaron and to/for son: child his ransomed [the] to remain in/on/with them
Utawalipa hizo shekeli za wokovu kwa Haruni na wanawe.”
49 and to take: take Moses [obj] silver: money [the] redemption from with [the] to remain upon ransomed [the] Levi
Kwa hiyo Musa akakusanya shakeli za wokovu kutoka kwa wale waliozidi idadi ya wale waliookolewa na Walawi.
50 from with firstborn son: descendant/people Israel to take: take [obj] [the] silver: money five and sixty and three hundred and thousand in/on/with shekel [the] holiness
Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
51 and to give: give Moses [obj] silver: money ([the] ransomed *Q(k)*) to/for Aaron and to/for son: child his upon lip: word LORD like/as as which to command LORD [obj] Moses
Musa akafanya kila kitu alichoagizwa na neno la BWANA kama BWANA alivyomwagiza.

< Numbers 3 >