< Nehemiah 7 >
1 and to be like/as as which to build [the] wall and to stand: stand [the] door and to reckon: overseer [the] gatekeeper and [the] to sing and [the] Levi
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 and to command [obj] Hanani brother: male-sibling my and [obj] Hananiah ruler [the] palace upon Jerusalem for he/she/it like/as man truth: faithful and to fear: revere [obj] [the] God from many
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 (and to say *Q(K)*) to/for them not to open gate Jerusalem till to warm [the] sun and till they(masc.) to stand: appoint to shut [the] door and to grasp and to stand: appoint charge to dwell Jerusalem man: anyone in/on/with custody his and man: anyone before house: home his
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 and [the] city broad: wide hand: spacious and great: large and [the] people little in/on/with midst her and nothing house: home to build
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 and to give: put God my to(wards) heart my and to gather [emph?] [obj] [the] noble and [obj] [the] ruler and [obj] [the] people to/for to enroll and to find scroll: book [the] genealogy [the] to ascend: rise in/on/with first and to find to write in/on/with him
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 these son: descendant/people [the] province [the] to ascend: rise from captivity [the] captivity which to reveal: remove Nebuchadnezzar king Babylon and to return: return to/for Jerusalem and to/for Judah man: anyone to/for city his
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 [the] to come (in): come with Zerubbabel Jeshua Nehemiah Azariah Raamiah Nahamani Mordecai Bilshan Mispereth Bigvai Nehum Baanah number human people Israel
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 son: descendant/people Parosh thousand hundred and seventy and two
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 son: descendant/people Shephatiah three hundred seventy and two
Wana wa Shefatia, 372.
10 son: descendant/people Arah six hundred fifty and two
Wana wa Ara, 652.
11 son: descendant/people Pahath-moab Pahath-moab to/for son: descendant/people Jeshua and Joab thousand and eight hundred eight ten
Wana wa Pahath Moabu,
12 son: descendant/people Elam thousand hundred fifty and four
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 son: descendant/people Zattu eight hundred forty and five
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 son: descendant/people Zaccai seven hundred and sixty
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 son: descendant/people Binnui six hundred forty and eight
Wana wa Binnui, 648.
16 son: descendant/people Bebai six hundred twenty and eight
Wana wa Bebai, 628.
17 son: descendant/people Azgad thousand three hundred twenty and two
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 son: descendant/people Adonikam six hundred sixty and seven
Wana wa Adonikamu, 667.
19 son: descendant/people Bigvai thousand sixty and seven
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 son: descendant/people Adin six hundred fifty and five
Wana wa Adini, 655.
21 son: descendant/people Ater to/for Hezekiah ninety and eight
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 son: descendant/people Hashum three hundred twenty and eight
Wana wa Hashumu, 328.
23 son: descendant/people Bezai three hundred twenty and four
Wana wa Besai, 324.
24 son: descendant/people Hariph hundred two ten
Wana wa Harifu, 112.
25 son: descendant/people Gibeon ninety and five
Wana wa Gibeoni, 95.
26 human Bethlehem Bethlehem and Netophah hundred eighty and eight
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 human Anathoth hundred twenty and eight
Watu wa Anathothi, 128.
28 human Beth-azmaveth Beth-azmaveth forty and two
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 human Kiriath-jearim Kiriath-jearim Chephirah and Beeroth seven hundred forty and three
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 human [the] Ramah and Geba six hundred twenty and one
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 human Michmash hundred and twenty and two
Watu wa Mikmasi, 122.
32 human Bethel Bethel and [the] Ai hundred twenty and three
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 human Nebo another fifty and two
Watu wa Nebo, 52.
34 son: descendant/people Elam another thousand hundred fifty and four
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 son: descendant/people Harim three hundred and twenty
Watu wa Harimu, 320.
36 son: descendant/people Jericho three hundred forty and five
Watu wa Yeriko, 345.
37 son: descendant/people Lod Hadid and Ono seven hundred and twenty and one
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 son: descendant/people Senaah three thousand nine hundred and thirty
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 [the] priest son: descendant/people Jedaiah to/for house: household Jeshua nine hundred seventy and three
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 son: descendant/people Immer thousand fifty and two
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 son: descendant/people Pashhur thousand hundred forty and seven
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 son: descendant/people Harim thousand seven ten
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 [the] Levi son: descendant/people Jeshua to/for Kadmiel to/for son: descendant/people to/for Hodevah seventy and four
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 [the] to sing son: descendant/people Asaph hundred forty and eight
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 [the] gatekeeper son: descendant/people Shallum son: descendant/people Ater son: descendant/people Talmon son: descendant/people Akkub son: descendant/people Hatita son: descendant/people Shobai hundred thirty and eight
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 [the] temple servant son: descendant/people Ziha son: descendant/people Hasupha son: descendant/people Tabbaoth
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 son: descendant/people Keros son: descendant/people Siaha son: descendant/people Padon
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 son: descendant/people Lebanah son: descendant/people Hagaba son: descendant/people Shalmai
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 son: descendant/people Hanan son: descendant/people Giddel son: descendant/people Gahar
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 son: descendant/people Reaiah son: descendant/people Rezin son: descendant/people Nekoda
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 son: descendant/people Gazzam son: descendant/people Uzza son: descendant/people Paseah
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 son: descendant/people Besai son: descendant/people Meunim son: descendant/people (Nephushesim *Q(K)*)
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 son: descendant/people Bakbuk son: descendant/people Hakupha son: descendant/people Harhur
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 son: descendant/people Bazluth son: descendant/people Mehida son: descendant/people Harsha
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 son: descendant/people Barkos son: descendant/people Sisera son: descendant/people Temah
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 son: descendant/people Neziah son: descendant/people Hatipha
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 son: descendant/people servant/slave Solomon son: descendant/people Sotai son: descendant/people Sophereth son: descendant/people Peruda
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 son: descendant/people Jaalah son: descendant/people Darkon son: descendant/people Giddel
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 son: descendant/people Shephatiah son: descendant/people Hattil son: descendant/people Pochereth-hazzebaim Pochereth-hazzebaim son: descendant/people Amon
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 all [the] temple servant and son: descendant/people servant/slave Solomon three hundred ninety and two
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 and these [the] to ascend: rise from Tel-melah Tel-melah Tel-harsha Tel-harsha Cherub Addon and Immer and not be able to/for to tell house: household father their and seed: children their if from Israel they(masc.)
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 son: descendant/people Delaiah son: descendant/people Tobiah son: descendant/people Nekoda six hundred and forty and two
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 and from [the] priest son: descendant/people Habaiah son: descendant/people Hakkoz son: descendant/people Barzillai which to take: marry from daughter Barzillai [the] Gileadite woman: wife and to call: call by upon name their
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 these to seek writing their [the] to enroll and not to find and to defile from [the] priesthood
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 and to say [the] governor to/for them which not to eat from holiness [the] holiness till to stand: appoint [the] priest to/for Urim and Thummim
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 all [the] assembly like/as one four ten thousand thousand three hundred and sixty
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 from to/for alone: besides servant/slave their and maidservant their these seven thousand three hundred thirty and seven and to/for them to sing and to sing hundred
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 (horse their seven hundred thirty and six mule their hundred *R*) and forty and five
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 camel four hundred thirty and five donkey six thousand seven hundred and twenty
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 and from end head: leader [the] father to give: give to/for work [the] governor to give: give to/for treasure gold drachma thousand bowl fifty tunic priest thirty and five hundred
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 and from head: leader [the] father to give: give to/for treasure [the] work gold drachma two ten thousand and silver: money mina thousand and hundred
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 and which to give: give remnant [the] people gold drachma two ten thousand and silver: money mina thousand and tunic priest sixty and seven
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 and to dwell [the] priest and [the] Levi and [the] gatekeeper and [the] to sing and from [the] people and [the] temple servant and all Israel in/on/with city their and to touch [the] month [the] seventh and son: descendant/people Israel in/on/with city their
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”