< Luke 12 >
1 in/on/among which to gather the/this/who myriad the/this/who crowd so to trample one another be first to say to/with the/this/who disciple it/s/he first to watch out themself away from the/this/who leaven who/which to be hypocrisy the/this/who Pharisee
Kwa wakati huo, maelfu mengi ya watu walikusanyika pamoja, kiasi cha kuanza kukanyagana, akaanza kusema na wanafunzi wake kwanza, “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki”
2 none then to conceal to be which no to reveal and hidden which no to know
Na hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa, wala jambo lililofichwa ambalo halitajulikana.
3 for which just as/how much in/on/among the/this/who darkness to say in/on/among the/this/who light to hear and which to/with the/this/who ear to speak in/on/among the/this/who inner room to preach upon/to/against the/this/who housetop
Na lolote mlilolisema katika giza, litasikiwa katika mwanga. Na yoyote mliyoyasema kwenye sikio ndani ya vyumba vyenu vya ndani vilivyofungwa yatatangazwa juu ya paa la nyumba.
4 to say then you the/this/who friendly/friend me not to fear away from the/this/who to kill the/this/who body and with/after this/he/she/it not to have/be more excessive one to do/make: do
Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili na kisha hawana kitu kingine cha kufanya,
5 to show then you which? to fear to fear the/this/who with/after the/this/who to kill to have/be authority to throw in toward the/this/who hell: Gehenna yes to say you this/he/she/it to fear (Geenna )
Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna )
6 not! five sparrow (to sell *N(k)O*) assarion two and one out from it/s/he no to be to forget before the/this/who God
Je shomoro watano hawauzwi kwa sarafu mbili? hata hivyo hakuna hata mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu.
7 but and the/this/who hair the/this/who head you all to number not (therefore/then *K*) to fear much sparrow to spread/surpass
Lakini mjue kuwa, nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa. Msiogope. Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
8 to say then you all which if (to confess/profess *NK(o)*) in/on/among I/we before the/this/who a human and the/this/who son the/this/who a human to confess/profess in/on/among it/s/he before the/this/who angel the/this/who God
Ninawaambia, yeyote atakayenikiri Mimi mbele za watu, Mwana wa Adamu atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
9 the/this/who then to deny me before the/this/who a human to deny before the/this/who angel the/this/who God
Lakini yeyeyote atakayenikana mbele za watu naye atakanwa mbele ya Malaika wa Mungu.
10 and all which to say word toward the/this/who son the/this/who a human to release: forgive it/s/he the/this/who then toward the/this/who holy spirit/breath: spirit to blaspheme no to release: forgive
Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu, hatasamehewa.
11 when(-ever) then (to bring in *N(k)O*) you upon/to/against the/this/who synagogue and the/this/who beginning and the/this/who authority not (to worry *N(k)O*) how! or which? to defend oneself or which? to say
Watakapowapeleka mbele za wakuu wa masinagogi, watawala, na wanye mamlaka, msiogope juu na namna ya kuongea katika kujitetea au nini mtakachosema,
12 the/this/who for holy spirit/breath: spirit to teach you in/on/among it/s/he the/this/who hour which be necessary to say
kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha namna mtakavyosema kwa wakati huo.”
13 to say then one out from the/this/who crowd it/s/he teacher to say the/this/who brother me to divide with/after I/we the/this/who inheritance
Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu.”
14 the/this/who then to say it/s/he a human which? me to appoint/conduct (judge *N(k)O*) or arbiter upon/to/against you
Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu?
15 to say then to/with it/s/he to see: see and to keep/guard: protect away from (all *N(k)O*) greediness that/since: since no in/on/among the/this/who to exceed one the/this/who life (it/s/he *NK(o)*) to be out from the/this/who be already (it/s/he *N(k)O*)
Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo.”
16 to say then parable to/with it/s/he to say a human one rich be fruitful the/this/who country
Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana,
17 and to discuss in/on/among themself to say which? to do/make: do that/since: since no to have/be where? to assemble the/this/who fruit me
na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu?
18 and to say this/he/she/it to do/make: do to take down me the/this/who storehouse and great to build and to assemble there all (the/this/who grain *N(k)O*) (me *k*) and the/this/who good me
Akasema, nitafanya hivi. Nitavunja ghala zangu ndogo na kujenga iliyo kubwa, na kuyahifadhi mazao yangu yote na vitu vingine.
19 and to say the/this/who soul me soul to have/be much good to lay/be appointed toward year much to give rest to eat to drink to celebrate
Nitaiambia nafsi yangu, “Nafsi, umejiwekea akiba ya vitu vingi kwa miaka mingi. Pumzika, ule, unywe na kustarehe.”
20 to say then it/s/he the/this/who God foolish this/he/she/it the/this/who night the/this/who soul you (to demand *NK(o)*) away from you which then to make ready which? to be
Lakini Mungu akamwambia, ewe mtu mpumbavu, usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako, na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nini?
21 thus(-ly) the/this/who to store up themself and not toward God be rich
Ndivyo itakavyokuwa kwa kila mtu anayejiwekea mali na si kujitajirisha kwa ajili ya Bwana.
22 to say then to/with the/this/who disciple it/s/he through/because of this/he/she/it to say you not to worry the/this/who soul: life (you *k*) which? to eat nor the/this/who body (you *o*) which? to put on
Yesu akawaambia wanafunzi wake, Kwa hiyo nawaambia msihofu juu ya maisha yenu ya kuwa mtakula nini au juu ya miili yenu ya kuwa mtavaa nini
23 the/this/who (for *no*) soul: life greater to be the/this/who food and the/this/who body the/this/who clothing
Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
24 to observe the/this/who raven that/since: that no to sow nor to reap which no to be inner room nor storehouse and the/this/who God to feed it/s/he how much/many? more you to spread/surpass the/this/who bird
Angalieni ndege wa angani, hawalimi wala hawavuni. Hawana chumba wala ghala ya kuhifadhia, lakini Baba yenu huwalisha. Ninyi si bora zaidi kuliko ndege!
25 which? then out from you to worry be able upon/to/against the/this/who age/height it/s/he to add (to) cubit/hour (one *ko*)
Ni yupi kati yenu ambaye akijisumbua ataweza kuongeza dhiraa moja katika maisha yake?
26 if therefore/then (nor *N(k)O*) least be able which? about the/this/who remaining to worry
Ikiwa basi hamuwezi kufanya hicho kitu kidogo kilicho rahisi kwa nini basi kusumbukia hayo mengine?
27 to observe the/this/who lily how! to grow no to labor nor to spin to say then you nor Solomon in/on/among all the/this/who glory it/s/he to clothe as/when one this/he/she/it
Angalieni maua -yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayasokoti. Lakini nawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya,
28 if then in/on/among (the/this/who *ko*) field the/this/who grass to be today and tomorrow toward oven to throw: throw the/this/who God thus(-ly) (to dress *N(k)O*) how much/many? more you of little faith
Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni, ambayo leo yapo, na kesho hutupwa kwenye moto. Je si zaidi atawavika ninyi? enyi wa imani haba!
29 and you not to seek which? to eat (and *N(k)O*) which? to drink and not to worry
Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini, wala msiwe na hofu.
30 this/he/she/it for all the/this/who Gentiles the/this/who world (to seek after *N(k)O*) you then the/this/who father to know that/since: that to need this/he/she/it
Kwa kuwa Mataifa yote ya dunia husumbukia mambao yao. Na Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji hayo.
31 but/however to seek the/this/who kingdom (the/this/who *k*) (it/s/he *N(K)O*) and this/he/she/it (all *K*) to add (to) you
Lakini tafuteni ufalme wake kwanza, na hayo mengine mtazidishiwa,
32 not to fear the/this/who small flock that/since: since to delight the/this/who father you to give you the/this/who kingdom
msiogope, enyi kundi dogo, kwa sababu Baba yenu anafurahia kuwapa ninyi huo ufalme.
33 to sell the/this/who be already you and to give charity to do/make: appoint themself purse not to make old treasure inexhaustible in/on/among the/this/who heaven where(-ever) thief no to come near nor moth to destroy
Uzeni mali zenu na mkawape maskini, mjifanyie mifuko isiyoishiwa hazina ya mbinguni isiyokoma, sehemu ambapo wezi hawatakaribia wala nondo haitaweza kuharibu.
34 where(-ever) for to be the/this/who treasure you there and the/this/who heart you to be
Kwa kuwa palipo na hazina yako, ndipo na roho yako itakapokuwepo.
35 to be you the/this/who loins to gird and the/this/who lamp to kindle/burn
Nguo zenu ndefu ziwe zimefungwa kwa mkanda, na taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelee kuwaka,
36 and you like a human to wait for/welcome the/this/who lord: master themself when? (to depart *N(k)O*) out from the/this/who wedding in order that/to to come/go and to knock immediately to open it/s/he
na muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao kutoka kwenye sherehe ya harusi, ili kwamba akija na kupiga hodi, wataweze kumfungulia mlango kwa haraka.
37 blessed the/this/who slave that which to come/go the/this/who lord: master to find/meet to keep watch amen to say you that/since: that to gird and to recline it/s/he and to pass by to serve it/s/he
Wamebarikiwa wale watumishi, ambao Bwana atawakuta wako macho. Hakika atafunga nguo yake ndefu kwa mkanda, kisha atawaketisha chini kwa chakula, na kisha kuwahudumia.
38 and if (to come/go *k*) in/on/among the/this/who secondly (prison/watch: watch *k*) (and if *N(k)O*) in/on/among the/this/who third prison/watch: watch to come/go and to find/meet thus(-ly) blessed to be (the/this/who *ko*) (slave *KO*) that
Kama Bwana atakuja kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku, au hata zamu ya tatu ya ulinzi, na kuwakuta wakiwa tayari, itakuwa ni heri kwa hao watumishi.
39 this/he/she/it then to know that/since: that if to perceive: know the/this/who householder what? hour the/this/who thief to come/go no (to keep watch *KO*) (if *K*) (and *KO*) if to release: leave (to break in *N(k)O*) the/this/who house: home it/s/he
Zaidi ya hayo, mjue hili, kama bwana mwenye nyumba angelijua saa ambayo mwivi anakuja, asingeliruhusu nyumba yake ifunjwe.
40 and you (therefore/then *K*) to be ready that/since: since which hour no to think the/this/who son the/this/who a human to come/go
Iweni tayari pia kwani hamjui ni wakati gani mwana wa Adamu atarudi.
41 to say then (it/s/he *k*) the/this/who Peter lord: God to/with me the/this/who parable this/he/she/it to say or and to/with all
Petro akasema, “Bwana, watuambia sisi wenyewe hii mifano, au unamwambia kila mtu?
42 (and *no*) to say (then *k*) the/this/who lord: God which? therefore to be the/this/who faithful manager (the/this/who *N(k)O*) thoughtful which to appoint/conduct the/this/who lord: master upon/to/against the/this/who service it/s/he the/this/who to give in/on/among time/right time the/this/who grain ration
Bwana akawaambia, “Ni nani mtumwa mwaminifu au mwenye hekima ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wengine, ili awagawie chakula chao kwa wakati mwafaka?
43 blessed the/this/who slave that which to come/go the/this/who lord: master it/s/he to find/meet to do/make: do thus(-ly)
Amebarikiwa mtumishi yule, ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya yale aliyoagizwa.
44 truly to say you that/since: that upon/to/against all the/this/who be already it/s/he to appoint/conduct it/s/he
Hakika nawaambia ninyi ya kuwa atamweka juu ya mali yake yote.
45 if then to say the/this/who slave that in/on/among the/this/who heart it/s/he to delay the/this/who lord: master me to come/go and be first to strike the/this/who child and the/this/who maidservant to eat and/both and to drink and to get drunk
Lakini Mtumishi yule akisema moyoni mwake, “bwana wangu anachelewa kurudi; hivyo akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, kisha akaanza kula, kunywa na kulewa,
46 to come/be present the/this/who lord: master the/this/who slave that in/on/among day which no to look for and in/on/among hour which no to know and to cut in two it/s/he and the/this/who part it/s/he with/after the/this/who unbelieving to place
bwana wake yule mtumwa atakuja katika siku asiyotegemea na saa asiyoijua, naye atamkata vipande vipande na kumuweka katika sehemu pamoja na wasiokuwawaaminifu'
47 that then the/this/who slave the/this/who to know the/this/who will/desire the/this/who lord: master (it/s/he *N(k)O*) and not to make ready (or *N(k)O*) to do/make: do to/with the/this/who will/desire it/s/he to beat up much
Mtumishi, anayejua mapenzi ya bwana wake, naye hakujiandaaa wala hakufanya sawa sawa na mapenzi yake, atapigwa viboko vingi.
48 the/this/who then not to know to do/make: do then worthy plague/blow/wound to beat up little/few all then which to give much much to seek from/with/beside it/s/he and which to set before much more excessive to ask it/s/he
Lakini mtumishi asiyejua mapenzi ya bwana wake, lakini akafanya yanayostahili adhabu, atapigwa viboko vichache. Kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake, na yeye aliyeaminiwa kwa vingi, kwake vitadaiwa vingi zaidi.
49 fire to come/go to throw: throw (upon/to/against *N(k)O*) the/this/who earth: planet and which? to will/desire if: if only already to set fire
Nimekuja kuwasha moto duniani, na natamani iwe umekwishawaka,
50 baptism then to have/be to baptize and how! to hold/oppress until (who/which *N(k)O*) to finish
Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa, na nina huzuni mpaka utkapokamilika!
51 to think that/since: that peace to come to give in/on/among the/this/who earth: planet not! to say you but or division
Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani? Hapana, Nawaambieni, badala yake nimeleta mgawanyiko.
52 to be for away from the/this/who now five in/on/among one house: household to divide Three upon/to/against two and two upon/to/against Three
Tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika, na watatu watakuwa kinyume na wawili, na wawili watakuwa kinyume na watatu.
53 (to divide *N(k)O*) father upon/to/against son and son upon/to/against father mother upon/to/against (the/this/who *no*) (daughter *N(k)O*) and daughter upon/to/against (the/this/who *no*) (mother *N(k)O*) mother-in-law upon/to/against the/this/who bride it/s/he and bride upon/to/against the/this/who mother-in-law (it/s/he *k*)
Watagawanyika, baba atakuwa kinyume na mwanae, na mwanae atakuwa kinyume na babaye, mama atakuwa kinyume na binti yake, na binti atakuwa kinyume na mama yake, Mama mkwe atakuwa kinyume na mkwe wake naye mkwe atakuwa kinyume na mama mkwe wake.
54 to say then and the/this/who crowd when(-ever) to perceive: see the/this/who cloud to rise (upon/to/against *N(k)O*) west immediately to say (that/since: that *no*) rainstorm to come/go and to be thus(-ly)
Yesu akawa anawaambia makutano pia, “Mara muonapo mawingu yakitokea magharibi, mnasema nyakati za mvua zimewadia; na ndivyo inavyo kuwa,
55 and when(-ever) south to blow to say that/since: that heat to be and to be
Na upepo wa kusini ukivuma, mnasema, Patakuwepo na joto kali, na ndivyo inavyokuwa.
56 hypocrite the/this/who face the/this/who earth: planet and the/this/who heaven to know to test the/this/who time/right time then this/he/she/it how! no (to know *no*) (to test *N(k)O*)
Enyi wanafiki, mnaweza kutafsiri mwonekano wa nchi na anga, lakini inakuwaje hamuwezi kuutafsiri wakati uliopo?
57 which? then and away from themself no to judge the/this/who just
Ni kwa nini kila mmoja wenu asipambanue lililo sahihi kwake kulifanya wakati ambapo angali na nafasi ya kufanya hivyo?
58 as/when for to go with/after the/this/who opponent you upon/to/against ruler in/on/among the/this/who road to give work to release away from it/s/he not once/when to drag away you to/with the/this/who judge and the/this/who judge you (to deliver *N(k)O*) the/this/who bailiff and the/this/who bailiff you (to throw: put *N(k)(o)*) toward prison/watch: prison
Maana mkienda na mshitaki wako mbele ya hakimu, jitahidi kupatana na mshitaki wako mungali bado mko njiani asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akupeleka kwa ofisa, na ofisa akakutupa gerezani.
59 to say you no not to go out from there until (which *k*) and (the/this/who *N(k)O*) last/least coin to pay
Nakuambia, hutatoka huko hadi umelipa mpaka senti ya mwisho.