< Judges 20 >
1 and to come out: come all son: descendant/people Israel and to gather [the] congregation like/as man one to/for from Dan and till Beersheba Beersheba and land: country/planet [the] Gilead to(wards) LORD [the] Mizpah
Ndipo watu wote wa Israeli wakatoka kama mtu mmoja, toka Dani mpaka Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi; nao wakakusanyika mbele za Bwana huko Mispa.
2 and to stand corner all [the] people all tribe Israel in/on/with assembly people [the] God four hundred thousand man on foot to draw sword
Viongozi wa watu wote, wa kabila zote za Israeli, wakachukua nafasi zao kwenye kusanyiko la watu wa Mungu-watu 400, 000 waendao kwa miguu, ambao walikuwa tayari kupigana na upanga.
3 and to hear: hear son: descendant/people Benjamin for to ascend: rise son: descendant/people Israel [the] Mizpah and to say son: descendant/people Israel to speak: speak how? to be [the] distress: evil [the] this
Basi wana wa Benyamini waliposikia kwamba watu wa Israeli walikuwa wamepanda Mispa. Wana wa Israeli wakasema, “Tuambieni ni kwa namna gani huu uovu umefanyika.”
4 and to answer [the] man [the] Levi man: husband [the] woman [the] to murder and to say [the] Gibeah [to] which to/for Benjamin to come (in): come I and concubine my to/for to lodge
Mlawi, mume wa mwanamke aliyeuawa, akajibu, Nilikuja Gibea katika nchi ya Benyamini, mimi na suria wangu, ili tulale.
5 and to arise: rise upon me master [the] Gibeah and to turn: surround upon me [obj] [the] house: home night [obj] me to resemble to/for to kill and [obj] concubine my to afflict and to die
Wakati wa usiku, viongozi wa Gibea walinishambulia, wakizunguka nyumba na wakakusudia kuniua. Walimkamata na kumbaka suria wangu, naye akafa.
6 and to grasp in/on/with concubine my and to cut her and to send: depart her in/on/with all land: country inheritance Israel for to make: do wickedness and folly in/on/with Israel
Nilimchukua suria wangu na kumkata mwili wake vipande vipande, na kuweka katika kila nchi ya urithi wa Israeli, kwa sababu wamefanya uovu huo na upumbavu katika Israeli.
7 behold all your son: descendant/people Israel to give to/for you word and counsel here
Sasa, ninyi Waisraeli wote, toeni maneno na ushauri wenu hapa.”
8 and to arise: rise all [the] people like/as man one to/for to say not to go: went man: anyone to/for tent his and not to turn aside: depart man: anyone to/for house: home his
Watu wote wakaondoka pamoja kama mtu mmoja, wakasema, Hakuna hata mmoja wetu atakayeenda hemani kwake, wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.
9 and now this [the] word: thing which to make: do to/for Gibeah upon her in/on/with allotted
Lakini sasa hivi ndivyo tutakavyoifanyia Gibea tutaishambulia kama kura inavyotuongoza.
10 and to take: take ten human to/for hundred to/for all tribe Israel and hundred to/for thousand and thousand to/for myriad to/for to take: bring provision to/for people: soldiers to/for to make: do to/for to come (in): come them to/for Gibeah Benjamin like/as all [the] folly which to make: do in/on/with Israel
Tutachukua watu kumi katika mia moja katika makabila yote ya Israeli, na mia moja katika elfu, na elfu moja katika elfu kumi, kuwapa chakula kwa ajili ya watu hawa, ili waweze kufika Gibea katika Benyamini, watawaadhibu kwa uovu wao waliofanya katika Israeli.
11 and to gather all man Israel to(wards) [the] city like/as man one companion
Basi askari wote wa Israeli wakakusanyika juu ya mji, kama mtu mmoja.
12 and to send: depart tribe Israel human in/on/with all tribe Benjamin to/for to say what? [the] distress: evil [the] this which to be in/on/with you
Makabila ya Israeli waliwatuma watu kwa kabila lote la Benyamini, wakisema, “Uovu huu uliofanywa kati yenu ni nini?
13 and now to give: give [obj] [the] human son: type of Belial which in/on/with Gibeah and to die them and to burn: purge distress: evil from Israel and not (be willing son: descendant/people *Q(K)*) Benjamin to/for to hear: hear in/on/with voice brother: compatriot their son: descendant/people Israel
Kwa hiyo, tupeni watu hao waovu wa Gibea, tupate kuwaua, na hivyo tutaondoa kabisa uovu huu kutoka kwa Israeli.” Lakini Wabenyamini hawakusikiliza sauti ya ndugu zao, watu wa Israeli,
14 and to gather son: descendant/people Benjamin from [the] city [the] Gibeah [to] to/for to come out: come to/for battle with son: descendant/people Israel
Ndipo wana wa Benyamini wakakusanyika kutoka mijini kwenda Gibea, wakajiandaa kupigana na wana wa Israeli.
15 and to reckon: list son: descendant/people Benjamin in/on/with day [the] he/she/it from [the] city twenty and six thousand man to draw sword to/for alone: besides from to dwell [the] Gibeah to reckon: list seven hundred man to choose
Watu wa Benyamini wakakusanya kutoka miji yao ili kupigana siku ile, askari elfu ishirini na sita waliopangwa kupigana na upanga. Walakini, kuna watu mia saba waliochaguliwa kutoka kwa wenyeji wa Gibea.
16 from all [the] people: soldiers [the] this seven hundred man to choose lefthanded hand right his all this to sling in/on/with stone to(wards) [the] hair and not to sin
Miongoni mwa askari wote hawa walikuwa watu mia saba waliochaguliwa ambao walikuwa wenye shoto. Kila mmoja wao angeweza kupiga unywele kwa mawe na asikose.
17 and man Israel to reckon: list to/for alone: besides from Benjamin four hundred thousand man to draw sword all this man battle
Watu wa Israeli, bila kuhesabu namba kutoka kwa Benyamini, walikuwa na watu 400, 000 waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga. Wote hawa walikuwa watu wa vita.
18 and to arise: rise and to ascend: rise Bethel Bethel and to ask in/on/with God and to say son: descendant/people Israel who? to ascend: rise to/for us in/on/with beginning to/for battle with son: descendant/people Benjamin and to say LORD Judah in/on/with beginning
Watu wa Israeli waliondoka, wakaenda Betheli, wakaomba ushauri kutoka kwa Mungu. Wakauliza, “Ni nani kwanza atakayewaangamiza watu wa Benyamini kwa ajili yetu?” Bwana akasema, “Yuda atashambulia kwanza.”
19 and to arise: rise son: descendant/people Israel in/on/with morning and to camp upon [the] Gibeah
Watu wa Israeli waliamka asubuhi na wakahamisha kambi yao karibu na Gibea.
20 and to come out: come man Israel to/for battle with Benjamin and to arrange with them man Israel battle to(wards) [the] Gibeah
Watu wa Israeli walikwenda kupigana na Benyamini. Wakaweka nafasi zao za vita dhidi yao huko Gibea.
21 and to come out: come son: descendant/people Benjamin from [the] Gibeah and to ruin in/on/with Israel in/on/with day [the] he/she/it two and twenty thousand man land: soil [to]
Watu wa Benyamini wakatoka Gibea, nao wakawaua watu elfu ishirini na mbili wa jeshi la Israeli siku ile.
22 and to strengthen: strengthen [the] people: soldiers man Israel and to add: again to/for to arrange battle in/on/with place which to arrange there in/on/with day [the] first
Wana wa Israeli walijitia nguvu wenyewe, na wakaunda mstari wa vita mahali pale walipokwisha kuchukua nafasi siku ya kwanza.
23 and to ascend: rise son: descendant/people Israel and to weep to/for face: before LORD till [the] evening and to ask in/on/with LORD to/for to say to add: again to/for to approach: approach to/for battle with son: descendant/people Benjamin brother: compatriot my and to say LORD to ascend: rise to(wards) him
Na wana wa Israeli wakaenda, wakalia mbele za Bwana hata jioni. Walitaka mwongozo kutoka kwa Bwana “Je, tunapaswa kwenda tena kupigana na ndugu zetu, watu wa Benyamini?” Naye Bwana akasema, “Wapigeni!”
24 and to present: come son: descendant/people Israel to(wards) son: descendant/people Benjamin in/on/with day [the] second
Basi watu wa Israeli wakapigana na askari wa Benyamini siku ya pili.
25 and to come out: come Benjamin to/for to encounter: toward them from [the] Gibeah in/on/with day [the] second and to ruin in/on/with son: descendant/people Israel still eight ten thousand man land: soil [to] all these to draw sword
Siku ya pili, Benyamini alitoka kupigana nao kutoka Gibea, nao wakawaua watu wa Israeli elfu kumi na nane. Wote walikuwa watu ambao walijifunza kupigana na upanga.
26 and to ascend: rise all son: descendant/people Israel and all [the] people: soldiers and to come (in): come Bethel Bethel and to weep and to dwell there to/for face: before LORD and to fast in/on/with day [the] he/she/it till [the] evening and to ascend: offer up burnt offering and peace offering to/for face: before LORD
Basi askari wote wa Israeli na watu wote wakaenda Betheli, wakalia, wakakaa mbele za Bwana; nao wakafunga siku hiyo hata jioni, wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
27 and to ask son: descendant/people Israel in/on/with LORD and there ark covenant [the] God in/on/with day [the] they(masc.)
Wana wa Israeli wakamwomba Bwana, - kwa sababu ya sanduku la agano la Mungu lilikuwapo siku hizo;
28 and Phinehas son: child Eleazar son: child Aaron to stand: appoint to/for face: before his in/on/with day [the] they(masc.) to/for to say to add: again still to/for to come out: come to/for battle with son: descendant/people Benjamin brother: compatriot my if to cease and to say LORD to ascend: rise for tomorrow to give: give him in/on/with hand: power your
na Finehasi, mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni, aliyekuwa akihudumia mbele ya sanduku siku hizo. “Je twende vitani tena dhidi ya watu wa Benyamini, ndugu zetu, au tuache?” Bwana akasema, “Wapigeni, kwa maana kesho nitawasaidia kuwashinda.
29 and to set: make Israel to ambush to(wards) [the] Gibeah around
Basi Israeli akaweka watu mahali pa siri karibu na Gibea.
30 and to ascend: rise son: descendant/people Israel to(wards) son: descendant/people Benjamin in/on/with day [the] third and to arrange to(wards) [the] Gibeah like/as beat in/on/with beat
Watu wa Israeli wakapigana na wana wa Benyamini kwa siku ya tatu, nao wakajenga vita vyao juu ya Gibea, kama walivyotangulia.
31 and to come out: come son: descendant/people Benjamin to/for to encounter: toward [the] people: soldiers to tear from [the] city and to profane/begin: begin to/for to smite from [the] people: soldiers slain: killed like/as beat in/on/with beat in/on/with highway which one to ascend: rise Bethel Bethel and one Gibeah [to] in/on/with land: country like/as thirty man in/on/with Israel
Watu wa Benyamini wakaenda kupigana na watu, nao wakachukuliwa mbali na mji. Walianza kuua baadhi ya watu. Kulikuwa na watu thelathini wa Israeli ambao walikufa katika mashamba na barabara. Njia moja ilienda Betheli, na nyingine ikaenda Gibea.
32 and to say son: descendant/people Benjamin to strike they(masc.) to/for face: before our like/as in/on/with first and son: descendant/people Israel to say to flee and to tear him from [the] city to(wards) [the] highway
Ndipo wana wa Benyamini wakasema, “Wameshindwa na wanatukimbia, kama hapo awali.” Lakini askari wa Israeli wakasema, “Hebu tukimbie na kuwavuta mbali na mji hadi barabarani.”
33 and all man Israel to arise: rise from place his and to arrange in/on/with Baal-tamar Baal-tamar and to ambush Israel to burst/come out from place his from Maareh (Maareh)-geba
Watu wote wa Israeli waliondoka kutoka mahali pao na wakajipanga kwa vita huko Baal-Tamari. Basi askari wa Israeli waliokuwa wakijificha mahali pa siri walikimbia kutoka Maare-Geba.
34 and to come (in): come from before to/for Gibeah ten thousand man to choose from all Israel and [the] battle to honor: heavy and they(masc.) not to know for to touch upon them [the] distress: harm
Wakatoka juu ya Gibea watu kumi elfu waliochaguliwa kutoka Israeli yote, na vita vilikuwa kali, lakini Wabenjamini hawakujua kwamba msiba ulikuwa karibu nao.
35 and to strike LORD [obj] Benjamin to/for face: before Israel and to ruin son: descendant/people Israel in/on/with Benjamin in/on/with day [the] he/she/it twenty and five thousand and hundred man all these to draw sword
Bwana akamshinda Benyamini mbele ya Israeli. Siku hiyo, askari wa Israeli waliwauawa watu wa Benyamini 25, 100. Wote hawa waliokufa walikuwa wale waliokuwa wamejifunza kupigana na upanga.
36 and to see: see son: descendant/people Benjamin for to strike and to give: give man Israel place to/for Benjamin for to trust to(wards) [the] to ambush which to set: make to(wards) [the] Gibeah
Basi askari wa Benyamini waliona wameshindwa. Wana wa Israeli walikuwa wametoa ardhi kwa Benyamini, kwa kuwa walikuwa wakihesabu watu waliowaweka katika nafasi zilizofichwa nje ya Gibea.
37 and [the] to ambush to hasten and to strip to(wards) [the] Gibeah and to draw [the] to ambush and to smite [obj] all [the] city to/for lip: edge sword
Ndipo watu waliokuwa wameficha wakainuka na haraka na wakamkimbia Gibea. Nao wakauawa kila mtu aliyeishi mjini kwa upanga wao.
38 and [the] meeting: signal appointed to be to/for man Israel with [the] to ambush to multiply to/for to ascend: rise them tribute [the] smoke from [the] city
Ishara iliyopangwa kati ya askari wa Israeli na watu waliojificha kwa siri itakuwa wingu kubwa la moshi litatokea nje ya mji.
39 and to overturn man Israel in/on/with battle and Benjamin to profane/begin: begin to/for to smite slain: killed in/on/with man Israel like/as thirty man for to say surely to strike to strike he/she/it to/for face: before our like/as battle [the] first
Ishara ilipokuja askari wa Israeli wakageuka kutoka kwenye vita. Basi Benyamini wakaanza kushambulia na wakawaua watu wa Israeli thelathini, wakasema, “Hakika wanapigwa mbele yetu, kama katika vita vya kwanza.”
40 and [the] tribute to profane/begin: begin to/for to ascend: rise from [the] city pillar smoke and to turn Benjamin after him and behold to ascend: rise entire [the] city [the] heaven [to]
Lakini wakati nguzo ya moshi ilipoanza kuinuka nje ya mji, Wabenjamini waligeuka na kuona moshi ukitanda mbinguni kutoka mji mzima.
41 and man Israel to overturn and to dismay man Benjamin for to see: see for to touch upon him [the] distress: harm
Ndipo watu wa Israeli wakawageuka. Wana wa Benyamini waliogopa, kwa sababu waliona kwamba maafa yaliwajia.
42 and to turn to/for face: before man Israel to(wards) way: direction [the] wilderness and [the] battle to cleave him and which from [the] city to ruin [obj] him in/on/with midst his
Basi wakakimbia kutoka kwa wana wa Israeli, kuelekea njia ya jangwani. Lakini vita viliwapata. Askari wa Israeli walitoka mijini na wakawaua pale waliposimama.
43 to surround [obj] Benjamin to pursue him Nohah to tread him till before [the] Gibeah from east sun
Waliwalzungukia wana wa Benjamini na wakawafuata. Nao wakawakanyaga huko Noha, wakawaua mpaka upande wa mashariki wa Gibea.
44 and to fall: kill from Benjamin eight ten thousand man [obj] all these human strength
Kutoka kabila la Benyamini, watu kumi na nane elfu walikufa, wote walikuwa wanaume waliojulikana katika vita.
45 and to turn and to flee [the] wilderness [to] to(wards) crag [the] (Rock of) Rimmon and to glean him in/on/with highway five thousand man and to cleave after him till Gidom and to smite from him thousand man
Wakageuka na kukimbia kuelekea jangwani hadi mwamba wa Rimoni. Waisraeli waliuawa zaidi ya elfu tano kati yao barabarani. Waliendelea kuwafuata, wakifuata kwa njia kuu kwenda Gidomu, na huko waliuawa elfu mbili zaidi.
46 and to be all [the] to fall: kill from Benjamin twenty and five thousand man to draw sword in/on/with day [the] he/she/it [obj] all these human strength
Askari wote wa Benyamini walioshuka siku hiyo walikuwa watu ishirini na tano waliokuwa wamejifunza kupigana kwa upanga; wote walikuwa wanajulikana katika vita.
47 and to turn and to flee [the] wilderness [to] to(wards) crag [the] (Rock of) Rimmon six hundred man and to dwell in/on/with crag (Rock of) Rimmon four month
Lakini watu mia sita wakageuka na kukimbilia jangwani, kuelekea mwamba wa Rimoni. Wakakaa katika mwamba wa Rimoni kwa muda wa miezi minne.
48 and man Israel to return: turn back to(wards) son: descendant/people Benjamin and to smite them to/for lip: edge sword from city soundness till animal till all [the] to find also all [the] city [the] to find to send: burn in/on/with fire
Askari wa Israeli waliwarudia watu wa Benyamini na wakawashinda na kuwaua-mji mzima, ng'ombe, na kila kitu walichopata. Pia walichoma moto kila mji katika njia yao.