< Judges 16 >

1 and to go: went Samson Gaza [to] and to see: see there woman to fornicate and to come (in): marry to(wards) her
Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.
2 to/for Gaza to/for to say to come (in): come Samson here/thus and to turn: surround and to ambush to/for him all [the] night in/on/with gate [the] city and be quiet all [the] night to/for to say till light [the] morning and to kill him
Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja huku!” Hivyo wakapazingira mahali pale nao wakamvizia usiku kucha, penye lango la mji. Wakanyamaza kimya usiku kucha, wakisema, “Tumvizie hadi mapambazuko, ndipo tutamuua.”
3 and to lie down: sleep Samson till half [the] night and to arise: rise in/on/with half [the] night and to grasp in/on/with door gate [the] city and in/on/with two [the] doorpost and to set out them with [the] bar and to set: put upon shoulder his and to ascend: establish them to(wards) head: top [the] mountain: mount which upon face: before Hebron
Samsoni akalala mpaka usiku wa manane. Akaondoka katikati ya usiku, akashika milango ya lango la mji pamoja na miimo yake miwili, akaingʼoa, makomeo yake na vyote. Akaviweka mabegani mwake na kuvipeleka mpaka kwenye kilele cha mlima ule unaokabili Hebroni.
4 and to be after so and to love: lover woman in/on/with (Sorek) Valley (Valley of) Sorek and name her Delilah
Baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika Bonde la Soreki aliyeitwa Delila.
5 and to ascend: rise to(wards) her lord Philistine and to say to/for her to entice [obj] him and to see: see in/on/with what? strength his great: large and in/on/with what? be able to/for him and to bind him to/for to afflict him and we to give: give to/for you man: anyone thousand and hundred silver: money
Viongozi wa Wafilisti wakamwendea yule mwanamke na kumwambia, “Umbembeleze ili upate kujua siri za nguvu zake zilizo nyingi na jinsi tutakavyoweza kumshinda ili tuweze kumfunga na kumtiisha. Nasi kila mmoja wetu tutakupa shekeli 1,100 za fedha.”
6 and to say Delilah to(wards) Samson to tell [emph?] please to/for me in/on/with what? strength your great: large and in/on/with what? to bind to/for to afflict you
Hivyo Delila akamwambia Samsoni, “Naomba niambie siri ya hizi nguvu zako nyingi na jinsi utakavyoweza kufungwa ili kukutiisha.”
7 and to say to(wards) her Samson if to bind me in/on/with seven cord fresh which not to dry and be weak: weak and to be like/as one [the] man
Samsoni akamjibu, “Kama wakinifunga kwa kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, hapo ndipo nitakapokuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”
8 and to ascend: establish to/for her lord Philistine seven cord fresh which not to dry and to bind him in/on/with them
Viongozi wa Wafilisti wakamletea yule mwanamke kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, akamfunga nazo Samsoni.
9 and [the] to ambush to dwell to/for her in/on/with chamber and to say to(wards) him Philistine upon you Samson and to tear [obj] [the] cord like/as as which to tear cord [the] tow in/on/with to smell he fire and not to know strength his
Wakati watu wakiwa wanamvizia katika chumba cha ndani, yule mwanamke akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini yeye akazikata zile kamba za upinde, kama vile uzi wa pamba unapoguswa na moto. Hivyo siri ya nguvu zake haikujulikana.
10 and to say Delilah to(wards) Samson behold to deceive in/on/with me and to speak: speak to(wards) me lie now to tell [emph?] please to/for me in/on/with what? to bind
Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Tafadhali niambie waweza kufungwa kwa kitu gani?”
11 and to say to(wards) her if to bind to bind me in/on/with cord new which not to make: do in/on/with them work and be weak: weak and to be like/as one [the] man
Akamwambia, “Wakinifunga kwa uthabiti kwa kamba mpya ambazo hazijatumika, basi nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”
12 and to take: take Delilah cord new and to bind him in/on/with them and to say to(wards) him Philistine upon you Samson and [the] to ambush to dwell in/on/with chamber and to tear them from upon arm his like/as thread
Hivyo Delila akachukua kamba mpya na kumfunga nazo. Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Wale watu waliokuwa wanamvizia walikuwa katika chumba cha ndani. Lakini akazikata zile kamba zilizokuwa zimefunga mikono yake kama akatavyo uzi.
13 and to say Delilah to(wards) Samson till here/thus to deceive in/on/with me and to speak: speak to(wards) me lie to tell [emph?] to/for me in/on/with what? to bind and to say to(wards) her if to weave [obj] seven lock head my with [the] weave (and to blow in/on/with peg to(wards) [the] wall and be weak: weak and to be like/as one [the] man *X*)
Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa, umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Nieleze ni jinsi gani utakavyoweza kufungwa.” Samsoni akamwambia, “Kama ukivisuka hivi vishungi saba vya nywele za kichwa changu katika mtande wa nguo na kukaza kwa msumari, ndipo nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.” Hivyo Samsoni alipokuwa amelala, Delila akachukua vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake na kuvifunga kwenye mtande wa nguo,
14 (and to sleep him and to weave [obj] seven lock head his with [the] weave *X*) and to blow in/on/with peg and to say to(wards) him Philistine upon you Samson and to awake from sleep his and to set out [obj] [the] peg [the] shuttle and [obj] [the] weave
na kuvikaza kwa msumari. Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini akaamka kutoka usingizini na kuungʼoa ule msumari na ule mtande.
15 and to say to(wards) him how? to say to love: lover you and heart your nothing with me this three beat to deceive in/on/with me and not to tell to/for me in/on/with what? strength your great: large
Ndipo Delila akamwambia, “Wawezaje kusema, ‘Nakupenda,’ wakati moyo wako haupo pamoja nami? Umenifanyia mzaha mara hizi tatu na hujaniambia siri ya hizi nguvu zako nyingi.”
16 and to be for to press to/for him in/on/with word her all [the] day: daily and to urge him and be short soul his to/for to die
Hatimaye, baada ya kuwa anamsumbua kwa maneno siku kwa siku na kumuudhi, roho yake ikataabika hata kufa.
17 and to tell to/for her [obj] all heart his and to say to/for her razor not to ascend: rise upon head my for Nazirite God I from belly: womb mother my if to shave and to turn aside: depart from me strength my and be weak: weak and to be like/as all [the] man
Hivyo akamwambia yule mwanamke siri yake yote, akamwambia, “Wembe haujapita kamwe kichwani mwangu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu. Kama nywele za kichwa changu zikinyolewa, nguvu zangu zitanitoka, na nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote!”
18 and to see: see (Delilah *LA(bh)*) for to tell to/for her [obj] all heart his and to send: depart and to call: call to to/for lord Philistine to/for to say to ascend: rise [the] beat for to tell (to/for me *Q(K)*) [obj] all heart his and to ascend: rise to(wards) her lord Philistine and to ascend: establish [the] silver: money in/on/with hand their
Delila alipoona kuwa amemweleza siri yake yote, akatuma ujumbe kwa viongozi wa Wafilisti na kusema, “Njooni tena mara nyingine, maana amenieleza siri yake yote.” Basi viongozi wa Wafilisti wakaja kwa Delila, wakiwa na fedha mikononi mwao.
19 and to sleep him upon knee her and to call: call to to/for man and to shave [obj] seven lock head his and to profane/begin: begin to/for to afflict him and to turn aside: depart strength his from upon him
Delila akamfanya alale usingizi magotini pake, akamwita mtu akamnyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake. Akaanza kumsumbua ili aamke nazo nguvu zake zikamtoka.
20 and to say Philistine upon you Samson and to awake from sleep his and to say to come out: come like/as beat in/on/with beat and to shake and he/she/it not to know for LORD to turn aside: depart from upon him
Yule mwanamke akamwita, “Samsoni, hao Wafilisti wanakujia!” Akaamka toka usingizini akasema, “Nitatoka nje kama hapo awali, nitawakungʼutia mbali na kuwa huru.” Lakini hakujua kuwa Bwana amemwacha.
21 and to grasp him Philistine and to dig [obj] eye his and to go down [obj] him Gaza [to] and to bind him in/on/with bronze and to be to grind in/on/with house: home ([the] to bind *Q(K)*)
Basi Wafilisti wakamkamata, wakamngʼoa macho yake, wakamchukua wakamteremsha mpaka Gaza. Wakiwa wamemfunga kwa pingu za shaba, wakamweka ili asage ngano huko gerezani.
22 and to profane/begin: begin hair head his to/for to spring like/as as which to shave
Wakati huo nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.
23 and lord Philistine to gather to/for to sacrifice sacrifice great: large to/for Dagon God their and to/for joy and to say to give: give God our in/on/with hand: power our [obj] Samson enemy our
Basi viongozi wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa kafara kwa mungu wao Dagoni na kufanya karamu, wakisema, “Mungu wetu amemtia adui yetu Samsoni mikononi mwetu.”
24 and to see: see [obj] him [the] people and to boast: praise [obj] God their for to say to give: give God our in/on/with hand: power our [obj] enemy our and [obj] to destroy land: country/planet our and which to multiply [obj] slain: killed our
Watu walipomwona Samsoni wakamsifu mungu wao, wakisema: “Sasa mungu wetu amemtia adui yetu mikononi mwetu, yule aliyeharibu nchi yetu na kuwaua watu wengi miongoni mwetu.”
25 and to be (for like/as be pleasing *Q(K)*) heart their and to say to call: call to to/for Samson and to laugh to/for us and to call: call to to/for Samson from house: home ([the] to bind *Q(K)*) and to laugh to/for face: before their and to stand: stand [obj] him between [the] pillar
Mioyo yao ilipokuwa imefurahishwa wakasema, “Mleteni Samsoni aje acheze ili tufurahi.” Basi wakamleta Samsoni kutoka mle gerezani naye akacheza mbele yao. Wakamweka kati ya nguzo mbili.
26 and to say Samson to(wards) [the] youth [the] to strengthen: hold in/on/with hand his to rest [emph?] [obj] me (and to feel me *Q(K)*) [obj] [the] pillar which [the] house: home to establish: establish upon them and to lean upon them
Samsoni akamwambia mtumishi aliyeshika mkono wake, “Niweke mahali ambapo ninaweza kuzigusa nguzo ambazo zinategemeza jengo ili nipate kuziegemea.”
27 and [the] house: home to fill [the] human and [the] woman and there [to] all lord Philistine and upon [the] roof like/as three thousand man and woman [the] to see: see in/on/with to laugh Samson
Basi lile jengo lilikuwa na wingi wa watu waume kwa wake; viongozi wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na kwenye sakafu ya juu walikuwepo watu 3,000 waume kwa wake, waliokuwa wakimtazama Samsoni wakati anacheza.
28 and to call: call to Samson to(wards) LORD and to say Lord YHWH/God to remember me please and to strengthen: strengthen me please surely [the] beat [the] this [the] God and to avenge vengeance one from two eye my from Philistine
Ndipo Samsoni akamwomba Bwana, akasema, “Ee Bwana Mwenyezi, unikumbuke. Ee Mungu, nakusihi ukanitie nguvu mara hii moja tena, ili kwa tendo hili nipate kulipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili.”
29 and to twist Samson [obj] two pillar [the] midst which [the] house: home to establish: establish upon them and to support upon them one in/on/with right his and one in/on/with left his
Ndipo Samsoni akazikaribia zile nguzo mbili za katikati ambazo lile jengo lilikuwa linazitegemea. Akazishika moja kwa mkono wa kuume na nyingine mkono wa kushoto.
30 and to say Samson to die soul: myself my with Philistine and to stretch in/on/with strength and to fall: fall [the] house: home upon [the] lord and upon all [the] people which in/on/with him and to be [the] to die which to die in/on/with death his many from whence to die in/on/with life his
Samsoni akasema, “Nife pamoja na Wafilisti!” Ndipo akazisukuma zile nguzo kwa nguvu zake zote, lile jengo likaanguka juu ya viongozi na watu wote waliokuwamo mle ndani yake. Hivyo akawaua watu wengi wakati wa kufa kwake kuliko siku za uhai wake.
31 and to go down brother: male-sibling his and all house: household father his and to lift: raise [obj] him and to ascend: establish and to bury [obj] him between Zorah and between Eshtaol in/on/with grave Manoah father his and he/she/it to judge [obj] Israel twenty year
Basi ndugu zake na jamaa yote ya baba yake wakateremka kwenda kumchukua. Wakampandisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli kwenye kaburi la Manoa baba yake. Naye Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.

< Judges 16 >