< Joshua 21 >
1 and to approach: approach head: leader father [the] Levi to(wards) Eleazar [the] priest and to(wards) Joshua son: child Nun and to(wards) head: leader father [the] tribe to/for son: descendant/people Israel
Kisha wakuu wa koo za Walawi walimwendea Eliazari kuhani, na kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kwa viongozi wa familia za mababu zao miongoni mwa watu wa Israeli.
2 and to speak: speak to(wards) them in/on/with Shiloh in/on/with land: country/planet Canaan to/for to say LORD to command in/on/with hand: by Moses to/for to give: give to/for us city to/for to dwell and pasture their to/for animal our
Waliwaambia, “Yahweh aliwaagizeni ninyi kwa mkono wa Musa kwamba mtupatieni miji ya kuishi yenye maeneo kwa ajili ya kuchungia ya mifugo.” waliyasema haya huko Shilo katika nchi ya Kanaani.
3 and to give: give son: descendant/people Israel to/for Levi from inheritance their to(wards) lip: word LORD [obj] [the] city [the] these and [obj] pasture their
Hivyo, kwa agizo la Yahweh, watu wa Israeli waliwapa Walawi kutoka katika urithi wa wao miji ifuatayo pamoja na maeneo yao ya kuchungia.
4 and to come out: casting(lot) [the] allotted to/for family [the] Kohathite and to be to/for son: descendant/people Aaron [the] priest from [the] Levi from tribe Judah and from tribe [the] Simeon and from tribe Benjamin in/on/with allotted city three ten
Upigaji wa kura kwa ajili ya koo za Wakohathi ulileta matokeo haya: makuhani ambao ni wazawa wa Haruni ambao walitokana na Walawi, walipokea miji kumi na mitatu waliopewa kutoka kwa kabila la Yuda, kutoka kabila la Simoni, na kutoka kabila la Benyamini.
5 and to/for son: descendant/people Kohath [the] to remain from family tribe Ephraim and from tribe Dan and from half tribe Manasseh in/on/with allotted city ten
Koo zilizobaki za Wakohathi walipokea kwa kupiga kura kwa miji kumi kutoka katika kabila za Efraimu, Dani, na kutoka kwa nusu ya kabila la Manase.
6 and to/for son: descendant/people Gershon from family tribe Issachar and from tribe Asher and from tribe Naphtali and from half tribe Manasseh in/on/with Bashan in/on/with allotted city three ten
Na watu wazawa wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kwa kupigiwa kura kutoka kwa koo za kabila la Isakari, Asheri, Nafutali, na nusu ya kabila la Manase katika Bashani.
7 to/for son: descendant/people Merari to/for family their from tribe Reuben and from tribe Gad and from tribe Zebulun city two ten
Watu waliokuwa wazawa wa Merari walipokea miji kumi na miwili kutoka katika makabila ya Rubeni, Gadi na Zabuloni.
8 and to give: give son: descendant/people Israel to/for Levi [obj] [the] city [the] these and [obj] pasture their like/as as which to command LORD in/on/with hand: by Moses in/on/with allotted
Basi, watu wa Israeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yao ya kuchungia, kwa kupiga kura, kama vile Yahweh alivyokuwa ameagiza kwa mkono wa Musa.
9 and to give: give from tribe son: descendant/people Judah and from tribe son: descendant/people Simeon [obj] [the] city [the] these which to call: call by [obj] them in/on/with name
Kutoka kwa makabila la Yuda na Simoni, waliwapa nchi katika miji ifuatayo iliyoorodheshwa kwa majina.
10 and to be to/for son: descendant/people Aaron from family [the] Kohathite from son: descendant/people Levi for to/for them to be [the] allotted first
Miji hii walipewa wazawa wa Haruni, ambao walikuwa miongoni mwa koo za Wakohathi, ambao walitoka katika kabila la Lawi. Kwa kuwa upigaji wa kura ya kwanza uliwaangukiwa wao.
11 and to give: give to/for them [obj] Kiriath-arba Kiriath-arba father [the] Anak he/she/it Hebron in/on/with mountain: hill country Judah and with pasture her around her
Waisraeli waliwapatia Kiriathi Arba ( Arba alikuwa ni baba wa Anaki), eneo hilo liliitwa pia Hebroni, katika nchi ya milima ya Yuda, pamoja na maeneo ya kulishia mifugo yaliyouzunguka mji.
12 and [obj] land: country [the] city and [obj] village her to give: give to/for Caleb son: child Jephunneh in/on/with possession his
Lakini mashamba ya mji na vijiji vyake vilikuwa tayari ameshapewa Kalebu mwana Yefune, kama mali yake.
13 and to/for son: descendant/people Aaron [the] priest to give: give [obj] city refuge [the] to murder [obj] Hebron and [obj] pasture her and [obj] Libnah and [obj] pasture her
Na kwa wana wa Haruni kuhani, waliwapa Hebroni pamoja na eneo lake la kulishia mifugo ambao ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia na Libna pamoja na maeneo ya kulishia mifugo.
14 and [obj] Jattir and [obj] pasture her and [obj] Eshtemoa and [obj] pasture her
Na Yatiri pamoaja na maeno yake ya kuchungia, na Eshitemoa pamoja na maeneo yake ya malisho.
15 and [obj] Holon and [obj] pasture her and [obj] Debir and [obj] pasture her
Lakini pia waliwapa Holoni pamoja na maeneo yake ya malisho, Debiri pamoja na maeneo yake ya malisho,
16 and [obj] Ain and [obj] pasture her and [obj] Juttah and [obj] pasture her [obj] Beth-shemesh Beth-shemesh and [obj] pasture her city nine from with two [the] tribe [the] these
Aini pampoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho. Ilikuwa ni miji kumi na tisa ambayo walipewa kutoka katika makabila haya mawilil.
17 and from tribe Benjamin [obj] Gibeon and [obj] pasture her [obj] Geba and [obj] pasture her
Kutoka katika kabilala Benyamini walipewa Gibea pamoja na maeneo yake ya malisho, na Geba pamoja na maeneo yake ya malisho,
18 [obj] Anathoth and [obj] pasture her and [obj] Almon and [obj] pasture her city four
na Anathothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na amoni pamoja na vitongoji vyake vinne.
19 all city son: descendant/people Aaron [the] priest three ten city and pasture their
Miji waliyopewa makuhani, wana wa Haruni, ilikuwa ni miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumlisha na maeneo yake ya malisho.
20 and to/for family son: descendant/people Kohath [the] Levi [the] to remain from son: descendant/people Kohath and to be city allotted their from tribe Ephraim
Na kwa ajili ya sehemu ya familia ya Kohathi iliyosalia, wale Walawi walio wa familia ya Kohathi, walipewa miji kutoka katika kabila la Efraimu kwa kupiga kura.
21 and to give: give to/for them [obj] city refuge [the] to murder [obj] Shechem and [obj] pasture her in/on/with mountain: hill country Ephraim and [obj] Gezer and [obj] pasture her
Walipewa Shekemu pamoja na maeneo yake ya malisho katika nchi ya milima ya Efraimu - mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu bila kukusudia, na Gezeri pamoja na maeneo yake ya malisho,
22 and [obj] Kibzaim and [obj] pasture her and [obj] Beth-horon Beth-horon and [obj] pasture her city four
na Kibzaimu pamoja na maeneo yake ya malisho, na Bethi Horoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa miji minne kwa ujumla wake.
23 and from tribe Dan [obj] Eltekeh and [obj] pasture her [obj] Gibbethon and [obj] pasture her
Kutoka katika kabila la Dani, ukoo wa Kohathi ulipewa Elteke pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gibethoni pamoja na maeneo yake ya malisho, na
24 [obj] Aijalon and [obj] pasture her [obj] Gath-rimmon Gath-rimmon and [obj] pasture her city four
Aijaloni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Gathrimoni pamoja na maeneo yake ya malisho, ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake.
25 and from half tribe Manasseh [obj] Taanach and [obj] pasture her and [obj] Gath-rimmon Gath-rimmon and [obj] pasture her city two
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, ukoo wa Kohathi walipewa miji miwili - Taanaki pamoja na maeneo yake ya malisho na Gathirimoni pamoja na maeneo yake ya malisho.
26 all city ten and pasture their to/for family son: descendant/people Kohath [the] to remain
Kulikuwa na miji kumi kwa ujumla wake kwa ajili ya koo zilizosalia za Wakohathi, pamoja na maeneo yao ya malisho.
27 and to/for son: descendant/people Gershon from family [the] Levi from half tribe Manasseh [obj] city refuge [the] to murder [obj] (Golan *Q(K)*) in/on/with Bashan and [obj] pasture her and [obj] Beeshterah and [obj] pasture her city two
Kutoka katika nusu ya kabila la Manase, jamaa za Gershoni, ambazo hizi zilikuwa ni koo zingine za Walawi, zilipewa Golani katika Bashani pamoja na maeneo yao ya malisho, ni mji wa makimbilio kwa ajili ya mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia, sambamba na Beeshitera pamoja na maeneo yake ya malisho - ilikuwa miji miwili kwa ujumla.
28 and from tribe Issachar [obj] Kishion and [obj] pasture her [obj] Daberath and [obj] pasture her
Koo za Gershoni zilipewa pia miji minne kutoka kwa kabila la Isakari - Kishoni sambamba na maeneo yake ya malisho, Daberathi pamoja na maeneo yake ya malisho,
29 [obj] Jarmuth and [obj] pasture her [obj] En-gannim En-gannim and [obj] pasture her city four
Yarmuthi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Engnimu pamoja na maeneo yake ya malisho.
30 and from tribe Asher [obj] Mishal and [obj] pasture her [obj] Abdon and [obj] pasture her
Kutoka katika kabila la Asheri, walipewa miji minne kwa ujumla - Mishali pamoja na maeneo yake ya malisho, Abdoni pamoja na maeneo yake ya malisho,
31 [obj] Helkath and [obj] pasture her and [obj] Rehob and [obj] pasture her city four
Helikathi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Rehobu pamoja na maeneo yake ya malisho.
32 and from tribe Naphtali [obj] city refuge [the] to murder [obj] Kedesh in/on/with Galilee and [obj] pasture her and [obj] Hammoth-dor Hammoth-dor and [obj] pasture her and [obj] Kartan and [obj] pasture her city three
Kutoka kwa kabila la Nafutali, nasaba za Gershoni walipewa miji mitatu kwa ujumla - Kedeshi katika Galilaya pamoja na maeneo yake ya malisho, ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu yeyote aliyeua mtu bila kukusudia; na Hamothidori pamoja na maeneo yake ya malisho, na Kartani pamoja na maeneo yake ya malisho.
33 all city [the] Gershonite to/for family their three ten city and pasture their
Kulikuwa na miji kumi na mitatu kwa ujumla, kujumuisha na maeneo yake ya malisho, kwa ajili ya koo za Gershoni.
34 and to/for family son: descendant/people Merari [the] Levi [the] to remain from with tribe Zebulun [obj] Jokneam and [obj] pasture her [obj] Kartah and [obj] pasture her
Na kwa Walawi waliosalia, koo za Merari waliokuwa wamepewa kutoka katika kabila la Zabuloni: Yokneamu pamoa na maeneo yake ya marisho, Karta pamoja na maeneo yake ya malisho,
35 [obj] Dimnah and [obj] pasture her [obj] Nahalol and [obj] pasture her city four
Dimna pamoja na maeneo yake ya malisho, na Nahalali pamoja na maeneo yake ya malisho- ilikuwa ni miji minne kwa ujumla.
36 (and from tribe Reuben [obj] Bezer and [obj] pasture her and [obj] Jahaz [to] and [obj] pasture her *R*)
Kwa mbari za Merari walipewa miji minne kutoka katika kabila la Rubeni: Bezeri pamoja na maeneo yake ya malisho, Yahazi pamoja na maene yake ya malisho,
37 ([obj] Kedemoth and [obj] pasture her and [obj] Mephaath and [obj] pasture her city four *R*)
na Kedemothi pamoja na maeneo yake ya malisho, na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.
38 and from tribe Gad [obj] city refuge [the] to murder [obj] Ramoth (Gilead) in/on/with Gilead and [obj] pasture her and [obj] Mahanaim and [obj] pasture her
Kutoka katika kabila la Gadi walipewa miji ya Ramothi katika Gileadi pamoja na sehemu zake za malisho - huu ulikuwa ni mji wa makimbilio kwa mtu aliyeua mtu mwenzake bila kukusudia - na Mahanaimu pamoja na sehemu zake za malisho.
39 [obj] Heshbon and [obj] pasture her [obj] Jazer and [obj] pasture her all city four
Koo za Merari zilipewa pia Heshiboni pamoja na maeneo yake ya malisho, na Yazeri pamoja na malisho yake.
40 all [the] city to/for son: descendant/people Merari to/for family their [the] to remain from family [the] Levi and to be allotted their city two ten
Hii ilikuwa ni miji minne kwa ujumla wake. Hii yote ilikuwa ni miji ya koo kadhaa za Merari, ambao walitoka katika kabila la Lawi, miji kumi na miwili walipewa wao kwa kupiga kura.
41 all city [the] Levi in/on/with midst possession son: descendant/people Israel city forty and eight and pasture their
Miji waliyopewa Walawi kutoka katikati ya nchi iliyomilikiwa na watu wa Israeli ilikuwa miji arobaini na nane, kujumuisha na sehemu za malisho yao.
42 to be [the] city [the] these city city and pasture her around her so to/for all [the] city [the] these
Miji hii kila mmoja ulikuwa na maeneo yake ya malisho kwa kuuzunguka mji. Miji hii yote ilikuwa hivyo.
43 and to give: give LORD to/for Israel [obj] all [the] land: country/planet which to swear to/for to give: give to/for father their and to possess: take her and to dwell in/on/with her
Basi Yahweh aliwapa Israeli nchi yote ambayo aliwaapia baba zao kuwa atawapa. Waisraeli waliimiliki nchi na wakakaa humo.
44 and to rest LORD to/for them from around: side like/as all which to swear to/for father their and not to stand: stand man: anyone in/on/with face their from all enemy their [obj] all enemy their to give: give LORD in/on/with hand: power their
Kisha Yahweh akawapa pumziko kwa kila upande, kama tu alivyowaahidia baba zao. Hakuna hata adui mmoja atakayeweza kuwashinda. Yawhew aliwatia maadui wao wote mikononi mwao.
45 not to fall: fail word from all [the] word: promised [the] pleasant which to speak: promise LORD to(wards) house: household Israel [the] all to come (in): come
Hakuna hata kitu kimoja miongoni kwa ahadi nzuri ambazo Yahweh alizisema kwa nyumba ya Israeli ambazo hazikutimia. Ahadi zote zilitimia.