< Job 37 >
1 also to/for this to tremble heart my and to start from place his
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 to hear: hear to hear: hear in/on/with turmoil voice his and moaning from lip his to come out: come
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 underneath: under all [the] heaven to free him and light his upon wing [the] land: country/planet
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 after him to roar voice to thunder in/on/with voice pride his and not to assail them for to hear: hear voice his
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 to thunder God in/on/with voice his to wonder to make: do great: large and not to know
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 for to/for snow to say to fall land: country/planet and rain rain and rain rain strength his
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 in/on/with hand all man to seal to/for to know all human deed: work his
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 and to come (in): come living thing in/at/by ambush and in/on/with habitation her to dwell
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 from [the] chamber to come (in): come whirlwind and from scattering wind cold
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 from breath God to give: give ice and width water in/on/with constraint
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 also in/on/with moisture to burden cloud to scatter cloud light his
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 and he/she/it surrounds to overturn (in/on/with counsel his *Q(K)*) to/for to work they all which to command them upon face: surface world land: country/planet [to]
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 if to/for tribe: staff if to/for land: country/planet his if to/for kindness to find him
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 to listen [emph?] this Job to stand: stand and to understand to wonder God
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 to know in/on/with to set: put god upon them and to shine light cloud his
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 to know upon swaying cloud wonder unblemished knowledge
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 which garment your hot in/on/with to quiet land: country/planet from south
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 to beat with him to/for cloud strong like/as mirror to pour: firm
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 to know us what? to say to/for him not to arrange from face: because darkness
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 to recount to/for him for to speak: speak if: surely no to say man: anyone for to swallow up
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 and now not to see: see light bright he/she/it in/on/with cloud and spirit: breath to pass and be pure them
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 from north gold to come upon god to fear: revere splendor
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Almighty not to find him great strength and justice and abundance righteousness not to afflict
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 to/for so to fear: revere him human not to see: see all wise heart
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”