< Job 13 >

1 look! all to see: see eye my to hear: hear ear my and to understand to/for her
Tazama, jicho langu limeyaona haya yote; sikio langu limeyasikia na kuyaelewa hayo.
2 like/as knowledge your to know also I not to fall: fall I from you
Kile mnachokifahamu, ndicho hicho mimi pia ninachokifahamu; Mimi siyo duni kwenu ninyi.
3 but I to(wards) Almighty to speak: speak and to rebuke to(wards) God to delight in
Hata hivyo, Mimi ningeweza kuzungumza na mwenye nguvu; Mimi natamani kusemezana na Mungu.
4 and but you(m. p.) to smear deception to heal idol all your
Lakini ninyi mnauficha ukweli kwa uongo; ninyi nyote ni tabibu msiokuwa na thamani.
5 who? to give: give be quiet be quiet [emph?] and to be to/for you to/for wisdom
Laiti, kwamba kwa pamoja mngeshikilia amani yenu! Hilo lingekuwa hekima yenu ninyi.
6 to hear: hear please argument my and strife lips my to listen
Sikia sasa kuhoji kwangu; Sikiliza kusihi kwa midomo yangu mwenyewe.
7 to/for God to speak: speak injustice and to/for him to speak: speak deceit
Ninyi mtazungumza visivyo haki kwa ajili ya Mungu, na ninyi mtazungumza udanganyifu kwa yeye? Ni kweli ninyi mngeonyesha ukarimu kwa yeye?
8 face: kindness his to lift: kindness [emph?] if: surely no to/for God to contend [emph?]
Ni kweli ninyi mngetetea katika mahakama kama mawakili wa Mungu?
9 pleasant for to search [obj] you if: surely no like/as to deceive in/on/with human to deceive in/on/with him
Je, kweli ingekuwa vizuri kwenu wakati yeye akiwatafuta ninyi? Mngeweza ninyi kumdanganya yeye kama mlivyoweza kuwadanganya watu?
10 to rebuke to rebuke [obj] you if in/on/with secrecy face to lift: kindness [emph?]
Yeye kwa hakika angewathibitisha upya ninyi ikiwa katika siri ninyi mmeonyesha kutokukamilika.
11 not elevation his to terrify [obj] you and dread his to fall: fall upon you
Je, ukuu wake usingewafanya ninyi muogope? Je, utisho wake usingeshuka juu yenu?
12 memorial your proverb ashes to/for back/rim/brow clay back/rim/brow your
Hadithi zenu za misemo ya kukariri, ni mithali zimetengenezwa kwa majivu; utetezi wenu ni utetezi uliotengenezwa kwa udongo wa mfinyanzi.
13 be quiet from me and to speak: speak I and to pass upon me what?
Shikilieni amani yenu, mniache peke yangu, ili ya kwamba nipate kusema, acheni yaje yale yanayoweza kuja kwangu.
14 upon what? to lift: raise flesh my in/on/with tooth my and soul: life my to set: put in/on/with palm my
Nitaichukua nyama yangu mwenywewe katika meno yangu; Nitayachukua maisha yangu katika mikono yangu.
15 look! to slay me (to/for him *Q(K)*) to wait: hope surely way: conduct my to(wards) face his to rebuke
Tazama, ikiwa ataniua mimi, sitakuwa na tumaini lililobakia; hata hivyo, nitazitetea njia zangu mbele zake yeye.
16 also he/she/it to/for me to/for salvation for not to/for face: before his profane to come (in): come
Hiki kitakuwa sababu ya kutohesabiwa hatia, kwamba mimi sikuja mbele zake kama mtu asiyemcha Mungu.
17 to hear: hear to hear: hear speech my and declaration my in/on/with ear your
Mungu, sikiliza kwa makini kuzungumza kwangu; ruhusu kutangaza kwangu kuje kwenye masikio yako.
18 behold please to arrange justice: judgement to know for I to justify
Tazama sasa, Nimeuweka utetezi wangu katika mpangilio, Mimi ninafahamu kwamba mimi sina hatia.
19 who? he/she/it to contend with me me for now be quiet and to die
Ni nani anayeweza kushindana na mimi katika mahakama? Ikiwa mlikuja kufanya hivyo, na kama mimi nilithibitishwa kukosea, ndipo ningekuwa kimya na kuyatoa maisha yangu.
20 surely two not to make: offer with me me then from face your not to hide
Mungu, fanya mambo mawili kwa ajili yangu, na tena Mimi sitajificha kutoka katika uso wako.
21 palm your from upon me to remove and terror your not to terrify me
Ondoa kutoka kwangu mkono wako unaotesa, na usiache utisho wako unifanye mimi kuogopa.
22 and to call: call to and I to answer or to speak: speak and to return: reply me
Ndipo niite mimi, na mimi nitakujibu; au uniache mimi niseme na wewe na wewe unijibu mimi.
23 like/as what? to/for me iniquity: crime and sin transgression my and sin my to know me
Je, maovu yangu na dhambi zangu ni ngapi? Nijulishe kosa langu na dhambi yangu.
24 to/for what? face your to hide and to devise: think me to/for enemy to/for you
Kwa nini unaficha uso wako kutoka kwangu mimi na kunitendea mimi kama adui yako?
25 leaf to drive to tremble and [obj] stubble dry to pursue
Je, wewe utalitesa jani linalopeperushwa? Je, utaendelea kulifuatilia bua kavu?
26 for to write upon me gall and to possess: possess me iniquity: crime youth my
Kwa maana wew unaandika chini vitu vichungu dhidi yangu mimi; wewe unanifanya mimi kurithi uovu wa ujana wangu.
27 and to set: put in/on/with stock foot my and to keep: look at all way my upon root foot my to engrave
Wewe pia unaiweka miguu yangu katika nguo nyembamba; wewe waangalia njia zangu zote; wewe wachunguza chini mahali ambapo nyayo za miguu yangu zimekanyaga.
28 and he/she/it like/as rottenness to become old like/as garment to eat him moth
japokuwa mimi ni kama kitu kilichooza ambacho hutupwa mbali, kama vazi lile ambalo nondo wamelila.

< Job 13 >