< Jeremiah 23 >
1 woe! to pasture to perish and to scatter [obj] flock pasturing my utterance LORD
“Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema Bwana.
2 to/for so thus to say LORD God Israel upon [the] to pasture [the] to pasture [obj] people my you(m. p.) to scatter [obj] flock my and to banish them and not to reckon: visit [obj] them look! I to reckon: visit upon you [obj] evil deed your utterance LORD
Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema Bwana.
3 and I to gather [obj] remnant flock my from all [the] land: country/planet which to banish [obj] them there and to return: return [obj] them upon pasture their and be fruitful and to multiply
“Mimi mwenyewe nitayakusanya mabaki ya kundi langu kutoka nchi zote ambazo nimewafukuzia, nami nitawarudisha katika malisho yao, mahali ambapo watazaa na kuongezeka idadi yao.
4 and to arise: establish upon them to pasture and to pasture them and not to fear still and not to to be dismayed and not to reckon: missing utterance LORD
Nitaweka wachungaji juu yao ambao watawachunga, nao hawataogopa tena au kutishwa, wala hatapotea hata mmoja,” asema Bwana.
5 behold day to come (in): come utterance LORD and to arise: establish to/for David branch righteous and to reign king and be prudent and to make: do justice and righteousness in/on/with land: country/planet
Bwana asema, “Siku zinakuja, nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki, Mfalme atakayetawala kwa hekima, na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.
6 in/on/with day his to save Judah and Israel to dwell to/for security and this name his which to call: call to him LORD Righteousness our
Katika siku zake, Yuda ataokolewa na Israeli ataishi salama. Hili ndilo jina atakaloitwa: Bwana Haki Yetu.
7 to/for so behold day to come (in): come utterance LORD and not to say still alive LORD which to ascend: establish [obj] son: descendant/people Israel from land: country/planet Egypt
“Hivyo basi, siku zinakuja, wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’
8 that if: except if: except alive LORD which to ascend: establish and which to come (in): bring [obj] seed: children house: household Israel from land: country/planet north [to] and from all [the] land: country/planet which to banish them there and to dwell upon land: soil their
bali watasema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wazao wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia,’ asema Bwana. Ndipo wataishi katika nchi yao wenyewe.”
9 to/for prophet to break heart my in/on/with entrails: among my be weak all bone my to be like/as man drunken and like/as great man to pass him wine from face: because LORD and from face: because word holiness his
Kuhusu manabii: Moyo wangu umevunjika ndani yangu; mifupa yangu yote inatetemeka. Nimekuwa kama mtu aliyelewa, kama mtu aliyelemewa na divai, kwa sababu ya Bwana na maneno yake matakatifu.
10 for to commit adultery to fill [the] land: country/planet for from face: because oath to mourn [the] land: country/planet to wither habitation wilderness and to be running their bad: evil and might their not right
Nchi imejaa wazinzi; kwa sababu ya laana, nchi imekauka na malisho yaliyoko nyikani yamekauka. Mwenendo wa manabii ni mbaya na mamlaka yao si ya haki.
11 for also prophet also priest to pollute also in/on/with house: temple my to find distress: evil their utterance LORD
“Nabii na kuhani wote si wacha Mungu; hata hekaluni mwangu ninaona uovu wao,” asema Bwana.
12 to/for so to be way: journey their to/for them like/as smoothness in/on/with darkness to thrust and to fall: fall in/on/with her for to come (in): bring upon them distress: harm year punishment their utterance LORD
“Kwa hiyo mapito yao yatakuwa utelezi, watafukuziwa mbali gizani na huko wataanguka. Nitaleta maafa juu yao katika mwaka wa kuadhibiwa kwao,” asema Bwana.
13 and in/on/with prophet Samaria to see: see folly to prophesy in/on/with Baal and to go astray [obj] people my [obj] Israel
“Miongoni mwa manabii wa Samaria nililiona jambo la kuchukiza: Walitabiri kwa Baali na kuwapotosha Israeli watu wangu.
14 and in/on/with prophet Jerusalem to see: see horror to commit adultery and to go: walk in/on/with deception and to strengthen: strengthen hand be evil to/for lest to return: turn back man: anyone from distress: evil his to be to/for me all their like/as Sodom and to dwell her like/as Gomorrah
Nako miongoni mwa manabii wa Yerusalemu nimeona jambo baya sana: Wanafanya uzinzi na kuenenda katika uongo. Wanatia nguvu mikono ya watenda mabaya, kwa ajili hiyo hakuna yeyote anayeachana na uovu wake. Wote wako kama Sodoma kwangu; watu na Yerusalemu wako kama Gomora.”
15 to/for so thus to say LORD Hosts upon [the] prophet look! I to eat [obj] them wormwood and to water: drink them water poison for from with prophet Jerusalem to come out: come profaneness to/for all [the] land: country/planet
Kwa hiyo, hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo kuhusu manabii: “Nitawafanya wale chakula kichungu na kunywa maji yaliyotiwa sumu, kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”
16 thus to say LORD Hosts not to hear: hear upon word [the] prophet [the] to prophesy to/for you to become vain they(masc.) [obj] you vision heart their to speak: speak not from lip LORD
Hili ndilo Bwana Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Msisikilize wanachowatabiria manabii, wanawajaza matumaini ya uongo. Wanasema maono kutoka akili zao wenyewe, hayatoki katika kinywa cha Bwana.
17 to say to say to/for to spurn me to speak: speak LORD peace: well-being to be to/for you and all to go: follow in/on/with stubbornness heart his to say not to come (in): come upon you distress: harm
Huendelea kuwaambia wale wanaonidharau mimi, ‘Bwana asema: Mtakuwa na amani.’ Kwa wale wote wafuatao ugumu wa mioyo yao, wao husema, ‘Hakuna dhara litakalowapata.’
18 for who? to stand: stand in/on/with counsel LORD and to see: see and to hear: hear [obj] word his who? to listen (word his *Q(K)*) and to hear: hear
Lakini ni yupi miongoni mwao aliyesimama katika baraza la Bwana ili kuona au kusikia neno lake? Ni nani aliyesikiliza na kusikia neno lake?
19 behold tempest LORD rage to come out: come and tempest to twist: dance upon head wicked to twist: dance
Tazama, dhoruba ya Bwana itapasuka kwa ghadhabu, kisulisuli kitazunguka na kuanguka vichwani vya waovu.
20 not to return: turn back face: anger LORD till to make: do he and till to arise: establish he plot heart his in/on/with end [the] day to understand in/on/with her understanding
Hasira ya Bwana haitageuka mpaka amelitimiza kusudi la moyo wake. Siku zijazo mtalifahamu kwa wazi.
21 not to send: depart [obj] [the] prophet and they(masc.) to run: run not to speak: speak to(wards) them and they(masc.) to prophesy
Mimi sikuwatuma manabii hawa, lakini bado wamekimbia wakitangaza ujumbe wao. Mimi sikusema nao, lakini wametabiri.
22 and if to stand: stand in/on/with counsel my and to hear: proclaim word my [obj] people my and to return: turn back them from way: conduct their [the] bad: evil and from evil deed their
Lakini kama wangesimama barazani mwangu, wangetangaza maneno yangu kwa watu wangu, nao wangewageuza kutoka njia zao mbaya na kutoka matendo yao maovu.”
23 God from near I utterance LORD and not God from distant
“Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,” Bwana asema, “wala si Mungu aliyeko pia mbali?
24 if: surely yes to hide man: anyone in/on/with hiding and I not to see: see him utterance LORD not [obj] [the] heaven and [obj] [the] land: country/planet I to fill utterance LORD
Je, mtu yeyote aweza kujificha mahali pa siri ili nisiweze kumwona?” Bwana asema. “Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?” Bwana asema.
25 to hear: hear [obj] which to say [the] prophet [the] to prophesy in/on/with name my deception to/for to say to dream to dream
“Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’
26 till how there in/on/with heart [the] prophet to prophesy [the] deception and prophet deceitfulness heart their
Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?
27 [the] to devise: think to/for to forget [obj] people my name my in/on/with dream their which to recount man: anyone to/for neighbor his like/as as which to forget father their [obj] name my in/on/with Baal
Wanadhani ndoto wanazoambiana wao kwa wao zitawafanya watu wangu walisahau jina langu, kama baba zao walivyolisahau jina langu kwa kumwabudu Baali.
28 [the] prophet which with him dream to recount dream and which word my with him to speak: speak word my truth: faithful what? to/for straw with [the] grain utterance LORD
Mwache nabii aliye na ndoto aseme ndoto yake, lakini yule aliye na neno langu na aliseme kwa uaminifu. Kwa maana jani kavu lina uhusiano gani na ngano?” asema Bwana.
29 not thus word my like/as fire utterance LORD and like/as hammer to shatter crag
“Je, neno langu si kama moto,” asema Bwana, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?
30 to/for so look! I upon [the] prophet utterance LORD to steal word my man: anyone from with neighbor his
“Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema Bwana.
31 look! I upon [the] prophet utterance LORD [the] to take: take tongue their and to prophesy utterance
“Naam, mimi niko kinyume na manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na kusema, ‘Bwana asema.’
32 look! I upon to prophesy dream deception utterance LORD and to recount them and to go astray [obj] people my in/on/with deception their and in/on/with recklessness their and I not to send: depart them and not to command them and to gain not to gain to/for people [the] this utterance LORD
Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,” asema Bwana. “Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo,” asema Bwana.
33 and for to ask you [the] people [the] this or [the] prophet or priest to/for to say what? oracle LORD and to say to(wards) them [obj] what? oracle and to leave [obj] you utterance LORD
“Wakati watu hawa, au nabii, au kuhani watakapokuuliza, ‘Mzigo wa Bwana ni nini?’ wewe utawaambia, ‘Ninyi ndio mzigo. Nami nitawavua kama vazi, asema Bwana.’
34 and [the] prophet and [the] priest and [the] people which to say oracle LORD and to reckon: punish upon [the] man [the] he/she/it and upon house: household his
Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.
35 thus to say man: anyone upon neighbor his and man: anyone to(wards) brother: male-sibling his what? to answer LORD and what? to speak: speak LORD
Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘Bwana amejibu nini?’ au ‘Bwana amesema nini?’
36 and oracle LORD not to remember still for [the] oracle to be to/for man word his and to overturn [obj] word God alive LORD Hosts God our
Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa Bwana,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, Bwana Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu.
37 thus to say to(wards) [the] prophet what? to answer you LORD and what? to speak: speak LORD
Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘Bwana amekujibu nini?’ au ‘Je, Bwana amesema nini?’
38 and if oracle LORD to say to/for so thus to say LORD because to say you [obj] [the] word [the] this oracle LORD and to send: depart to(wards) you to/for to say not to say oracle LORD
Ingawa unadai, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hili ndilo Bwana asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu ndio mzigo wa Bwana,’ hata ingawa nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni mzigo wa Bwana.’
39 to/for so look! I and to forget [obj] you to lift: raise and to leave [obj] you and [obj] [the] city which to give: give to/for you and to/for father your from upon face my
Kwa hiyo, hakika nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu.
40 and to give: give upon you reproach forever: enduring and shame forever: enduring which not to forget
Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika.”