< Jeremiah 21 >
1 [the] word which to be to(wards) Jeremiah from with LORD in/on/with to send: depart to(wards) him [the] king Zedekiah [obj] Pashhur son: child Malchiah and [obj] Zephaniah son: child Maaseiah [the] priest to/for to say
Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa Bwana wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:
2 to seek please about/through/for us [obj] LORD for Nebuchadnezzar king Babylon to fight upon us perhaps to make: do LORD with us like/as all to wonder his and to ascend: rise from upon us
“Tuulizie sasa kwa Bwana, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda Bwana atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”
3 and to say Jeremiah to(wards) them thus to say [emph?] to(wards) Zedekiah
Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,
4 thus to say LORD God Israel look! I to turn: repell [obj] article/utensil [the] battle which in/on/with hand your which you(m. p.) to fight in/on/with them with king Babylon and with [the] Chaldea [the] to confine upon you from outside to/for wall and to gather [obj] them to(wards) midst [the] city [the] this
‘Hili ndilo Bwana, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.
5 and to fight I with you in/on/with hand to stretch and in/on/with arm strong and in/on/with face: anger and in/on/with rage and in/on/with wrath great: large
Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.
6 and to smite [obj] to dwell [the] city [the] this and [obj] [the] man and [obj] [the] animal in/on/with pestilence great: large to die
Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.
7 and after so utterance LORD to give: give [obj] Zedekiah king Judah and [obj] servant/slave his and [obj] [the] people and [obj] [the] to remain in/on/with city [the] this from [the] pestilence from [the] sword and from [the] famine in/on/with hand: power Nebuchadnezzar king Babylon and in/on/with hand: power enemy their and in/on/with hand: power to seek soul: life their and to smite them to/for lip: edge sword not to pity upon them and not to spare and not to have compassion
Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema Bwana.
8 and to(wards) [the] people [the] this to say thus to say LORD look! I to give: put to/for face: before your [obj] way: conduct [the] life and [obj] way: conduct [the] death
“Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo Bwana: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.
9 [the] to dwell in/on/with city [the] this to die in/on/with sword and in/on/with famine and in/on/with pestilence and [the] to come out: come and to fall: fall upon [the] Chaldea [the] to confine upon you (and to live *Q(K)*) and to be to/for him soul: life his to/for spoil
Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.
10 for to set: make face my in/on/with city [the] this to/for distress: harm and not to/for welfare utterance LORD in/on/with hand: power king Babylon to give: give and to burn her in/on/with fire
Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema Bwana.’
11 and to/for house: palace king Judah to hear: hear word LORD
“Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la Bwana,
12 house: household David thus to say LORD to judge to/for morning justice and to rescue to plunder from hand: power to oppress lest to come out: issue like/as fire rage my and to burn: burn and nothing to quench from face: because evil (deed your *Q(K)*)
Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo Bwana asemalo: “‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi, mwokoeni mikononi mwa mdhalimu yeye aliyetekwa nyara, la sivyo ghadhabu yangu italipuka na kuwaka kama moto kwa sababu ya uovu mlioufanya: itawaka na hakuna wa kuizima.
13 look! I to(wards) you to dwell [the] valley rock [the] plain utterance LORD [the] to say who? to descend upon us and who? to come (in): come in/on/with habitation our
Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu, wewe uishiye juu ya bonde hili kwenye uwanda wa juu wa miamba, asema Bwana, wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu? Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”
14 and to reckon: punish upon you like/as fruit deed your utterance LORD and to kindle fire in/on/with wood her and to eat all around her
Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu, asema Bwana. Nitawasha moto katika misitu yenu ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’”