< Isaiah 46 >

1 to bow Bel to stoop Nebo to be idol their to/for living thing and to/for animal burden your to lift burden to/for faint
Beli huaguka chini, Nebo husujudu; miungu yao imebebwa na wanyama na mzigo wa mnyama. Sanamu hizi mlizobeba ni mzigo mzito kwa wanyama kuchoka.
2 to stoop to bow together not be able to escape burden and soul: myself their in/on/with captivity to go: went
Kwa pamoja wanashuka chini; hawawezi kuziokoa sanamu zao, na wao wenyewe wameenda uhamishoni.
3 to hear: hear to(wards) me house: household Jacob and all remnant house: household Israel [the] to lift from belly: womb [the] to lift: bear from womb
Nisikilizeni mimi, nyumba ya Yakobo, wote mliobaki kwenye nyumba ya Israeli mliochukuliwa na mimi kutoka kabla amjazaliwa, mlichukuliwa mkiwa tumboni.
4 and till old age I he/she/it and till greyheaded I to bear I to make and I to lift: bear and I to bear and to escape
Hata kwa njie wazee Mimi ndiye, mpaka mmeshapata mvi nitawachukua. Nimewaumba ninyi na nitawabeba ninyi; Nitwachukua nyie na nitawakomboa nyie.
5 to/for who? to resemble me and be like and to liken me and to resemble
Je utanifananisha mimi na nani? na mimi nimefanana na nani, ili utulinganishe?
6 [the] to lavish/despise gold from purse and silver: money in/on/with branch: scales to weigh to hire to refine and to make him god to prostrate also to bow
Watu humwaga dhahabu kutoka kwenye mabegi yao na uzito wa fedha kwenye uzani. Humuajiri mfua dhahabu, na hutengeneza kuwa dhahabu; na huinama chini na kuzisuju.
7 to lift: raise him upon shoulder to bear him and to rest him underneath: stand him and to stand: stand from place his not to remove also to cry to(wards) him and not to answer from distress his not to save him
Wanazinyanyua juu ya mabega yao na kuzibeba; wanaziweka katika sehemu yake, na itasimama katika eneo lake na alitasogea kutoka pale, hulilia, lakini haiwezi kujibu wala kumuokoa yeyote kwenye matatizo.
8 to remember this and be manly to return: recall to transgress upon heart
Tafakari kuhusu hivi vitu; katu usivipuuzie, enyi waasi!
9 to remember first: previous from forever: antiquity for I God and nothing still God and end like me
Tafakari kuhusu vitu vya awali, nyakati zile zilizopita, Maana mimi ni Mungu, na hakuna mwingine, Mimi ni Mungu na hakuna kama mimi.
10 to tell from first: beginning end and from front: old which not to make: do to say counsel my to arise: establish and all pleasure my to make: do
Mimi ninatangaza mwisho kutoka mwanzo, na kabla ya kitu ambacho hakijatokea; Ninasema, ''Mpango wangu utatokea na nitafanya kama ninavyotamani.''
11 to call: call to from east bird of prey from land: country/planet distance man (counsel my *Q(K)*) also to speak: speak also to come (in): come her to form: plan also to make: do her
Nitamuita ndege wa mawindo kutoka mashariki, Mtu ambaye ni chaguo langu kutoka nchi ya mbali; Ndio nimesema; na pia nitayatimiza haya, nimekusudia, na pia nitafanya hivyo.
12 to hear: hear to(wards) me mighty: strong heart [the] distant from righteousness
Nisikilize mimi, enyi watu makaidi, ambao mko mbali na kutenda mema.
13 to present: come righteousness my not to remove and deliverance: salvation my not to delay and to give: put in/on/with Zion deliverance: salvation to/for Israel beauty my
Ninaileta haki yangu karibu; na wala sio mbali, na wokovu wangu hausubiri; na nitatoa wokovu wangu kwa Sayuni na uzuri wangu kwa Israeli.

< Isaiah 46 >