< Isaiah 20 >

1 in/on/with year to come (in): come Tartan Ashdod [to] in/on/with to send: depart [obj] him Sargon king Assyria and to fight in/on/with Ashdod and to capture her
Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,
2 in/on/with time [the] he/she/it to speak: speak LORD in/on/with hand: by Isaiah son: child Amoz to/for to say to go: went and to open [the] sackcloth from upon loin your and sandal your to rescue from upon foot your and to make: do so to go: walk naked and barefoot
wakati ule Bwana alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.
3 and to say LORD like/as as which to go: walk servant/slave my Isaiah naked and barefoot three year sign: indicator and wonder upon Egypt and upon Cush
Kisha Bwana akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,
4 so to lead king Assyria [obj] captivity Egypt and [obj] captivity Cush youth and old naked and barefoot and to strip buttock nakedness Egypt
vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.
5 and to to be dismayed and be ashamed from Cush expectation their and from Egypt beauty their
Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.
6 and to say to dwell [the] coastland [the] this in/on/with day [the] he/she/it behold thus expectation our which to flee there to/for help to/for to rescue from face: before king Assyria and how? to escape we
Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’”

< Isaiah 20 >