< Isaiah 15 >

1 oracle Moab for in/on/with night to ruin Ar Moab to cease for in/on/with night to ruin Kir Moab to cease
Neno kuhusu Moabu: Ari iliyo Moabu imeangamizwa: imeharibiwa kwa usiku mmoja! Kiri iliyo Moabu imeangamizwa, imeharibiwa kwa usiku mmoja!
2 to ascend: rise [the] house: home and Dibon [the] high place to/for weeping upon Nebo and upon Medeba Moab to wail in/on/with all head his bald spot all beard to dimish
Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake, mpaka mahali pake pa juu ili walie, Moabu anaombolezea Nebo na Medeba. Kila kichwa kimenyolewa na kila ndevu limeondolewa.
3 in/on/with outside his to gird sackcloth upon roof her and in/on/with street/plaza her all his to wail to go down in/on/with weeping
Wamevaa nguo za magunia barabarani, juu ya mapaa na kwenye viwanja wote wanaomboleza, wamelala kifudifudi kwa kulia.
4 and to cry out Heshbon and Elealeh till Jahaz to hear: hear voice their upon so to arm Moab to shout soul his be ill to/for him
Heshboni na Eleale wanalia, sauti zao zinasikika hadi Yahazi. Kwa hiyo watu wenye silaha wa Moabu wanapiga kelele, nayo mioyo yao imezimia.
5 heart my to/for Moab to cry out fleeing her till Zoar Eglath-shelishiyah third for ascent [the] Luhith in/on/with weeping to ascend: rise in/on/with him for way: road Horonaim outcry breaking to rouse
Moyo wangu unamlilia Moabu; wakimbizi wake wanakimbilia Soari, hadi Eglath-Shelishiya. Wanapanda njia ya kwenda Luhithi, wanakwenda huku wanalia; barabarani iendayo Horonaimu wanaombolezea maangamizi yao.
6 for water Nimrim devastation to be for to wither grass to end: expend grass green not to be
Maji ya Nimrimu yamekauka na majani yamenyauka; mimea imekauka wala hakuna kitu chochote kibichi kilichobaki.
7 upon so abundance to make: offer and punishment their upon Brook [the] (Brook of) Willows to lift: bear them
Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.
8 for to surround [the] outcry [obj] border: area Moab till Eglaim wailing her and Beer-elim Beer-elim wailing her
Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu, kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu, maombolezo yao hadi Beer-Elimu.
9 for water Dibon to fill blood for to set: put upon Dibon to add to/for survivor Moab lion and to/for remnant land: soil
Maji ya Dimoni yamejaa damu, lakini bado nitaleta pigo jingine juu ya Dimoni: simba juu ya wakimbizi wa Moabu na juu ya wale wanaobaki katika nchi.

< Isaiah 15 >