< Hosea 9 >
1 not to rejoice Israel to(wards) rejoicing like/as people for to fornicate from upon God your to love: lover wages upon all threshing floor grain
Usifurahie, ee Israeli; usishangilie kama mataifa mengine. Kwa kuwa hukuwa mwaminifu kwa Mungu wako; umependa ujira wa kahaba kwenye kila sakafu ya kupuria nafaka.
2 threshing floor and wine not to pasture them and new wine to deceive in/on/with her
Sakafu za kupuria nafaka na mashinikizo ya kukamulia divai havitalisha watu, divai mpya itawapungukia.
3 not to dwell in/on/with land: country/planet LORD and to return: return Ephraim Egypt and in/on/with Assyria unclean to eat
Hawataishi katika nchi ya Bwana, Efraimu atarudi Misri na atakula chakula kilicho najisi huko Ashuru.
4 not to pour to/for LORD wine and not to please to/for him sacrifice their like/as food: bread evil: trouble to/for them all to eat him to defile for food: bread their to/for soul: appetite their not to come (in): come house: temple LORD
Hawatammiminia Bwana sadaka ya divai wala dhabihu zao hazitampendeza. Dhabihu kama hizo zitakuwa kwao kama mkate wa waombolezaji; nao wote wazilao watakuwa najisi. Chakula hiki kitakuwa kwa ajili yao wenyewe; kisije katika Hekalu la Bwana.
5 what? to make: do to/for day meeting: festival and to/for day feast LORD
Mtafanya nini katika siku ya sikukuu zenu zilizoamriwa, katika siku za sikukuu za Bwana?
6 for behold to go: went from violence Egypt to gather them Memphis to bury them desire to/for silver: money their nettle to possess: possess them thistle in/on/with tent their
Hata ikiwa wataokoka maangamizi, Misri atawakusanya, nayo Memfisi itawazika. Hazina zao za fedha zitasongwa na michongoma, nayo miiba itafunika mahema yao.
7 to come (in): come day [the] punishment to come (in): come day [the] recompense to know Israel fool(ish) [the] prophet be mad man [the] spirit upon abundance iniquity: crime your and many hatred
Siku za adhabu zinakuja, siku za malipo zimewadia. Israeli na afahamu hili. Kwa sababu dhambi zenu ni nyingi sana na uadui wenu ni mkubwa sana, nabii anadhaniwa ni mpumbavu, mtu aliyeongozwa na Mungu anaonekana mwendawazimu.
8 to watch Ephraim with God my prophet snare fowler upon all way: journey his hatred in/on/with house: temple God his
Nabii, pamoja na Mungu wangu, ndiye mlinzi juu ya Efraimu, hata hivyo mitego inamngojea katika mapito yake yote, na uadui katika nyumba ya Mungu wake.
9 be deep to ruin like/as day [the] Gibeah to remember iniquity: crime their to reckon: punish sin their
Wamezama sana katika rushwa, kama katika siku za Gibea. Mungu atakumbuka uovu wao na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.
10 like/as grape in/on/with wilderness to find Israel like/as early fig in/on/with fig in/on/with first: beginning her to see: see father your they(masc.) to come (in): come Baal of Peor Baal of Peor and to dedicate to/for shame and to be abomination like/as to love: lover they
“Nilipompata Israeli, ilikuwa kama kupata zabibu jangwani; nilipowaona baba zenu, ilikuwa kama kuona matunda ya kwanza katika mtini. Lakini walipofika Baal-Peori, walijiweka wakfu kwa ile sanamu ya aibu, nao wakawa najisi kama kitu kile walichokipenda.
11 Ephraim like/as bird to fly glory their from to beget and from belly: womb and from conception
Utukufu wa Efraimu utaruka kama ndege: hakuna kuzaa, hakuna kuchukua mimba, hakuna kutunga mimba.
12 that if: except if: except to magnify [obj] son: child their and be bereaved them from man for also woe! to/for them in/on/with to turn aside: depart I from them
Hata wakilea watoto, nitamuua kila mmoja. Ole wao nitakapowapiga kisogo!
13 Ephraim like/as as which to see: see to/for Tyre to transplant in/on/with pasture and Ephraim to/for to come out: send to(wards) to kill son: child his
Nimemwona Efraimu, kama Tiro, aliyeoteshwa mahali pazuri. Lakini Efraimu wataleta watoto wao kwa mchinjaji.”
14 to give: give to/for them LORD what? to give: give to give: give to/for them womb be bereaved and breast to shrivel
Wape, Ee Bwana, je, utawapa nini? Wape matumbo ya kuharibu mimba na matiti yaliyokauka.
15 all distress: evil their in/on/with Gilgal for there to hate them upon evil deed their from house: home my to drive out: divorce them not to add: again love their all ruler their to rebel
“Kwa sababu ya uovu wao wote huko Gilgali, niliwachukia huko. Kwa sababu ya matendo yao ya dhambi, nitawafukuza katika nyumba yangu. Sitawapenda tena, viongozi wao wote ni waasi.
16 to smite Ephraim root their to wither fruit (not *Q(K)*) to make [emph?] also for to beget [emph?] and to die desire belly: womb their
Efraimu ameharibiwa, mzizi wao umenyauka, hawazai tunda. Hata kama watazaa watoto, nitawachinja watoto wao waliotunzwa vizuri.”
17 to reject them God my for not to hear: hear to/for him and to be to wander in/on/with nation
Mungu wangu atawakataa kwa sababu hawakumtii; watakuwa watu wa kutangatanga miongoni mwa mataifa.