< Hosea 8 >

1 to(wards) palate your trumpet like/as eagle upon house: temple LORD because to pass: trespass covenant my and upon instruction my to transgress
“Wekeni tarumbeta midomoni mwenu! Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja Agano langu, wameasi dhidi ya sheria yangu.
2 to/for me to cry out God my to know you Israel
Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
3 to reject Israel good enemy to pursue him
Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.
4 they(masc.) to reign and not from me to reign and not to know silver: money their and gold their to make to/for them idol because to cut: eliminate
Wanaweka wafalme bila idhini yangu, wamechagua wakuu bila kibali changu. Kwa fedha zao na dhahabu wamejitengenezea sanamu kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.
5 to reject calf your Samaria to be incensed face: anger my in/on/with them till how not be able innocence
Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama! Hasira yangu inawaka dhidi yao. Watakuwa najisi mpaka lini?
6 for from Israel and he/she/it artificer to make him and not God he/she/it for fragment to be calf Samaria
Zimetoka katika Israeli! Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu. Atavunjwa vipande vipande, yule ndama wa Samaria.
7 for spirit: breath to sow and whirlwind [to] to reap standing grain nothing to/for him branch without to make: do flour perhaps to make: do be a stranger to swallow up him
“Wanapanda upepo na kuvuna upepo wa kisulisuli. Bua halina suke, halitatoa unga. Kama lingetoa nafaka, wageni wangeila yote.
8 to swallow up Israel now to be in/on/with nation like/as article/utensil nothing pleasure in/on/with him
Israeli amemezwa; sasa yupo miongoni mwa mataifa kama kitu kisicho na thamani.
9 for they(masc.) to ascend: rise Assyria wild donkey be alone to/for him Ephraim to hire (lover *L(abh)*)
Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake. Efraimu amejiuza mwenyewe kwa wapenzi.
10 also for to hire in/on/with nation now to gather them and to profane/begin: begin little from burden king ruler
Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa, sasa nitawakusanya pamoja. Wataanza kudhoofika chini ya uonevu wa mfalme mwenye nguvu.
11 for to multiply Ephraim altar to/for to sin to be to/for him altar to/for to sin
“Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi.
12 (to write *Q(k)*) to/for to write (abundance *Q(K)*) instruction my like be a stranger to devise: count
Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni.
13 sacrifice gift my to sacrifice flesh and to eat LORD not to accept them now to remember iniquity: crime their and to reckon: punish sin their they(masc.) Egypt to return: return
Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi nao wanakula hiyo nyama, lakini Bwana hapendezwi nao. Sasa ataukumbuka uovu wao na kuadhibu dhambi zao: Watarudi Misri.
14 and to forget Israel [obj] to make him and to build temple: palace and Judah to multiply city to gather/restrain/fortify and to send: depart fire in/on/with city his and to eat citadel: fortress her
Israeli amemsahau Muumba wake na kujenga majumba ya kifalme, Yuda amejengea miji mingi ngome. Lakini nitatuma moto kwenye miji yao utakaoteketeza ngome zao.”

< Hosea 8 >