< Hosea 11 >

1 for youth Israel and to love: lover him and from Egypt to call: call to to/for son: child my
“Wakati Israeli alikuwa kijana nilimpenda, na nikamwita mtoto wangu kutoka Misri.
2 to call: call to to/for them so to go: went from face: before their to/for Baal to sacrifice and to/for idol to offer: offer [emph?]
Kwa kadiri waliyoitwa, ndivyo walivyoondoka kwangu. Wakawafanyia dhabihu Baali, wakatafuta uvumba kwa sanamu.
3 and I to teach to/for Ephraim to take: take them upon arm his and not to know for to heal them
Lakini mimi ndio niliyemfundisha Efraimu kutembea. Ndiye niliyewainua kwa silaha zao, lakini hawakujua kwamba niliwajali.
4 in/on/with cord man to draw them in/on/with cord love and to be to/for them like/as to exalt yoke upon jaw their and to stretch to(wards) him to eat
Niliwaongoza kwa kamba za ubinadamu, na mafungo ya upendo. Mimi nilikuwa kama mtu aliyepunguza jozi juu ya taya zao, na nikainama na kuwalisha.
5 not to return: return to(wards) land: country/planet Egypt and Assyria he/she/it king his for to refuse to/for to return: repent
Je, hawatarudi nchi ya Misri? Je, Ashuru haitatawala juu yao kwa sababu wanakataa kurudi kwangu?
6 and to twist: dance sword in/on/with city his and to end: destroy bluster his and to eat from counsel their
Upanga utaanguka juu ya miji yao na kuharibu makomeo ya milango yao; itawaangamiza kwa sababu ya mipango yao wenyewe.
7 and people my to hang to/for faithlessness my and to(wards) height to call: call to him unitedness not to exalt
Watu wangu wameamua kuniacha. Ingawa wanaita kwa Aliye Juu, hakuna mtu atawasaidia.
8 how? to give: give you Ephraim to deliver you Israel how? to give: make you like/as Admah to set: make you like/as Zeboiim to overturn upon me heart my unitedness to grow warm comfort my
Ninawezaje kukuacha, Efraimu? Ninawezaje kukupeleka, Israeli? Ninawezaje kukufanya kama Adma? Ninawezaje kukufanya kama Seboimu? Moyo wangu umebadilika ndani yangu; huruma zangu zote zimeongezeka.
9 not to make: do burning anger face: anger my not to return: again to/for to ruin Ephraim for God I and not man in/on/with entrails: among your holy and not to come (in): come in/on/with excitement
Sitafanya hasira yangu kali; Mimi sitawaangamiza Efraimu tena. Kwa maana mimi ni Mungu, wala si mtu; Mimi ni Mtakatifu kati yenu, nami sitakuja katika ghadhabu.
10 after LORD to go: follow like/as lion to roar for he/she/it to roar and to tremble son: child from sea: west
Watanifuata, Bwana. Nitanguruma kama simba. Nami nitaomboleza, na watu watakuja wakitetemeka kutoka magharibi.
11 to tremble like/as bird from Egypt and like/as dove from land: country/planet Assyria and to dwell them upon house: home their utterance LORD
Watakuja wakitetemeka kama ndege kutoka Misri, kama njiwa kutoka nchi ya Ashuru. Nitawafanya wapate kuishi katika nyumba zao.” Hii ndiyo tamko la Bwana.
12 to turn: surround me in/on/with lie Ephraim and in/on/with deceit house: household Israel and Judah still to roam with God and with holy be faithful
Efraimu ananizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu. Lakini Yuda bado anaendelea nami, Mungu, na ni mwaminifu kwangu, Mtakatifu.

< Hosea 11 >