< Hosea 10 >

1 vine be luxuriant Israel fruit to set to/for him like/as abundance to/for fruit his to multiply to/for altar like/as good to/for land: country/planet his be good pillar
Israeli ni mzabibu mzuri ambao huzaa matunda yake. kwa kadiri matunda yake yanavyoongezeka vivyo hivyo anajenga madhabahu nyingi. Kwa kuwa nchi yake ilizalishwa zaidi, aliboresha nguzo zake.
2 to smooth heart their now be guilty he/she/it to break the neck altar their to ruin pillar their
Moyo wao ni udanganyifu; sasa wanapaswa kubeba hatia yao. Bwana ataharibu madhabahu zao; ataharibu nguzo zao.
3 for now to say nothing king to/for us for not to fear: revere [obj] LORD and [the] king what? to make: do to/for us
Kwa maana watasema, “Hatuna mfalme, kwa maana hatukumcha Bwana. Na mfalme-angeweza kutufanyia nini?”
4 to speak: speak word to swear vanity: false to cut: make(covenant) covenant and to sprout like/as poison justice: judgement upon furrow field
Wanasema maneno tupu na kufanya maagano kwa kuapa uongo. Kwa hivyo haki inakuja kama magugu yenye sumu katika mito ya shamba.
5 to/for heifer Beth-aven Beth-aven to dread neighboring Samaria for to mourn upon him people his and pagan priest his upon him to rejoice upon glory his for to reveal: remove from him
Wakazi wa Samaria wataogopa kwa sababu ya ndama za Beth Aveni. Watu wake waliomboleza juu yao, kama walivyofanya wale makuhani wa sanamu ambao walikuwa wamefurahi juu yao na utukufu wao, lakini hawako tena.
6 also [obj] him to/for Assyria to conduct offering: tribute to/for king `great` shame Ephraim to take: bring and be ashamed Israel from counsel his
Wao watachukuliwa kwenda Ashuru kama sadaka kwa mfalme mkuu. Efraimu atakuwa na aibu, na Israeli atakuwa na aibu kwa sanamu yake.
7 to cease Samaria king her like/as splinter upon face: surface water
Mfalme wa Samaria ataangamizwa, kama chipu cha kuni juu ya uso wa maji.
8 and to destroy high place Aven sin Israel thorn and thistle to ascend: rise upon altar their and to say to/for mountain: mount to cover us and to/for hill to fall: fall upon us
Sehemu za juu za uovu zitaharibiwa. Hii ndiyo dhambi ya Israeli! Miti na vichaka vitakua juu ya madhabahu zao. Watu wataiambia milima, “Tufunike sisi!” na kwa vilima, “Tuangukieni!”
9 from day [the] Gibeah to sin Israel there to stand: stand not to overtake them in/on/with Gibeah battle upon son: type of iniquity
Ee Israeli, umetenda dhambi tangu siku za Gibea; huko umebaki. Je, vita vitawapata wana wa uovu huko Gibea?
10 in/on/with desire my and to discipline them and to gather upon them people in/on/with to bind them to/for two (iniquity: guilt their *Q(K)*)
Nitakapotaka, nitawaadhibu. Mataifa wataungana pamoja nao na kuwaweka katika vifungo kwa uovu wao mara mbili.
11 and Ephraim heifer to learn: teach to love: lover to/for to tread and I to pass upon goodness neck her to ride Ephraim to plow/plot Judah to harrow to/for him Jacob
Efraimu ni ndama mwenye mafunzo ambayo anapenda kupura nafaka, hivyo nitaweka jozi juu ya shingo yake nzuri. Efraimu nitauweka jozi; Yuda ataimea; Yakobo atauvuta pigo kwa nafsi yake.
12 to sow to/for you to/for righteousness to reap to/for lip kindness to break to/for you fallow ground and time to/for to seek [obj] LORD till to come (in): come and to shoot righteousness to/for you
Jifanyieni haki, vuneni matunda ya uaminifu wa agano. Chimbueni ardhi yenu isiyopandwa, kwa maana ni wakati wa kumtafuta Bwana, mpaka atakapokuja na kuinua haki juu yenu.
13 to plow/plot wickedness injustice to reap to eat fruit lie for to trust in/on/with way: conduct your in/on/with abundance mighty man your
Mmelima uovu; mmevuna udhalimu. Mmekula matunda ya udanganyifu kwa sababu uliamini katika mipango yako na katika askari wako wengi.
14 and to arise: rise roar in/on/with people your and all fortification your to ruin like/as violence Shalman Beth-arbel Beth-arbel in/on/with day battle mother upon son: child to dash in pieces
Kwa hiyo mlipuko wa vita utafufuka kati ya watu wako, na miji yako yote yenye ngome itaharibiwa. Itakuwa kama Shalmani aliharibu Beth Arbeli siku ya vita, wakati mama alivunjika vipande vipande na watoto wake.
15 thus to make: do to/for you Bethel Bethel from face: because distress: evil distress: evil your in/on/with dawn to cease to cease king Israel
Kwa hiyo itakuwa kwako, Betheli, kwa sababu ya uovu wako mkubwa. Wakati wa mchana mfalme wa Israeli atakatwa kabisa.

< Hosea 10 >