< Genesis 19 >

1 and to come (in): come two [the] messenger: angel Sodom [to] in/on/with evening and Lot to dwell in/on/with gate Sodom and to see: see Lot and to arise: rise to/for to encounter: meet them and to bow face land: soil [to]
Malaika wawili wakaja Sodoma jioni, wakati ambao Lutu alikuwa amekaa langoni mwa Sodoma. Lutu akawaona, akainuka kuwalaki, na akainama uso wake chini ardhini.
2 and to say behold please lord my to turn aside: turn aside please to(wards) house: home servant/slave your and to lodge and to wash: wash foot your and to rise (and to go: went *LAH(b)*) to/for way: journey your and to say not for in/on/with street/plaza to lodge
Akasema, Tafadhari Bwana zangu, nawasihi mgeuke mwende kwenye nyumba ya mtumishi wenu, mlale pale usiku na muoshe miguu yenu. Kisha muamke asubuhi na mapema muondoke.” Nao wakasema, “Hapana, usiku tutalala mjini.”
3 and to press in/on/with them much and to turn aside: turn aside to(wards) him and to come (in): come to(wards) house: home his and to make to/for them feast and unleavened bread to bake and to eat
Lakini akawasihi sana, mwishowe wakaondoka pamoja nae, na wakaingia katika nyumba yake. Akaandaa chakula na kuoka mkate usiotiwa chachu, wakala.
4 before to lie down: lay down and human [the] city human Sodom to turn: surround upon [the] house: home from youth and till old all [the] people from end
Lakini kabla hawaja lala, wanaume wa mji, wa Sodoma, vijana kwa wazee wakaizunguka nyumba, wanaume wote kutoka kila kona ya mji.
5 and to call: call out to(wards) Lot and to say to/for him where? [the] human which to come (in): come to(wards) you [the] night to come out: send them to(wards) us and to know [obj] them
Wakamwita Lutu, na kumwambia, “Wale wanaume walioingia kwako usiku wakowapi? watoe hapa nje waje kwetu, ili tuweze kulala nao.”
6 and to come out: come to(wards) them Lot [the] entrance [to] and [the] door to shut after him
Lutu akatoka nje na akafunga mlango.
7 and to say not please brother: male-sibling my be evil
Akasema, “Nawasihi, ndugu zangu, msitende uovu.
8 behold please to/for me two daughter which not to know man to come out: send please [obj] them to(wards) you and to make: do to/for them like/as pleasant in/on/with eye: appearance your except to/for human [the] these not to make: do word: thing for as that: since as as to come (in): come in/on/with shadow beam my
Tazama, nina mabinti wawili ambao hawajawahi kulala na mwanaume yeyote. Nawaomba tafadhari niwalete kwenu, na muwafanyie lolote muonalo kuwa jema machoni penu. Msitende lolote kwa wanaume hawa, kwa kuwa wamekuja chini ya kivuli cha dari yangu.”
9 and to say to approach: approach further and to say [the] one to come (in): come to/for to sojourn and to judge to judge now be evil to/for you from them and to press in/on/with man in/on/with Lot much and to approach: approach to/for to break [the] door
Wakasema, “Ondoka hapa!” Wakasema pia, huyu alikuja kukaa hapa kama mgeni, na sasa amekuwa mwamuzi! Sasa tutakushugulilia vibaya wewe kuliko wao.” Wakamsonga sana huyo mtu, huyo Lutu, na wakakaribia kuvunja mlango.
10 and to send: reach [the] human [obj] hand their and to come (in): bring [obj] Lot to(wards) them [the] house: home [to] and [obj] [the] door to shut
Lakini wale wanaume wakamkamata Lutu na kumweka ndani na wakafunga mlango.
11 and [obj] [the] human which entrance [the] house: home to smite in/on/with blindness from small and till great: large and be weary to/for to find [the] entrance
Kisha wale wageni wa Lutu wakawapiga kwa upofu wale wanaume waliokuwa nje ya nyumba, vijana na wazee kwa pamoja, kiasi kwamba wakachoka wakati wakiutafuta mlango.
12 and to say [the] human to(wards) Lot still who? to/for you here son-in-law and son: child your and daughter your and all which to/for you in/on/with city to come out: send from [the] place
Basi wale watu wakamwambia Lutu, Je una mtu mwingine yeyote hapa? wakwe zako, wanao na mabinti zako, na yeyote mwingine katika huu mji, ukawatoe hapa.
13 for to ruin we [obj] [the] place [the] this for to magnify cry their with face: before LORD and to send: depart us LORD to/for to ruin her
Kwa kuwa tunakaribia kuiangamiza sehemu hii, kwa sababu mashitaka dhidi yake mbele ya Yahwe yamezidi kiasi kwamba ametutuma kuuangamiza.”
14 and to come out: come Lot and to speak: speak to(wards) son-in-law his to take: marry daughter his and to say to arise: rise to come out: come from [the] place [the] this for to ruin LORD [obj] [the] city and to be like/as to laugh in/on/with eye: appearance son-in-law his
Lutu akatoka na akazungumza na wakwe zake, wanaume ambao walikuwa wamewaposa binti zake, akawambia, “Ondokeni upesi mahali hapa, kwa kuwa Yahwe anakaribia kuuangamiza mji.” Lakini kwa wakwe zake alionekana kuwa anawatania.
15 and like [the] dawn to ascend: dawn and to hasten [the] messenger: angel in/on/with Lot to/for to say to arise: rise to take: take [obj] woman: wife your and [obj] two daughter your [the] to find lest to snatch in/on/with iniquity: punishment [the] city
Alfajiri, malaika wakamsihi Lutu, wakisema, ondoka, mtwae mkeo na binti zako wawili ambao wako hapa, ili kwamba usipotelee katika adhabu ya mji huu.”
16 and to delay and to strengthen: hold [the] human in/on/with hand his and in/on/with hand woman: wife his and in/on/with hand two daughter his in/on/with compassion LORD upon him and to come out: send him and to rest him from outside to/for city
Lakini akakawia-kawia. Kwa hiyo watu wale wakamshika mkono wake, na mkono wa mkewe, na mikono ya binti zake wawili, kwa sababu Yahwe alimhurumia. Wakawatoa nje, na kuwaweka nje ya mji.
17 and to be like/as to come out: send they [obj] them [the] outside [to] and to say to escape upon soul: life your not to look after you and not to stand: stand in/on/with all [the] talent [the] mountain: mount [to] to escape lest to snatch
Wakisha kuwatoa nje mmoja wa wale watu akasema, “jiponye nafsi yako! usitazame nyuma, au usikae mahali popote kwenye hili bonde. Toroka uende milimani ili kwamba usije ukatoweshwa mbali.”
18 and to say Lot to(wards) them not please Lord
Lutu akawambia, “Hapana, tafadhali bwana zangu!
19 behold please to find servant/slave your favor in/on/with eye: seeing your and to magnify kindness your which to make: do with me me to/for to live [obj] soul: life my and I not be able to/for to escape [the] mountain: mount [to] lest to cleave me [the] distress: harm and to die
Mtumishi wenu amepata kibali machoni pako, na umenionesha wema ulio mkuu kwa kuokoa maisha yangu, lakini sitaweza kutorokea milimani, kwa sababu mabaya yataniwahi na nitakufa.
20 behold please [the] city [the] this near to/for to flee there [to] and he/she/it little to escape please there [to] not little he/she/it and to live soul: life my
Tazama, ule mji pale uko karibu nijisalimishe pale, na ni mdogo. Tafadhari niacheni nikimbilie pale ( Je Siyo mdogo ule?), na maisha yangu yataokolewa.”
21 and to say to(wards) him behold to lift: kindness face: kindness your also to/for word: thing [the] this to/for lest to overturn I [obj] [the] city which to speak: speak
Akamwambia, “Sawa, nimekubali ombi hili pia, kwamba sitaangamiza mji ambaoumeutaja.
22 to hasten to escape there [to] for not be able to/for to make: do word: thing till to come (in): come you there [to] upon so to call: call by name [the] city Zoar
Harakisha! toroka uende pale, kwa kuwa sitafanya chochote mpaka ufike pale.” kwa hiyo mji ule ukaitwa Soari.
23 [the] sun to come out: (sun)rise upon [the] land: country/planet and Lot to come (in): come Zoar [to]
Jua lilikuwa limekwisha chomoza juu ya nchi wakati Lutu alipofika Soari.
24 and LORD to rain upon Sodom and upon Gomorrah brimstone and fire from with LORD from [the] heaven
Kisha Yahwe akanyesha juu ya Sodoma na Gomora kiberiti na moto toka kwa Yahwe mbinguni.
25 and to overturn [obj] [the] city [the] these and [obj] all [the] talent and [obj] all to dwell [the] city and branch [the] land: soil
Akaharibu miji ile, na bonde lote, na vyote vilivyomo katika miji, na mimea iliyo chipua juu ya ardhi.
26 and to look woman: wife his from after him and to be garrison salt
Lakini mke wa Lutu aliye kuwa nyuma yake, akatazama nyuma, na akawa nguzo ya chumvi.
27 and to rise Abraham in/on/with morning to(wards) [the] place which to stand: stand there with face: before LORD
Abraham akaamuka asubuhi na mapema akaenda mahali alipokuwa amesimama mbele ya Yahwe.
28 and to look upon face: before Sodom and Gomorrah and upon all face: before land: country/planet [the] talent and to see: see and behold to ascend: rise smoke [the] land: country/planet like/as smoke [the] kiln
Akatazama chini kuelekea Sodoma na Gomora na kuelekea katika nchi yote bondeni. Akaona na tazama, moshi ulikuwauki ukienda juu kutoka chini kama moshi wa tanuru.
29 and to be in/on/with to ruin God [obj] city [the] talent and to remember God [obj] Abraham and to send: depart [obj] Lot from midst [the] overthrow in/on/with to overturn [obj] [the] city which to dwell in/on/with them Lot
Wakati Mungu alipoharibu miji ya bondeni, Mungu akamkumbuka Abraham. Akamtoa Lutu kutoka katika maangamizi alipoangamiza miji ambayo katika hiyo Lutu aliishi.
30 and to ascend: rise Lot from Zoar and to dwell in/on/with mountain: mount and two daughter his with him for to fear to/for to dwell in/on/with Zoar and to dwell in/on/with cave he/she/it and two daughter his
Lakini Lutu akapanda juu kutoka Soari na kwenda kuishi katika milima akiwa pamoja na binti zake wawili, kwa sababu aliogopa kuishi Soari. Kwa hiyo akaishi pangoni, yeye na binti zake wawili.
31 and to say [the] firstborn to(wards) [the] little father our be old and man nothing in/on/with land: country/planet to/for to come (in): come upon us like/as way: conduct all [the] land: country/planet
Yule wa kwanza akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee, na hakuna mwanaume mahali popote wa kulala na sisi kulingana na desturi ya dunia yote.
32 to go: come! [emph?] to water: drink [obj] father our wine and to lie down: have sex with him and to live from father our seed: children
Njoo na tumnyweshe baba yetu mvinyo na tulale naye ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
33 and to water: drink [obj] father their wine in/on/with night he/she/it and to come (in): come [the] firstborn and to lie down: have sex [obj] father her and not to know in/on/with to lie down: have sex she and in/on/with to arise: rise she
Kwa hiyo wakamnywesha baba yako mvinyo usiku ule. Kisha yule wa kwanza akaingia na akalala na baba yake; Baba yake hakujua ni wakati gani alikuja kulala, wala wakati alipo amka.
34 and to be from morrow and to say [the] firstborn to(wards) [the] little look! to lie down: have sex last night [obj] father my to water: drink him wine also [the] night and to come (in): come to lie down: have sex with him and to live from father our seed: children
Siku iliyo fuata yule wa kwanza akamwambia mdogowake, “Sikiliza, usiku wa jana nililala na baba yangu. Na tumnyweshe mvinyo usiku wa leo pia, na uingie ukalale naye. Ili kwamba tuendeleze uzao wa baba yetu.”
35 and to water: drink also in/on/with night [the] he/she/it [obj] father their wine and to arise: rise [the] little and to lie down: have sex with him and not to know in/on/with to lie down: have sex she and in/on/with to arise: rise she
Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule pia, na yule mdogo akaenda na akalala naye. Baba yake hakujua ni wakati gani alilala, wala wakati alipoamka.
36 and to conceive two daughter Lot from father their
Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
37 and to beget [the] firstborn son: child and to call: call by name his Moab he/she/it father Moab till [the] day: today
Wa kwanza akazaa mwana wa kiume, na akamwita jina lake Moabu. Akawa ndiye baba wa wamoabu hata leo.
38 and [the] little also he/she/it to beget son: child and to call: call by name his Ben-ammi Ben-ammi he/she/it father son: descendant/people Ammon till [the] day: today
Nayule mdogo naye akazaa mwana wa kiume, na akamwita Benami. Huyu ndiye baba wa watu wa Waamoni hata leo.

< Genesis 19 >