< Ezra 7 >

1 and after [the] word: thing [the] these in/on/with royalty Artaxerxes king Persia Ezra son: child Seraiah son: child Azariah son: child Hilkiah
Sasa baada ya hili, kipindi cha kutawala Artashasta mfalme wa Uajemi, Ezra akaja kutoka Babeli. Watangulizi wa Ezra walikuwa: Seraya, Azaria, Hilkia,
2 son: child Shallum son: child Zadok son: child Ahitub
Shalumu, Sadoki, Ahitubu,
3 son: child Amariah son: child Azariah son: child Meraioth
Amaria, Azaria, Merayothi,
4 son: child Zerahiah son: child Uzzi son: child Bukki
Zerahia, Uzi, Buki,
5 son: child Abishua son: child Phinehas son: child Eleazar son: child Aaron [the] priest [the] head: leader
Abishaua, Fineasi, Eliazari ambaye ni mtoto wa Haruni kuhani mkuu.
6 he/she/it Ezra to ascend: rise from Babylon and he/she/it secretary quick in/on/with instruction Moses which to give: give LORD God Israel and to give: give to/for him [the] king like/as hand: power LORD God his upon him all request his
Ezra akaja kutoka Babeli na alikuwa mtalaam mwandishi wa sheria ya Musa, ambayo Yahwe, Mungu wa Israel aliwapa. Mfalme akampatia kila kitu alichooomba kwa kuwa mkono wa Yahwe ulikuwa pamoja naye.
7 and to ascend: rise from son: descendant/people Israel and from [the] priest and [the] Levi and [the] to sing and [the] gatekeeper and [the] temple servant to(wards) Jerusalem in/on/with year seven to/for Artaxerxes [the] king
Baadhi ya wazao wa Israel, na makuhani, walawi, waimbaji, walinzi, na wale waliochaguliwa kuhudumu katika Hekalu pia wakaenda Yerusalem katika mwaka wa saba wa mfalme Artashasta.
8 and to come (in): come Jerusalem in/on/with month [the] fifth he/she/it year [the] seventh to/for king
Naye akafika Yerusalem mwezi wa tano kama mwaka huo.
9 for in/on/with one to/for month [the] first he/she/it beginning [the] step from Babylon and in/on/with one to/for month [the] fifth to come (in): come to(wards) Jerusalem like/as hand: power God his [the] pleasant upon him
Naye akaondoka Babeli siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza. Ilikuwa siku ya kwanza ya mwezi wa tano ambapo alifika Yerusalem, kwa kuwa mkono mzuri wa Mungu ulikuwa pamoja naye.
10 for Ezra to establish: establish heart his to/for to seek [obj] instruction LORD and to/for to make: do and to/for to learn: teach in/on/with Israel statute: decree and justice: judgement
Ezra alikuwa ametoa moyo wake kusoma, kutenda, na kufundisha maagizo na sheria za Yahwe.
11 and this copy [the] letter which to give: give [the] king Artaxerxes to/for Ezra [the] priest [the] secretary secretary word: thing commandment LORD and statute: decree his upon Israel
Hii ndio amri ambayo mfalme Artashasta alimpa Ezra kuhani na mwandishi wa sheria za Yahwe na maagizo kwa Israeli.
12 Artaxerxes king king [the] to/for Ezra priest [the] scribe law [the] that god heaven [the] to complete and now
Mfalme wa wafalme Artashasta, kwa kuhani Ezra, mwandishi wa sheria za Mungu wa mbinguni.
13 from me to set: make command that all be willing in/on/with kingdom my from people [the] Israel and priest his and Levite [the] to/for to go to/for Jerusalem with you to go
Ninatoa amri kwamba mtu yeyote Israel katika ufalme wangu pamoja na makuhani na walawi ambao wanatamani kwenda Yerusalem, wanaweza kwenda pamoja na wewe.
14 like/as to/for before: because that from before king [the] and seven counsellor his to send to/for to enquire since Judah and to/for Jerusalem in/on/with law god your that in/on/with hand your
Mimi mfalme na washauri wangu saba, tunawatuma wote kwenda kufahamu kuhusu Yuda na Yerusalem kuhusiana na sheria ya Mungu, ambayo iko mkononi mwako.
15 and to/for to bring silver and gold that king [the] and counsellor his be willing to/for god Israel that in/on/with Jerusalem habitation his
Itakupasa kuleta Dhahabu na fedha ambazo walitoa kwa ajili ya Mungu wa Israel, ambaye makazi yake ni Yerusalem.
16 and all silver and gold that to find in/on/with all province Babylon with be willing people [the] and priest [the] be willing to/for house god their that in/on/with Jerusalem
Fedha iliyotolewa kwa hiari na Dhahabu yote iliyotolewa Babeli pamoja na matoleo ya hiari waliotoa watu na makuhani kwa ajili ya nyumba ya Mungu katika Yerusalem.
17 like/as to/for before: because this diligently to buy in/on/with silver [the] this bullock ram lamb and offering their and drink offering their and to approach they since altar [the] that house god your that in/on/with Jerusalem
Basi ununue vyote sadaka ya kondoo, beberu, kondoo, unga na kinywaji, uvitoe kwenye madhabahu ambayo ni nyumba ya Mungu wako katika Yerusalem.
18 and what? that (since you *Q(k)*) and since (brother your *Q(k)*) (be good *LH(ab)*) in/on/with remainder silver [the] and gold [the] to/for to make like/as pleasure god your to make
Fanya hivyo pamoja na sehemu ya fedha na dhahabu, vyovyote utakavyoona inakupendeza wewe na ndugu zako, kumpendeza Mungu.
19 and utensil [the] that to give to/for you to/for service house god your be complete before god Jerusalem
Viweke vitu vilivyotolewa kwa hiari mbele yako kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu Yerusalem.
20 and remainder requirement house god your that to fall to/for you to/for to give: give to give: give from house treasure king [the]
Kitu chochote kingine ambacho kinahitajika kwenye nyumba ya Mungu wako ambacho unahitaji, Gharama yake itatoka kwenye hazina yangu.
21 and from me me Artaxerxes king [the] to set: make command to/for all treasurer [the] that in/on/with beyond River [the] that all that to ask you Ezra priest [the] scribe law [the] that god heaven [the] diligently to make
Mimi mfalme Artashasta, natoa amri kwa wotunza hazina wote mjini ngambo ya mto, chochote Ezra atakachoomba kwenu anapaswa kupewa chote,
22 till silver talent hundred and till wheat kor hundred and till wine bath hundred and till bath oil hundred and salt that not inscription
hata zaidi ya talanta mia moja za fedha, vipimo mia vya ngano, bathi mia za divai na bathi mia za mafuta, pia na chumvi isiyo na kikomo.
23 all that from command god heaven [the] to make diligently to/for house god heaven [the] that to/for what? to be wrath since kingdom king [the] and son his
Chochote ambacho kimeamriwa kutoka kwa Mungu wa mbinguni, kifanye hicho kwa utukufu wa nyumba yake. Kwa nini hasira yake ije kwenye ufalme wangu na watoto wangu?
24 and to/for you to know that all priest [the] and Levite [the] singer [the] doorkeeper [the] temple servant [the] and to serve house god [the] this tribute tribute and toll not ruling to/for to cast since them
Tutawapa taarifa wao kuhusu ninyi kwamba wasiwatoze ushuru wowote au kodi kwa kuhani, mlawi, mwimbaji, mlinzi au kwa mtu aliyechaguliwa kwenye huduma ya Hekalu na mtumishi katika nyumba ya Mungu.
25 and you Ezra like/as wisdom god your that in/on/with hand your to reckon/appoint to judge and judge that to be (to judge *Q(k)*) to/for all people [the] that in/on/with beyond River [the] to/for all to know law god your and that not to know to know
Ezra, kwa hekima aliyokupa Mungu, inakulazimu kuteua waamuzi na mtu muelewa kuwahudumia watu katika mji ngambo ya mto na kusaidia yeyote anayejua sheria za Mungu wako. Pia inakubidi ufundishe wale ambao hawajui sheria.
26 and all that not to be to make law [the] that god your and law [the] that king [the] diligently judgment [the] to be to make from him if to/for death if (to/for banishment *Q(k)*) if to/for confiscation wealth and to/for bond
Toa adhabu kwa yeyote asiyetii sheria ya Mungu au sheria ya mfalme, ikiwezekana kwa kifo, kuhamishwa, kuchukuliwa mali zake au kufungwa.
27 to bless LORD God father our which to give: put like/as this in/on/with heart [the] king to/for to beautify [obj] house: temple LORD which in/on/with Jerusalem
Atukuzwe, Yahwe, Mungu wa watangulizi wetu, ambaye aliweka ndani ya moyo wa mfalme ili kutuza Nyumba ya Yahwe Yerusalem,
28 and upon me to stretch kindness to/for face: before [the] king and to advise him and to/for all ruler [the] king [the] mighty man and I to strengthen: strengthen like/as hand: power LORD God my upon me and to gather [emph?] from Israel head: leader to/for to ascend: rise with me
ambaye akaendeleza agano kwangu kwa uaminifu mbele ya mfalme, na washauri wake na wakuu wake wenye mamlaka, nilitiwa nguvu na mikono ya Yahwe, Mungu wangu, nami nikawakusanya viongozi kutoka Israel kwenda pamoja nami.

< Ezra 7 >