< Ezekiel 18 >

1 and to be word LORD to(wards) me to/for to say
Neno la Yahwe likanijia tena, kusema,
2 what? to/for you you(m. p.) to use a proverb [obj] [the] proverb [the] this upon land: soil Israel to/for to say father to eat unripe grape and tooth [the] son: child (be blunt *LA(bh)*)
“Je mnamaana gani, ninyi mliotumia hii mithali kuhusiana na nchi ya Israeli na kusema, 'Wababa wamekula zabibu mbichi, na meno ya watoto imetiwa ganzi'?
3 alive I utterance Lord YHWH/God if: surely no to be to/for you still to use a proverb [the] proverb [the] this in/on/with Israel
Kama nishivyo-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-bila shaka hakutakuwa na fursa yoyote tena kwa ajili yenu kuitumia hii mithali katika Israeli.
4 look! all [the] soul to/for me they(fem.) like/as soul [the] father and like/as soul [the] son: child to/for me they(fem.) [the] soul [the] to sin he/she/it to die
Tazama! Kila uhai ni mali yangu-uhai wa baba na uhai wa mwana pia, ni mali yangu! roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa!
5 and man: anyone for to be righteous and to make: do justice and righteousness
Itasemwaje kuhusu mtu mwenye haki na achukuaye yaliyo halali na haki-
6 to(wards) [the] mountain: mount not to eat and eye his not to lift: look to(wards) idol house: household Israel and [obj] woman: wife neighbor his not to defile and to(wards) woman impurity not to present: come
kama asipokula juu ya milima au kuinua macho yake kwa sananmu za nyumba ya Israeli, na hakumnajisi mke wa jirani yake, wala kumsemesha mwanamke katika kipindi chake cha mwezi, je! Yu mwenye haki?
7 and man: anyone not to oppress pledge his debtor to return: rescue violence not to plunder food: bread his to/for hungry to give: give and naked to cover garment
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakumkandamiza yeyote, na kumrudisha mdeni wake kwa kile kilichokuwa kimewekwa kwa ajili ya rehani, na hakuiba lakini kuwapatia chakula wenye njaa na kuwafunika uchi kwa nguo, je yu mwenye haki?
8 in/on/with interest not to give: give and increment not to take: take from injustice to return: turn back hand his justice truth: true to make: do between man to/for man
Je! Itasemwaje kuhusu mtu ambaye hakuchukua faida kubwa kwa ile pesa aliyokopa, na hakuchukua faida kubwa kwa kile alichokiuza?
9 in/on/with statute my to go: walk and justice: judgement my to keep: obey to/for to make: do truth: faithful righteous he/she/it to live to live utterance Lord YHWH/God
Amesemwa kwamba amechukua yaliyo halali na kuimarisha uaminifu kati ya watu. Kama huyo mtu akitembea katika sheria zangu na kuzishika hukumu zangu kufanya kwa uaminifu, kisha ahadi kwa ajili ya mtu mwenye haki ni hii: Ataishi hakika! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.
10 and to beget son: child violent to pour: kill blood and to make: do ah! from one from these
Lakini akizaa mwana mnyang'anyi mmwaga damu na kufanya mengi katika haya mambo kama yalivyotajwa hapa,
11 and he/she/it [obj] all these not to make: do for also to(wards) [the] mountain: mount to eat and [obj] woman: wife neighbor his to defile
hata kama baba yake hakufanya mojawapo katika haya mambo, lakini akala juu ya milima na akamnajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
12 afflicted and needy to oppress violence to plunder pledge not to return: rescue and to(wards) [the] idol to lift: look eye his abomination to make
Huyu mtu huwakandamiza maskini na wahitaji, na huwakamata na kuwanyang'anya, na hawarudishii dhamana, na huyanua macho yake kwa sanamu na kufanya matendo maovu,
13 in/on/with interest to give: give and increment to take: take and to live not to live [obj] all [the] abomination [the] these to make: do to die to die blood his in/on/with him to be
na hukopesha pesa kwa faida ya juu sana na kufanya faida kubwa juu ya anachokiuza, Je! huyo mtu ataishi? Hakika hataishi! Atakufa hakika na damu yake itakuwa juu yake kwa sababu amefanya haya mambo ya chuki.
14 and behold to beget son: child and to see: see [obj] all sin father his which to make: do and to see: see and not to make: do like/as them
Lakini Tazama! tuseme kuna mtu aliyezaa mwana, na mwana wake huona dhambi zote za baba yake alizozifanya, na kupitia kuziona, hakuyafanya hayo mambo.
15 upon [the] mountain: mount not to eat and eye his not to lift: look to(wards) idol house: household Israel [obj] woman: wife neighbor his not to defile
Huyo mwana hakula juu ya milima, na hakuinua macho yake kwa sanamu za nyumba ya Israeli, na hakumtia unajisi mke wa jirani yake, Je! itasemwaje juu yake?
16 and man: anyone not to oppress pledge not to pledge and violence not to plunder food: bread his to/for hungry to give: give and naked to cover garment
Yule mwana hakumkandamiza yeyote, au kutwaa dhamana, au kupoteza vitu, lakini badala yake kutoa chakula chake kwa wenye njaa na kuwafunika wenye uchi kwa nguo.
17 from afflicted to return: turn back hand his interest and increment not to take: take justice: judgement my to make: do in/on/with statute my to go: walk he/she/it not to die in/on/with iniquity: crime father his to live to live
Huyo mwana hakumkandamiza yeyote au au kuchukua faida ambayo ni ya juu sana au kufanya manufaa kwa ajili ya mkopo, lakini ameyashika maagizo yangu na kuenenda sawa sawa na sheria zangu; huyo mwana hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake: Ataishi hakika!
18 father his for to oppress oppression to plunder robbery brother: male-sibling and which not pleasant to make: do in/on/with midst kinsman his and behold to die in/on/with iniquity: crime his
Baba yake, kwa kuwa aliwakandamiza wengine kwa nguvu nyingi na kumnyang'anya ndugu yake, na kufanya yasiyo mema miongoni mwa watu wake-tazama, atakufa katika uovu wake.
19 and to say why? not to lift: guilt [the] son: child in/on/with iniquity: crime [the] father and [the] son: child justice and righteousness to make: do [obj] all statute my to keep: careful and to make: do [obj] them to live to live
Lakini ninyi husema, 'Kwa nini mwana asibebe uovu wa baba yake?' Kwa sababu mwana hubeba yaliyo halali na haki na kuzitunza amri zangu; huzifanya. Ataishi hakika!
20 [the] soul [the] to sin he/she/it to die son: child not to lift: guilt in/on/with iniquity: crime [the] father and father not to lift: guilt in/on/with iniquity: crime [the] son: child righteousness [the] righteous upon him to be and wickedness ([the] wicked *Q(K)*) upon him to be
Yule atendaye dhambi, ndiye ambaye atakufa. Mwana hatabeba uovu wa baba yake, na baba hatabeba uovu wa mwana wake. Haki ya yule atendaye haki itakuwa juu yakwe mwenyewe, na uovu wa mwenye uovu utakuwa juu yake mwenyewe.
21 and [the] wicked for to return: repent from all (sin his *Q(K)*) which to make and to keep: obey [obj] all (statute my *LAB(h)*) and to make: do justice and righteousness to live to live not to die
Lakini kama mwovu ageukapo kutoka dhambi zake zote alizofanya, na kuzitunza sheria zangu zote na kufanya yaliyo halali na haki, kisha hakika ataishi na hatakufa.
22 all transgression his which to make not to remember to/for him in/on/with righteousness his which to make: do to live
Makosa yote aliyoyafanya hayatakumbukwa juu yake. Ataishi kwa hiyo haki aliyoitenda.
23 to delight in to delight in death wicked utterance Lord YHWH/God not in/on/with to return: repent he from way: conduct his and to live
Je! Nitafurahia juu ya kifo cha mwovu-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-na sio katika kugeuka kwake kutoka njia yake ili kwamba aweze kuishi?
24 and in/on/with to return: repent righteous from righteousness his and to make: do injustice like/as all [the] abomination which to make: do [the] wicked to make: do and to live all (righteousness his *Q(K)*) which to make: do not to remember in/on/with unfaithfulness his which be unfaithful and in/on/with sin his which to sin in/on/with them to die
Lakini kama mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye haki yake na kufanya maovu na kutenda machukizo kama machukizo yote ambayo mtu mwovu afanyayo, basi ataishi? Haki yake yote aliyoifanya haitakumbukwa wakati atakaponisaliti katika uhaini wake. Hivyo atakufa katika dhambi alizofanya.
25 and to say not to measure way: conduct Lord to hear: hear please house: household Israel way: conduct my not to measure not way: conduct your not to measure
Lakini ninyi husema, 'Njia ya Bwana si sawa!' sikilizeni, nyumba ya Israeli! Je njia zangu haziko sawa? Je si njia ambazo haziko sawa?
26 in/on/with to return: repent righteous from righteousness his and to make: do injustice and to die upon them in/on/with injustice his which to make: do to die
Wakati mtu mwenye haki ageukapo kutoka kwenye makosa yake, na kufanya maovu na kufa kwa sababu ya hayo, kisha atakufa katika uovu ambao alioufanya.
27 and in/on/with to return: repent wicked from wickedness his which to make and to make: do justice and righteousness he/she/it [obj] soul: life his to live
Lakini wakati mtu mwovu ageukapo kutoka uovu wake alioufanya na kufanya yaliyo halali na haki, kisha ataulinda uhai wake.
28 and to see: examine (and to return: repent *Q(k)*) from all transgression his which to make to live to live not to die
Kwa kuwa ameona na kugeuka kutokana na makosa yake yote ambayo aliyoyafanya. Hakika ataishi, na hatakufa.
29 and to say house: household Israel not to measure way: conduct Lord way: conduct my not to measure house: household Israel not way: conduct your not to measure
Lakini nyumba ya Israeli husema, 'Njia ya Bwana haiko sawa!' Ni namna gani njia zangu si sawa, nyumba ya Israeli? Ni njia zenu ndizo si sawa.
30 to/for so man: anyone like/as way: conduct his to judge [obj] you house: household Israel utterance Lord YHWH/God to return: return and to return: repent from all transgression your and not to be to/for you to/for stumbling iniquity: crime
Kwa hiyo nitamuhukumu kila mtu miongoni mwenu kulingana na njia zake, nyumba ya Israeli! -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo. Tubuni na rudini kutoka kwenye makosa yenu yote ili kwamba wasiwe kikwazo cha uovu dhidi yenu.
31 to throw from upon you [obj] all transgression your which to transgress in/on/with them and to make to/for you heart new and spirit new and to/for what? to die house: household Israel
Tupilia mbali makosa yenu yote mliyoyafanya; jifanyieni moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, nyumba ya Israeli?
32 for not to delight in in/on/with death [the] to die utterance Lord YHWH/God and to return: repent and to live
Kwa kuwa sifurahii kifo cha yule afaye-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo-hivyo tubuni na muishi!”

< Ezekiel 18 >