< Amos 8 >

1 thus to see: see me Lord YHWH/God and behold basket summer
Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.
2 and to say what? you(m. s.) to see: see Amos and to say basket summer and to say LORD to(wards) me to come (in): come [the] end to(wards) people my Israel not to add: again still to pass to/for him
Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?” Nikajibu, “Kikapu chenye matunda yaliyoiva.” Ndipo Bwana akaniambia, “Wakati umewadia kwa watu wangu Israeli; sitawahurumia zaidi.”
3 and to wail song temple in/on/with day [the] he/she/it utterance Lord YHWH/God many [the] corpse in/on/with all place to throw to silence
Bwana Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”
4 to hear: hear this [the] to crush needy and to/for to cease (afflicted *Q(K)*) land: country/planet
Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji, na kuwaonea maskini wa nchi,
5 to/for to say how to pass [the] month: new moon and to buy grain grain and [the] Sabbath and to open grain to/for be small ephah and to/for to magnify shekel and to/for to pervert balance deceit
mkisema, “Ni lini Mwezi Mwandamo utakapopita ili tupate kuuza nafaka, na Sabato itakwisha lini ili tuweze kuuza ngano?” Mkipunguza vipimo, na kuongeza bei, na kudanganya kwa mizani zisizo sawa,
6 to/for to buy in/on/with silver: money poor and needy in/on/with for the sake of sandal and refuse grain to buy grain
mkiwanunua maskini kwa fedha, na wahitaji kwa jozi ya viatu, na mkiuza hata takataka za ngano pamoja na ngano.
7 to swear LORD in/on/with pride Jacob if: surely yes to forget to/for perpetuity all deed their
Bwana ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.
8 upon this not to tremble [the] land: country/planet and to mourn all to dwell in/on/with her and to ascend: rise like/as Nile all her and to drive out: drive out (and to sink *Q(K)*) like/as Nile Egypt
“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili, nao wote waishio ndani mwake hawataomboleza? Nchi yote itainuka kama Naili; itapanda na kushuka kama mto wa Misri.
9 and to be in/on/with day [the] he/she/it utterance Lord YHWH/God and to come (in): (sun)set [the] sun in/on/with midday and to darken to/for land: country/planet in/on/with day light
“Katika siku ile,” asema Bwana Mwenyezi, “Nitalifanya jua litue alasiri na kuifanya dunia iwe giza wakati wa mchana mwangavu.
10 and to overturn feast your to/for mourning and all song your to/for dirge and to ascend: establish upon all loin sackcloth and upon all head bald spot and to set: make her like/as mourning only and end her like/as day bitter
Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo, na kuimba kwenu kote kuwe kilio. Nitawafanya ninyi nyote mvae nguo ya gunia na kunyoa nywele zenu. Nitaufanya wakati ule uwe kama wa kuombolezea mwana wa pekee, na mwisho wake kama siku ya uchungu.
11 behold day to come (in): come utterance Lord YHWH/God and to send: depart famine in/on/with land: country/planet not famine to/for food: bread and not thirst to/for water that if: except if: except to/for to hear: hear [obj] word LORD
“Siku zinakuja,” asema Bwana Mwenyezi, “wakati nitakapotuma njaa katika nchi yote: si njaa ya chakula wala kiu ya maji, lakini njaa ya kusikia maneno ya Bwana.
12 and to shake from sea till sea and from north and till east to rove to/for to seek [obj] word LORD and not to find
Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari na kutangatanga kutoka kaskazini mpaka mashariki, wakitafuta neno la Bwana, lakini hawatalipata.
13 in/on/with day [the] he/she/it to enwrap [the] virgin [the] beautiful and [the] youth in/on/with thirst
“Katika siku ile “wasichana wazuri na vijana wanaume wenye nguvu watazimia kwa sababu ya kiu.
14 [the] to swear in/on/with guiltiness Samaria and to say alive God your Dan and alive way: road Beersheba Beersheba and to fall: kill and not to arise: rise still
Wale waapao kwa aibu ya Samaria, au kusema, ‘Hakika kama miungu yenu iishivyo, ee Dani,’ au ‘Hakika kama mungu wa Beer-Sheba aishivyo’: wataanguka, wala hawatasimama tena.”

< Amos 8 >