< 2 Kings 1 >

1 and to transgress Moab in/on/with Israel after death Ahab
Baada ya kifo cha Mfalme Ahabu, nchi ya Moabu iliasi dhidi ya Israeli.
2 and to fall: fall Ahaziah about/through/for [the] latticework in/on/with upper room his which in/on/with Samaria and be weak: ill and to send: depart messenger and to say to(wards) them to go: went to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron if to live from sickness this
Basi Ahazia alikuwa ameanguka huko Samaria kutoka baraza ya chumba chake cha juu, akaumia. Hivyo akatuma wajumbe, akiwaambia, “Nendeni mkaulize kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni, mkaone kama nitapona kutokana na kuumia huku.”
3 and messenger: angel LORD to speak: speak to(wards) Elijah [the] Tishbite to arise: rise to ascend: rise to/for to encounter: meet messenger king Samaria and to speak: speak to(wards) them from without nothing God in/on/with Israel you(m. p.) to go: went to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron
Lakini malaika wa Bwana akamwambia Eliya, Mtishbi, “Panda ukakutane na wajumbe wa mfalme wa Samaria, uwaulize, ‘Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana mnakwenda kumuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni?’
4 and to/for so thus to say LORD [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die and to go: went Elijah
Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana, ‘Hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!’” Hivyo Eliya akaenda.
5 and to return: return [the] messenger to(wards) him and to say to(wards) them what? this to return: return
Wajumbe waliporudi kwa mfalme, akawauliza, “Kwa nini mmerudi?”
6 and to say to(wards) him man to ascend: rise to/for to encounter: meet us and to say to(wards) us to go: went to return: return to(wards) [the] king which to send: depart [obj] you and to speak: speak to(wards) him thus to say LORD from without nothing God in/on/with Israel you(m. s.) to send: depart to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron to/for so [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die
Wakamjibu, “Mtu fulani alikuja kukutana nasi, naye akatuambia, ‘Rudini kwa mfalme aliyewatuma na mkamwambie, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli ndiyo maana unawatuma watu kwenda kuuliza kwa Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa hiyo hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”’”
7 and to speak: speak to(wards) them what? justice [the] man which to ascend: rise to/for to encounter: meet you and to speak: speak to(wards) you [obj] [the] word: thing [the] these
Mfalme akawauliza, “Alikuwa mtu wa namna gani ambaye mlikutana naye, akawaambia hili?”
8 and to say to(wards) him man master: owning hair and girdle skin to gird in/on/with loin his and to say Elijah [the] Tishbite he/she/it
Wakamjibu, “Alikuwa mtu aliyekuwa na vazi la manyoya na mkanda wa ngozi kiunoni mwake.” Mfalme akasema, “Huyo alikuwa ni Eliya, Mtishbi.”
9 and to send: depart to(wards) him ruler fifty and fifty his and to ascend: rise to(wards) him and behold to dwell upon head: top [the] mountain: mount and to speak: speak to(wards) him man [the] God [the] king to speak: speak to go down [emph?]
Ndipo mfalme akamtuma mkuu mmoja wa kikosi pamoja na kikosi chake cha askari hamsini kwa nabii Eliya. Yule mkuu wa kikosi akamwendea Eliya, aliyekuwa ameketi juu ya kilima, na kumwambia, “Mtu wa Mungu, mfalme anasema, ‘Shuka chini!’”
10 and to answer Elijah and to speak: speak to(wards) ruler [the] fifty and if man God I to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] you and [obj] fifty your and to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] him and [obj] fifty his
Eliya akamjibu yule mkuu wa kikosi, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto ukashuka kutoka mbinguni na kuwateketeza yule mkuu wa kikosi pamoja na watu wake.
11 and to return: again and to send: depart to(wards) him ruler fifty another and fifty his and to answer and to speak: speak to(wards) him man [the] God thus to say [the] king haste to go down [emph?]
Aliposikia hili, mfalme akatuma kwa Eliya mkuu wa kikosi mwingine na askari wake hamsini. Yule mkuu wa kikosi akamwambia Eliya, “Mtu wa Mungu, hili ndilo asemalo mfalme, ‘Shuka chini mara moja!’”
12 and to answer Elijah and to speak: speak to(wards) them if man [the] God I to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] you and [obj] fifty your and to go down fire God from [the] heaven and to eat [obj] him and [obj] fifty his
Eliya akajibu, “Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, moto na ushuke kutoka mbinguni ukuteketeze wewe na watu wako hamsini!” Ndipo moto wa Mungu ukashuka kutoka mbinguni, ukamteketeza yeye na watu wake hamsini.
13 and to return: again and to send: depart ruler fifty third and fifty his and to ascend: rise and to come (in): come ruler [the] fifty [the] third and to bow upon knee his to/for before Elijah and be gracious to(wards) him and to speak: speak to(wards) him man [the] God be precious please soul: life my and soul: life servant/slave your these fifty in/on/with eye: seeing your
Hivyo mfalme akatuma mkuu wa kikosi wa tatu na watu wake hamsini. Huyu mkuu wa kikosi wa tatu akapanda na kupiga magoti mbele ya Eliya, akiomba, “Mtu wa Mungu, tafadhali niachie uhai wangu na uhai wa hawa watu hamsini, watumishi wako!
14 behold to go down fire from [the] heaven and to eat [obj] two ruler [the] fifty [the] first: previous and [obj] fifty their and now be precious soul: life my in/on/with eye: seeing your
Tazama, moto umeshuka kutoka mbinguni na kuwateketeza wale wakuu wa vikosi viwili vya kwanza pamoja na watu wao. Lakini sasa niachie uhai wangu!”
15 and to speak: speak messenger: angel LORD to(wards) Elijah to go down with him not to fear from face of his and to arise: rise and to go down with him to(wards) [the] king
Malaika wa Bwana akamwambia Eliya, “Shuka pamoja naye, usimwogope.” Hivyo Eliya akainuka na kushuka pamoja naye kwa mfalme.
16 and to speak: speak to(wards) him thus to say LORD because which to send: depart messenger to/for to seek in/on/with Baal-zebub Baal-zebub God Ekron from without nothing God in/on/with Israel to/for to seek in/on/with word his to/for so [the] bed which to ascend: rise there not to go down from her for to die to die
Akamwambia mfalme, “Hili ndilo asemalo Bwana: Je, ni kwa sababu hakuna Mungu katika Israeli wa kumuuliza habari, ndiyo maana ukatuma wajumbe kuuliza Baal-Zebubu, mungu wa Ekroni? Kwa sababu umefanya hili, kamwe hutaondoka kwenye kitanda unachokilalia. Hakika utakufa!”
17 and to die like/as word LORD which to speak: speak Elijah and to reign Joram underneath: instead him in/on/with year two to/for Joram son: child Jehoshaphat king Judah for not to be to/for him son: child
Hivyo akafa, sawasawa na lile neno la Bwana ambalo Eliya alikuwa amesema. Kwa kuwa Ahazia hakuwa na mwana, Yoramu akawa mfalme baada yake katika mwaka wa pili wa Yehoramu mwana wa Yehoshafati mfalme wa Yuda.
18 and remainder word: deed Ahaziah which to make: do not they(masc.) to write upon scroll: book Chronicles [the] day to/for king Israel
Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahazia na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

< 2 Kings 1 >