< Psalms 150 >
1 Praise Yahweh - praise God in sanctuary his praise him in [the] firmament of strength his.
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2 Praise him for mighty deeds his praise him according to [the] greatness of greatness his.
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
3 Praise him with a blast of a ram's horn praise him with lyre and harp.
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4 Praise him with tambourine and dancing praise him with stringed instruments and flute.
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5 Praise him with cymbals of sound praise him with cymbals of shouting.
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6 Every breathing thing let it praise Yahweh praise Yahweh.
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!