< Psalms 148 >
1 Praise Yahweh - praise Yahweh from the heavens praise him in the heights.
Msifuni Yahwe. Msifuni Yahwe, ninyi mlio katika mbingu; msifuni yeye, ninyi mlio juu.
2 Praise him O all angels his praise him O all (hosts his. *Q(K)*)
Msifuni yeye, enyi malaika wake wote; msifuni yeye, majeshi ya malaika wake wote.
3 Praise him O sun and moon praise him O all [the] stars of light.
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi; msifuni yeye, nyota zote zing'aazo.
4 Praise him O heaven of the heavens and the waters which - [are] above the heavens.
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu zaidi na maji yaliyo juu ya anga.
5 Let them praise [the] name of Yahweh for he he commanded and they were created.
Na vilisifu jina la Yahwe, maana aliamuru, navyo vikaumbwa.
6 And he established them for ever for ever a decree he gave and not it will pass away.
Pia ameviimrisha milele na milele; naye alitoa amri ambayo haitabadilika.
7 Praise Yahweh from the earth O sea monsters and all [the] deeps.
Msifuni yeye kutoka nchi, ninyi viumbe wa baharini na viumbe vyote katika kina cha bahari,
8 O fire and hail snow and smoke wind of storm [which] does word his.
moto na mvua ya mawe, theluji na mawingu, upepo wa dhoruba ukitimiza neno lake.
9 O mountains and all hills tree[s] of fruit and all cedars.
Msifuni yeye, enyi milima na vilima, miti ya matunda na mierezi yote,
10 O animal[s] and all livestock creeping thing[s] and bird[s] of wing.
wanyama pori na wanyama wafugwao, viumbe vitambaavyo na ndege.
11 O kings of [the] earth and all peoples of icials and all rulers of [the] earth.
Msifuni Yahwe, wafalme wa nchi na mataifa yote, wakuu na watawala wote wa nchi,
12 O young men and also young women old [people] with youths.
wote vijana wa kiume na vijana wa kike, wazee na watoto.
13 Let them praise - [the] name of Yahweh for [is] exalted name his to only him splendor his [is] above earth and heaven.
Na walisifu jina la Yahwe, kwa kuwa jina lake pekee limetukuka na utukufu wake umeongezwa juu ya nchi na mbingu.
14 And he has raised up a horn - for people his praise for all faithful [people] his for [the] people of Israel a people kinsmen his praise Yahweh.
Naye ameyainua mapembe ya watu wake kwa ajili ya sifa kutoka kwa waaminifu wake wote, Waisraeli, watu wa karibu naye. Msifuni Yahwe.