< Psalms 114 >
1 When went out Israel from Egypt [the] house of Jacob from a people speaking a foreign language.
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 It became Judah sanctuary his Israel dominion his.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 The sea it saw and it fled the Jordan it turned around to backwards.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 The mountains they skipped about like rams hills like young ones of sheep.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 What? [is] to you O sea that you will flee O Jordan you will turn around to backwards.
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 O mountains you will skip about like rams O hills like young ones of sheep.
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 From to before [the] lord tremble O earth from to before [the] God of Jacob.
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 Who turned the rock a pool of water flint into spring of his water.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.