< Proverbs 6 >

1 O son my if you have stood surety for fellow-citizen your you have struck for the stranger palms your.
Mwanangu, kama utaweka pesa zako kuwa dhamana kwa mkopo wa jirani yako; kama ukitoa ahadi yako katika mkopo wa mtu usiyemjua,
2 You have been ensnared by [the] words of mouth your you have been caught by [the] words of mouth your.
basi umejiwekea mtego mwenyewe na umenaswa kwa maneno ya kinywa chako.
3 Do this then - O son my and deliver yourself for you have come in [the] palm of neighbor your go humble yourself and importune neighbor your.
Mwanagu, ukinaswa kwa maneno yako mwenyewe, fanya haya ili kujiokoa, kwa kuwa umeangukia kwenye mikono ya jirani yako; nenda unyenyekee na ufanye shauri mbele ya jirani yako.
4 May not you give sleep to eyes your and slumber to eyelids your.
Usiruhusu usingizi katika macho yako wala kope za macho yako kusinzia.
5 Deliver yourself like a gazelle from a hand and like a bird from [the] hand of a fowler.
Jiokoe mwenyewe kama swala kutoka katika mkono wa mwindaji, kama ndege kutoka katika mkono wa mwinda ndege.
6 Go to an ant O sluggard consider ways its and become wise.
Wewe mtu mvivu, mwangalie mchwa, zitafakari njia zake ili kupata busara.
7 Which not [belongs] to it [is] commander of icer and ruler.
Hana akida, afisa au mtawala,
8 It prepares in the summer food its it gathers at the harvest food its.
lakini huandaa chakula chake wakati wa joto na wakati wa mavuno huweka hazina ili kula baadaye.
9 Until when? O sluggard - will you lie down when? will you rise from sleep your.
Ewe mtu mvivu, utalala hata lini? Wakati gani utainuka usingizini?”
10 A little of sleep a little of slumber a little of - folding of hands to rest.
Lala kidogo, sizia kidogo, kunja mikono kupumzika kidogo” -
11 And it will come like a traveler poverty your and lack your like a man of shield.
ndipo umasikini wako utakapokujia kama mporaji na uhitaji wako kama askari wa vita.
12 A person of worthlessness a person of wickedness [is] walking crookedness of mouth.
Mtu asiyefaa-mtu mwovu- huishi kwa kauli za udanganyifu wake,
13 [he is] winking (With eyes his *Q(K)*) [he is] scraping (with feet his *Q(K)*) [he is] pointing with fingers his.
akipepesa macho yake, akiashilia kwa miguu yake na kusonta kwa videle vyake.
14 Perverse things - [are] in heart his [he is] devising evil at every time (contentions *Q(K)*) he sends out.
Hufanya njama za uovu kwa hila ya moyo wake; daima huchochea faraka.
15 There-fore suddenly it will come disaster his an instant he will be broken and there not [will be] healing.
Kwa hiyo msiba wake utamkumba kwa ghafula, punde atavunjika vibaya wala hatapona.
16 Six [things] those he hates Yahweh and [are] seven ([the] disgusting thing of *Q(K)*) self his.
Kuna vitu sita ambavyo Yehova huvichukia, saba ambavyo ni chukizo kwake.
17 Eyes haughty a tongue of falsehood and hands [which] shed blood innocent.
Macho ya mtu mwenye kiburi, ulimi wa uongo, mikono inayomwaga damu ya watu maasumu,
18 A heart [which] devises plans of wickedness feet [which] hurry to run to evil.
moyo unaobuni njama mbaya, miguu inayokimbilia maovu upesi,
19 [who] he breathes out Lies a witness of falsehood and [one who] spreads contentions between brothers.
shahidi asemaye uongo na apandaye faraka kati ya ndugu.
20 Keep O son my [the] commandment of father your and may not you forsake [the] instruction of mother your.
Mwanangu, itii amri ya baba yako na wala usiyaache mafundisho ya mama yako.
21 Bind them on heart your continually tie them on necks your.
Uyafunge katika moyo wako siku zote; yafunge kwenye shingo yako.
22 When walking about you - it will guide you when lying down you it will watch over you and you will awake it it will speak to you.
utembeapo, yatakuongoza; ulalapo yatakulinda, na uamkapo yatakufundisha.
23 For [is] a lamp [the] commandment and [the] instruction [is] a light and [are] a way of life rebukes of discipline.
Maana amri ni taa, na mafundisho ni nuru; kinga za kuadilisha za njia ya uzima.
24 To keep you from a woman of evil from smoothness of tongue a foreign [woman].
Yanakulinda dhidi ya mwanamke malaya, dhidi ya maneno laini ya uzinzi.
25 May not you desire beauty her in heart your and may not she capture you with eyelids her.
Moyoni mwako usiutamani uzuri wake wala usitekwe katika kope zake.
26 For [the] price a woman a prostitute to a round loaf of bread and [the] wife of a man a life precious she hunts.
Kulala na malaya inaweza kugharimu bei ya kipande cha mkate, lakini mke wa mtu mwingine inagharimu uzima wako wote.
27 ¿ Will he snatch up a man fire in bosom his and garments his not will they be burned?
Je mtu anaweza kubeba moto katika kifua chake bila kuuguza mavazi yake?
28 Or? will he walk? a man on burning coals and feet his not will they be scorched.
Je mtu anaweza kutembea juu ya makaa bila kuchomwa miguu yake?
29 [is] thus The [one who] goes into [the] wife of neighbor his not he will go unpunished every [one who] touches her.
Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa jirani yake; yule alalaye na huyo mke hatakosa adhabu.
30 Not people despise the thief if he will steal to fill appetite his for he will be hungry.
Watu hawawezi kumdharau mwizi kama anaiba ili kukidhi hitaji lake la njaa.
31 And he will be found out he will make restitution sevenfold all [the] wealth of house his he will give.
Walakini akimatwa, atalipa mara saba ya kile alichoiba; lazima atoe kila kitu cha thamani katika nyumba yake.
32 [one who] commits adultery A woman [is] lacking of heart [one who] destroys own self his he he will do it.
Mtu anayefanya uzinzi hana akili; hufanya hiyo kwa uharibifu wake mwenyewe.
33 A wound and shame he will find and reproach his not it will be wiped away.
Anasitahili aibu na majeraha na fedheha yake haiwezi kuondolewa.
34 For jealousy [is the] rage of a man and not he will have compassion on a day of vengeance.
Maana vivu humghadhibisha mtu; hatakuwa na huruma wakati wa kulipa kisasi chake.
35 Not he will lift up [the] face of any ransom and not he will be willing for you will make great a bribe.
Ujapompa zawadi nyingi, hatakubali mbadala wa kusuruhishwa wala kulipwa.

< Proverbs 6 >