< Isaiah 31 >

1 Woe to! those [who] go down Egypt for help on horses they depend and they have relied on chariotry for [it is] many and on horsemen for they are numerous exceedingly and not they look on [the] holy [one] of Israel and Yahweh not they seek.
Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
2 And also he [is] wise and he has brought calamity and words his not he has turned aside and he will rise up on [the] house of evil-doers and on [the] help of [those who] do wickedness.
Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
3 And Egypt [is] humankind and not God and horses their [are] flesh and not spirit and Yahweh he will stretch out hand his and he will stumble [one who] helps and he will fall [one who] is helped and together all of them they will come to an end!
Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
4 For thus he has said Yahweh - to me just as it growls the lion and the young lion over prey its that it is summoned on it a multitude of shepherds from voice their not it is dismayed and from tumult their not it cringes so he will come down Yahweh of hosts to wage war on [the] mountain of Zion and on hill its.
Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
5 Like birds flying so he will defend Yahweh of hosts Jerusalem he will defend [it] and he will rescue [it] he will pass over [it] and he will deliver [it].
Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
6 Return to [the one] whom they have made deep rebellion [the] people of Israel.
Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
7 For in the day that they will reject! everyone [the] idols of silver his and [the] idols of gold his which they have made for you hands your sin.
Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 And it will fall Assyria by a sword not a human and a sword not a human it will consume it and it will flee itself from before a sword and young men its forced labor they will become.
Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
9 And rock its from terror it will pass away and they will be dismayed from a standard commanders its [the] utterance of Yahweh who fire [belongs] to him in Zion and an oven [belongs] to him in Jerusalem.
Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.

< Isaiah 31 >