< Exodus 29 >
1 And this [is] the thing which you will do to them to consecrate them to serve as priests me take a young bull one a son of [the] herd and rams two unblemished.
Sasa Hivi ndivyo wapaswa kufanya kuwatenga ili wanitumikie kama makuhani. Chukuwa mtoto wa ng'ombe dume na kondoo bila lawama,
2 And bread of unleavened bread and cakes of unleavened bread mixed with oil and wafers of unleavened bread smeared with oil fine flour of wheat you will make them.
mkate bila hamira, na keki bila hamira iliyo changanywa na mafuta. Pia chukuwa maandazi bila hamira yalio pakwa mafuta. Fanya maandazi kwa unga mzuri wa ngano.
3 And you will put them on a basket one and you will bring near them in the basket and the young bull and [the] two the rams.
Lazima uweke kwenye ndoo moja, leta kwenye ndoo, na kuleta pamoja na ng'ombe dume na wana kondoo wawili.
4 And Aaron and sons his you will bring near to [the] entrance of [the] tent of meeting and you will wash them with water.
Lazima nawe umlete Aruni na wana wake wawili katika lango la kuingilia hema la kukutania. Lazima uwasafishe Aruni na wana wake kwenye maji.
5 And you will take the garments and you will clothe Aaron the tunic and [the] robe of the ephod and the ephod and the breastpiece and you will gird [the] ephod to him with [the] girdle of the ephod.
Kisha twaa hayo mavazi na kumvika Haruni; itie kanzu, na joho ya naivera, na naivera, na kifuko cha kifuani, na kumkaza kwa huo mshipi wa naivera uliosukwa kwa ustadi.
6 And you will put the turban on head his and you will put [the] crown of holiness on the turban.
Nawe mvike kile kilemba kichwani, na ile taji takatifu utaitia katika kile kilemba.
7 And you will take [the] oil of anointing and you will pour [it] on head his and you will anoint him.
Ndipo utakapotwaa hayo mafuta ya kutiwa, na kummiminia kichwani mwake, na kumtia mafuta.
8 And sons his you will bring near and you will clothe them tunics.
Kisha walete hao wanawe na kuwavika kanzu.
9 And you will gird them a sash Aaron and sons his and you will bind on to them headdresses and it will be[long] to them priesthood to a statute of perpetuity and you will fill [the] hand of Aaron and [the] hand of sons his.
Nawe uwakaze mishipi, Aruni na wanawe, na kuwavika kofia. Nao watakuwa na huo ukuhani kwa amri ya milele. Nawe utawaweka Haruni na wanawe kwa kazi takatifu.
10 And you will bring near the young bull before [the] tent of meeting and he will lay Aaron and sons his hands their on [the] head of the young bull.
Kisha utamleta huyo ng’ombe mbele ya hema ya kukutania; na Haruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo ng’ombe.
11 And you will slaughter the young bull before Yahweh [the] entrance of [the] tent of meeting.
Kisha utamchinja huyo ng’ombe mbele ya Yahweh pa hema ya kukutania. BWANA,
12 And you will take some of [the] blood of the young bull and you will put [it] on [the] horns of the altar with finger your and all the blood you will pour out to [the] base of the altar.
Kisha twaa baadhi ya damu ya ng’ombe, uitie katika pembe za madhabahu kwa kidole chako; na kuimimina damu yote chini ya madhabahu.
13 And you will take all the fat which covers the entrails and the lobe on the liver and [the] two the kidneys and the fat which [is] on them and you will make [them] smoke the altar towards.
Kisha chukuwa mafuta yote yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo juu yake, uyateketeze yote juu ya madhabahu.
14 And [the] flesh of the young bull and hide its and offal its you will burn with fire from [the] outside of the camp [is] a sin offering it.
Lakini nyama yake huyo ng’ombe, na ngozi yake, na mavi yake, utayachoma kwa moto nje ya marago; ni sadaka kwa ajili ya dhambi.
15 And the ram one you will take and they will lay Aaron and sons his hands their on [the] head of the ram.
Pia mtwae kondoo mume mmoja; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo mume.
16 And you will slaughter the ram and you will take blood its and you will sprinkle [it] on the altar all around.
Kisha utamchinja huyo kondoo mume, na kuitwaa damu yake, na kuinyunyiza katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
17 And the ram you will cut in pieces into pieces its and you will wash entrails its and legs its and you will put [them] with pieces its and with head its.
Kisha utamkata-kata kondoo vipande vyake, na kuyaosha matumbo yake na miguu yake, na kuiweka pamoja na vipande vyake na kichwa chake,
18 And you will make smoke all the ram the altar towards [is] a burnt offering it to Yahweh [is] an odor of soothing a fire offering to Yahweh it.
nawe mteketeze kondoo mzima juu ya madhabahu. Ni sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yaYahweh; ni harufu nzuri, sadaka iliyosongezwa kwa Yahweh kwa njia ya moto.
19 And you will take the ram second and he will lay Aaron and sons his hands their on [the] head of the ram.
Kisha mtwae huyo kondoo mwingine; na Aruni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake huyo kondoo.
20 And you will slaughter the ram and you will take some of blood its and you will put [it] on [the] lobe of [the] ear of Aaron and on [the] lobe of [the] ear of sons his right and on [the] thumb of hand their right and on [the] big toe of foot their right and you will sprinkle the blood on the altar all around.
Kisha utamchinja kondoo, na kuitwaa damu yake, na kuitia katika ncha ya sikio la Aruni la upande wa kuume, na katika ncha za masikio ya kuume ya wanawe, na katika vyanda vya gumba vya mikono yao ya kuume, na katika vidole vikuu vya miguu yao ya kuume, na kuinyunyiza hiyo damu katika madhabahu kuizunguka kando-kando.
21 And you will take some of the blood which [is] on the altar and some of [the] oil of anointing and you will spatter [it] on Aaron and on garments his and on sons his and on [the] garments of sons his with him and he will be holy he and garments his and sons his and [the] garments of sons his with him.
Kisha twaa katika hiyo damu iliyo juu ya madhabahu, na katika hayo mafuta ya kutiwa, na kumnyunyizia Aruni, juu ya mavazi yake, na wanawe, na mavazi yao pia, pamoja naye; naye atatakaswa, na mavazi yake, na wanawe, na mavazi ya wanawe, pamoja naye.
22 And you will take from the ram the fat and the fat tail and the fat - which covers the entrails and [the] lobe of the liver and - [the] two the kidneys and the fat which [is] on them and [the] thigh of the right for [is] a ram of installation offering it.
Tena yatwae mafuta ya huyo kondoo mume, na mkia wake wa mafuta, na mafuta yafunikayo matumbo, na kitambi kilicho katika ini, na figo mbili, na mafuta yaliyo katika hizo figo, na paja la kuume; kwani ni kondoo ambaye ni wa kuwekwa kwa kazi takatifu.
23 And a round loaf of bread one and a cake of bread of oil one and a wafer one from [the] basket of the unleavened bread which [will be] before Yahweh.
Utwae na mkate mmoja wa unga, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na kaki moja katika kile kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, kilichowekwa mbele ya Yahweh.
24 And you will put everything on [the] hands of Aaron and on [the] hands of sons his and you will wave them a wave-offering before Yahweh.
Nawe utavitia hivi vyote katika mikono ya Aruni, na katika mikono ya wanawe; nawe utavitikisa-tikisa viwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahweh.
25 And you will take them from hand their and you will make [them] smoke the altar towards on the burnt offering to an odor of soothing before Yahweh [is] a fire offering it to Yahweh.
Kisha uvitwae vile vitu mikononi mwao, na kuviteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa, viwe harufu nzuri mbele yangu; ni sadaka iliyotengenezwa kwangu kwa njia ya moto.
26 And you will take the breast from [the] ram of installation offering which [belongs] to Aaron and you will wave it a wave-offering before Yahweh and it will be[long] to you to a portion.
Kisha twaa kidari cha huyo kondoo wa kuwekwa kwake Haruni kwa kazi takatifu, na kukitikisa-tikisa kiwe sadaka ya kutikiswa mbele za Yahwe nacho kitakuwa ni sehemu yako.
27 And you will consecrate - [the] breast of the wave-offering and [the] thigh of the contribution which it was waved and which it was raised from [the] ram of installation offering from [that] which [belongs] to Aaron from [that] which [belongs] to sons his.
Nawe kitakase kile kidari cha ile sadaka ya kutikiswa, na lile paja la sadaka ya kuinuliwa, lililotikiswa, na lililoinuliwa juu, vya yule kondoo wa kuwekwa kwa kazi takatifu, huyo aliyekuwa kwa ajili ya Aruni na wanawe.
28 And it will belong to Aaron and to sons his to a prescribed portion of perpetuity from with [the] people of Israel for [is] a contribution it and a contribution it will be from with [the] people of Israel from [the] sacrifices of peace offerings their contribution their to Yahweh.
Navyo vitakuwa vya Haruni na wanawe posho ya lazima sikuzote itokayo kwa hao wana wa Israeli; kwa kuwa ni sadaka ya kuinuliwa; nayo itakuwa ni sadaka ya kuinuliwa itokayo kwa hao wana wa Israeli katika dhabihu zao za sadaka za amani, ni sadaka yao ya kuinuliwa kwa ajili ya Yahweh.
29 And [the] garments of holiness which [belong] to Aaron they will belong to sons his after him for anointing in them and to fill in them hand their.
Na hayo mavazi matakatifu ya Aruni yatakuwa ya wanawe baada yake, wayavae watakapotiwa mafuta, na watakapowekwa kwa kazi takatifu.
30 Seven days he will wear them the priest in place of him one of sons his who he will come into [the] tent of meeting to serve in the holy place.
Huyo mwanawe atakayekuwa kuhani badala yake atayavaa muda wa siku saba, hapo atakapoingia ndani ya hiyo hema ya kukutania, ili atumike ndani ya mahali patakatifu.
31 And [the] ram of installation offering you will take and you will boil meat its in a place holy.
Nawe twaa huyo kondoo mume aliyekuwa wa kuwekwa kwa kazi takatifu, na kuitokosa nyama yake katika mahali patakatifu.
32 And he will eat Aaron and sons his [the] meat of the ram and the bread which [is] in the basket [the] entrance of [the] tent of meeting.
Na Aruni na wanawe wataila ile nyama ya kondoo, na mikate iliyo katika kile kikapu, hapo mbele ya mlango wa hema ya kukutania.
33 And they will eat them which it was atoned by them to fill hand their to consecrate them and a stranger not he will eat [them] for [are] a holy thing they.
Nao watakula vile vitu ambavyo upatanisho ulifanywa kwa hivyo, ili kuwaweka kwa kazi takatifu na kuwatakasa; lakini mgeni asivile, maana, ni vitu vitakatifu.
34 And if it will be left over some of [the] meat of installation offering and some of the bread until the morning and you will burn what is left over with fire not it will be eaten for [is] a holy thing it.
Na kwamba kitu cho chote cha ile nyama, iliyo kwa ajili ya kuweka kwa kazi takatifu, au cho chote cha hiyo mikate, kikisalia hata asubuhi, ndipo utavichoma kwa moto hivyo vilivyosalia; havitaliwa, maana, ni vitu vitakatifu
35 And you will do to Aaron and to sons his thus according to all that I have commanded you seven days you will fill hand their.
Ni hivyo utakavyowatendea Aruni na wanawe kama nilivyo kuagiza. Utawaweka kwa kazi takatifu siku saba.
36 And a young bull of a sin offering you will offer to the day on atonement and you will make a sin offering on the altar when making atonement you on it and you will anoint it to consecrate it.
Kila siku utamtoa ng’ombe wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho; nawe utaisafisha hiyo madhabahu, hapo utakapofanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu; nawe utaitia mafuta, ili kuitakasa.
37 Seven days you will make atonement on the altar and you will consecrate it and it will be the altar holiness of holiness every [thing which] touches the altar it will be holy.
Utafanya upatanisho kwa ajili ya hiyo madhabahu muda wa siku saba, na kuitakasa; ndipo madhabahu itakapokuwa takatifu sana; kila kitu kiigusacho madhabahu kitakuwa kitakatifu.
38 And this [is that] which you will offer on the altar lambs sons of a year two to the day continually.
Lazima utoe kwenye madhabahu wana-kondoo wa mwaka mmoja wawili siku baada ya siku
39 The lamb one you will offer in the morning and the lamb second you will offer between the evenings.
daima. Mwana-kondoo mmoja utamchinja asubuhi; na mwana-kondoo wa pili utamchinja jioni
40 And a tenth of fine flour mixed with oil pressed fourth part of hin and a drink offering fourth of hin wine for the lamb one.
Pamoja na mwana-kondoo mmoja utatoa vibaba vitatu vya unga mzuri uliochanganyika na mafuta yenye kupondwa, kiasi cha kibaba na robo kibaba; na divai kiasi cha kibaba na robo kibaba, iwe sadaka ya kinywaji.
41 And the lamb second you will offer between the evenings like [the] grain offering of the morning and like drink offering its you will offer it to an odor of soothing a fire offering to Yahweh.
Na huyo mwana-kondoo wa pili utamchinja wakati wa jioni. Nawe utamfanyia vivyo kama ile sadaka ya unga ya asubuhi, na kama ile sadaka yake ya kinywaji. Hii itatoa harufu nzuri, ni dhabihu ya kusongezwa kwangu kwa njia ya moto.
42 A burnt offering of continuity to generations your [the] entrance of [the] tent of meeting before Yahweh where I will meet you there to speak to you there.
Itakuwa ni sadaka ya kuteketezwa milele katika vizazi vyenu vyote mlangoni pa ile hema ya kukutania mbele ya Yahweh, hapo nitakapokutana nanyi, ili niseme na wewe hapo.
43 And I will meet there [the] people of Israel and it will be shown as holy by glory my.
Nami nitakutana na wana wa Israeli hapo; na hiyo hema itafanywa takatifu na utukufu wangu. Nami nitaitakasa hiyo hema ya kukutania, na hiyo madhabahu.
44 And I will consecrate [the] tent of meeting and the altar and Aaron and sons his I will consecrate to serve as priests me.
Pia Aruni na wanawe nitawatakasa, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.
45 And I will dwell in among [the] people of Israel and I will become for them God.
Na mimi nitakaa kati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.
46 And they will know that I [am] Yahweh God their who I brought out them from [the] land of Egypt to dwell I in midst of them I [am] Yahweh God their.
Nao watanijua kuwa mimi ndimi Yahweh, Mungu wao, niliyewaleta watoke katika nchi ya Misri, nipate kukaa kati yao. Ni mimi Yahweh, Mungu wao.