< Exodus 23 >

1 Not you must bear a report of falsehood may not you put hand your with a wicked [person] to be a witness of injustice.
“Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.
2 Not you must be after many [people] to wicked deeds and not you must testify on a case at law by turning aside after many [people] to thrust aside.
“Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,
3 And a poor [person] not you must show partiality in case at law his.
nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.
4 If you will meet [the] ox of enemy your or donkey his wandering off certainly you will return it to him.
“Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.
5 If you will see [the] donkey of [one who] hates you lying down under load its and you will refrain from leaving it certainly you will let [it] loose with him.
Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.
6 Not you must turn aside [the] justice of needy [person] your in case at law his.
“Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.
7 From a word of falsehood you will be distant and an innocent [person] and a righteous [person] may not you kill for not I will declare righteous a wicked [person].
Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.
8 And a bribe not you must take for bribe it makes blind clear-sighted [people] so it may pervert [the] words of righteous [people].
“Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.
9 And a sojourner not you must oppress and you you have known [the] life of the sojourner for sojourners you were in [the] land of Egypt.
“Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.
10 And six years you will sow land your and you will gather produce its.
“Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,
11 And the seventh [year] you will let rest it and you will leave fallow it and they will eat [the] needy [people] of people your and excess their it will eat [the] animal[s] of the field thus you will do to vineyard your to olive grove your.
lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.
12 Six days you will do work your and on the day seventh you will rest so that it may rest ox your and donkey your so he may refresh himself [the] child of female slave your and the sojourner.
“Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.
13 And to all that I have said to you you will take heed and [the] name of gods other not you will bring to remembrance not it will be heard on mouth your.
“Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.
14 Three feet you will celebrate a festival to me in the year.
“Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.
15 [the] festival of The unleavened bread you will keep seven days you will eat unleavened bread just as I commanded you to [the] appointed time of [the] month of Abib for in it you came out from Egypt and not they will present themselves face my empty.
“Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri. “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.
16 And [the] festival of the harvest [the] first-fruits of work your which you will sow in the field and [the] festival of the ingathering when goes out the year when gathering you work your from the field.
“Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako. “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.
17 Three times in the year he will present himself every male your to [the] presence of the lord - Yahweh.
“Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za Bwana Mwenyezi.
18 Not you must sacrifice with leaven [the] blood of sacrifice my and not it will remain overnight [the] fat of festival sacrifice my until morning.
“Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu. “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.
19 [the] beginning of [the] first-fruits of Ground your you will bring [the] house of Yahweh God your not you must boil a kid in [the] milk of mother its.
“Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya Bwana Mungu wako. “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
20 Here! I [am] about to send an angel before you to guard you on the journey and to bring you into the place which I have prepared.
“Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.
21 Take care from before him and listen to voice his may not you cause bitterness in him for not he will forgive to transgression your for name my [is] within him.
Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.
22 That except carefully you will listen to voice his and you will do all that I will say and I will be an enemy to enemies your and I will be a foe to opposers your.
Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.
23 For he will go angel my before you and he will bring you to the Amorite[s] and the Hittite[s] and the Perizzite[s] and the Canaanite[s] the Hivite[s] and the Jebusite[s] and I will annihilate it.
Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.
24 Not you must bow down to gods their and not you must be enticed to serve them and not you must make like works their for completely you will tear down them and totally you will shatter into pieces sacred pillars their.
Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.
25 And you will serve Yahweh God your and he will bless food your and water your and I will remove sickness from midst your.
Utamwabudu Bwana Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,
26 Not anyone will be miscarrying and barren in land your [the] number of days your I will complete.
na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.
27 Terror my I will send before you and I will confuse every people which you will go among them and I will give all enemies your to you neck.
“Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.
28 And I will send the hornet before you and it will drive out the Hivite[s] the Canaanite[s] and the Hittite[s] from to before you.
Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.
29 Not I will drive out it from before you in a year one lest it should become the land a waste and it will become many on you [the] animal[s] of the field.
Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.
30 Little little I will drive out it from before you until that you will be fruitful and you will possess the land.
Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.
31 And I will fix border your from [the] sea of reed[s] and to [the] sea of [the] Philistines and from [the] wilderness to the River for - I will give in hand your [the] inhabitants of the land and you will drive out them from before you.
“Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.
32 Not you must make to them and to gods their a covenant.
Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.
33 Not they will dwell in land your lest they should cause to sin you to me for you will serve gods their for it will become for you a snare.
Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”

< Exodus 23 >