< 1 Chronicles 8 >

1 And Benjamin he fathered Bela firstborn his Ashbel the second and Ahrah the third.
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Nohah the fourth and Rapha the fifth.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 And they belonged sons to Bela Addar and Gera and Abihud.
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 And Abishua and Naaman and Ahoah.
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 And Gera and Shephuphan and Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 And these [were] [the] sons of Ehud these they [were the] chiefs of fathers of [the] inhabitants of Geba and people took into exile them to Manahath.
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 And Naaman and Ahijah and Gera he he took into exile them and he fathered Uzzah and Ahihud.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 And Shaharaim he fathered in [the] region of Moab from when sent away he them Hushim and Baara wives his.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 And he fathered from Hodesh wife his Jobab and Zibia and Mesha and Malkam.
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 And Jeuz and Sakia and Mirmah these [were] sons his [the] chiefs of fathers.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 And from Hushim he fathered Abitub and Elpaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 And [the] sons of Elpaal Eber and Misham and Shemed he he built Ono and Lod and daughters its.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 And Beriah and Shema they [were] [the] chiefs of the fathers of [the] inhabitants of Aijalon they they put to flight [the] inhabitants of Gath.
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 And Ahio Shashak and Jeremoth.
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 And Zebadiah and Arad and Eder.
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 And Michael and Ishpah and Joha [were] [the] sons of Beriah.
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 And Zebadiah and Meshullam and Hizki and Heber.
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 And Ishmerai and Izliah and Jobab [were] [the] sons of Elpaal.
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 And Jakim and Zikri and Zabdi.
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 And Elienai and Zillethai and Eliel.
Elienai, Silethai, Elieli,
21 And Adaiah and Beraiah and Shimrath [were] [the] sons of Shimei.
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 And Ishpan and Eber and Eliel.
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 And Abdon and Zikri and Hanan.
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 And Hananiah and Elam and Anthothijah.
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 And Iphdeiah (and Penuel *Q(K)*) [were] [the] sons of Shashak.
Ifdeya na Penueli.
26 And Shamsherai and Shechariah and Athaliah.
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 And Jaareshiah and Elijah and Zikri [were] [the] sons of Jeroham.
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 These [were the] chiefs of fathers to generations their chiefs these they dwelt in Jerusalem.
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 And in Gibeon they dwelt (Jeiel *X*) [the] father of Gibeon and [the] name of wife his [was] Maacah.
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 And son his the firstborn Abdon and Zur and Kish and Baal (and Ner *X*) and Nadab.
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 And Gedor and Ahio and Zeker.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 And Mikloth he fathered Shimeah and also they before relatives their they dwelt in Jerusalem with brothers their.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 And Ner he fathered Kish and Kish he fathered Saul and Saul he fathered Jonathan and Malki-Shua and Abinadab and Eshbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 And [the] son of Jonathan [was] Merib-baal and Merib-baal he fathered Micah.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 And [the] sons of Micah Pithon and Melech and Tarea and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 And Ahaz he fathered Jehoaddah and Jehoaddah he fathered Alemeth and Azmaveth and Zimri and Zimri he fathered Moza.
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 And Moza he fathered Binea Raphah son his Eleasah son his Azel son his.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 And [belonged] to Azel six sons and these [are] names their Azrikam - Bocheru and Ishmael and Sheariah and Obadiah and Hanan all these [were] [the] sons of Azel.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 And [the] sons of Eshek brother his Ulam firstborn his Jeush the second and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 And they were [the] sons of Ulam men mighty of strength [who] bent a bow and [who] had many children and children of children one hundred and fifty all these [were] of [the] descendants of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

< 1 Chronicles 8 >