< Psalms 87 >
1 For the Sons of Korah. A Melody, a Song. His foundation, is in the holy mountains:
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 Yahweh loveth the gates of Zion, More than all the dwellings of Jacob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Glorious things, are to be spoken of thee, O city of God. (Selah)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 I will mention Rahab and Babylon, to them who know me—Lo! Philistia and Tyre with Ethiopia, This one was born there.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 But, of Zion, it shall be said—This man and that were born in her, And the Highest himself shall establish her.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 Yahweh, will record, when he enrolleth the peoples, This one was born there. (Selah)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 As well the singers as the flute-players [are saying], —All my springs, are in thee!
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”