< Psalms 87 >

1 For the Sons of Korah. A Melody, a Song. His foundation, is in the holy mountains:
Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo. Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;
2 Yahweh loveth the gates of Zion, More than all the dwellings of Jacob.
Bwana anayapenda malango ya Sayuni kuliko makao yote ya Yakobo.
3 Glorious things, are to be spoken of thee, O city of God. (Selah)
Mambo matukufu yanasemwa juu yako, ee mji wa Mungu:
4 I will mention Rahab and Babylon, to them who know me—Lo! Philistia and Tyre with Ethiopia, This one was born there.
“Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu na Babeli miongoni mwa wale wanaonikubali mimi: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi, nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’”
5 But, of Zion, it shall be said—This man and that were born in her, And the Highest himself shall establish her.
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6 Yahweh, will record, when he enrolleth the peoples, This one was born there. (Selah)
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7 As well the singers as the flute-players [are saying], —All my springs, are in thee!
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

< Psalms 87 >