< Psalms 46 >

1 To the Chief Musician. For the Sons of Korah, on Alamoth. A Song. God—for us, is a refuge and strength, A help in distresses, soon found.
Mungu kwetu ni kimbilio la usalama na nguvu, upatikanao tele wakati wa mateso.
2 For this cause, will we not fear, Though the earth showeth change, Or the mountains slip into the heart of the seas:
Hivyo hatutaogopa, hata kama dunia italazimika kubadilika, hata kama milima italazimika kutetemeka na kuangukia kwenye mtima wa bahari, hata kama maji yatavuma kwa kishindo kikuu,
3 The waters thereof roar and foam, The mountains tremble with the swelling thereof (Selah)
hata kama milima itatetemeka kwa vurugu ya maji. (Selah)
4 A river! whose channels, shall gladden the city of God, The Most High, hath hallowed his habitation.
Kuna mto, mikondo yake huufanya mji wa Mungu kufurahi, mahali patakatifu pa hema ya Aliye Juu.
5 God, is in the midst of her, she shall not be shaken, God will help her, by the turnings of the morning.
Mungu yuko katikati yake; naye hatasogezwa; Mungu atamsaidia, naye atafanya hivyo asubuhi na mapema.
6 Nations have roared, Kingdoms have tottered, He hath uttered his voice, Earth melteth.
Mataifa yalikasirika na falme zikataharuki; yeye alipaza sauti yake, na nchi ikayeyuka.
7 Yahweh of hosts, is with us, A high tower for us, is the God of Jacob. (Selah)
Yahwe wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. (Selah)
8 Come! view the doings of Yahweh, —Who hath set desolations in the earth;
Njoni, mtazame matendo ya Yahwe, uharibifu alioufanya juu ya nchi.
9 Causing wars to cease unto the end of the earth, —The bow, he shivereth, And breaketh in pieces the spear, war-chariots, burneth he up with fire.
Anaisitisha vita kwenye nchi; yeye anauvunja upinde na kuikata vipande vipande mishale; anazichoma ngao.
10 Let be! and know that, I, am God, I will be exalted among the nations, I will be exalted in the earth.
Mkae kimya na mjue kuwa mimi ni Mungu; nitainuliwa juu ya nchi.
11 Yahweh of hosts, is with us, A high tower for us, is the God of Jacob. (Selah)
Mungu wa majeshi yuko pamoja nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu la usalama. Serah

< Psalms 46 >