< Psalms 135 >
1 Praise ye Yah, Praise ye the Name of Yahweh, Praise, O ye servants of Yahweh;
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 Who stand In the house of Yahweh, In the courts of the house of our God.
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Praise ye Yah, For good is Yahweh, Sing praises to his Name, For it is full of delight;
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 For, Jacob, hath Yah chosen for himself, Israel, for his own treasure.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 For, I, know that great is Yahweh, yea, our Lord, is beyond all gods.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Whatsoever Yahweh hath pleased, he hath done, —in the heavens and on the earth, in the seas, and all resounding deeps:
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Causing vapours to ascend from the end of the earth, —Lightnings for the rain, hath he made, bringing forth wind out of his treasuries.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 Who smote the firstborn of Egypt, both of man, and of beast;
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 Sent signs and wonders into thy midst, O Egypt, upon Pharaoh, and upon all his servants.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 Who smote great nations, and slew mighty kings:
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sihon, king of the Amorites, and Og, king of Bashan, and all the kingdoms of Canaan;
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 And gave their land as an inheritance, an inheritance to Israel his people.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 O Yahweh! thy Name, is age-abiding, —O Yahweh! thy memorial, is to generation after generation.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 For Yahweh will vindicate his people, —and, on his servants, have compassion.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 The idols of the nations, are silver and gold, the work of the hands of men:
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 A mouth, have they, but they speak not, Eyes, have they, but they see not;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 Ears, have they, but they hear not, Nose, —there is no breath in their mouth.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Like unto them, shall be they who make them, every one who trusteth in them.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 O house of Israel! bless Yahweh, O house of Aaron! bless Yahweh;
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 O house of Levi! bless Yahweh, Ye that revere Yahweh! bless Yahweh.
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Blessed be Yahweh out of Zion, Who inhabiteth Jerusalem, Praise ye Yah!
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.