< Psalms 120 >

1 A Song of Ascents. Unto Yahweh, in the distress that befell me, I cried—and he answered me.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 O Yahweh! rescue thou my soul—from the false lip, from the deceitful tongue.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 What shall be given to thee, and what shall be added to thee, thou deceitful tongue?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 The arrows of the hero sharpened, with burning coals of broom.
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Woe is me, That I sojourn in Meshek, —That I abide near the tents of Kedar!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Long, hath my soul had her dwelling with him that hateth peace:
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 I, am for peace, and verily I speak, They, are for war!
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.

< Psalms 120 >