< Micah 5 >
1 Meanwhile, shalt thou gather together in troops, thou daughter of a troop, siege, hath he laid against us, —with a sceptre, will they smite on the cheek, the judge of Israel!
Sasa njoni pamoja katika safu ya kupigana, binti wa maaskari; maaskari wameuzingira mji, kwa ufito watampiga mwamuzi wa Israeli kwenye shavu.
2 Thou, therefore, Bethlehem Ephrathah, though, little, to be among the thousands of Judah, out of thee, shall Mine come forth, to be ruler in Israel, —whose comings forth, have been from of old, from the days of age-past time.
Lakini wewe, Bethlehemu Efrata, hata kama uko mdogo miongoni mwa koo za Yuda, kutoka kweko mmoja atakuja kwangu kutawala Israeli, ambaye mwanzo wake ni kutoka nyakati za kale, toka milele.
3 Therefore, will he give them up, until the time when, one who is to bring forth, hath brought forth, —and, the remainder of his brethren, return unto the sons of Israel.
Kwa hiyo Mungu atawapa, hata mda wa yeye aliye katika uchungu kuzaa mtoto, na mabaki ya ndugu zake yatawarudia wana wa Israeli.
4 Then shall he stand, and tend his flock in the strength of Yahweh, In the excellency of the name of Yahweh his God, have they endured, —For, now, shall he be great unto the ends of the earth;
Atasimama na kuchunga kundi lake kwa nguvu za Yahwe, kwa ukuu wa enzi ya jina la Yahwe Mungu wake. Watabaki, kwa kuwa atakuwa mashuhuri hata mwisho wa dunia.
5 So shall this one be Prosperity. As for Assyria—when he shall enter our land, and when he shall tread down in our palaces, then will we raise up against him, seven shepherds, and eight princes of mankind.
Atakuwa amani yetu. Wakati Waashuru watakapokuja kwenye nchi yetu, wakati wakitembea dhidi ya boma yetu, kisha kisha tutainuka juu yao wachungaji saba na viongozi nane juu ya watu.
6 Then shall they shepherd the land of Assyria with the sword, and the land of Nimrod in the entrances thereof, —So shall he deliver from Assyria, when he shall enter our land, and when he shall tread down within our bounds.
Watachunga nchi ya Ashuru kwa upanga, na nchi ya Nimrodi katika malango yake. Atatuokoa kutoka kwa Waashuru, watakapokuja kwenye nchi yetu, watakapoingia kwenye mipaka yetu.
7 And, the remnant of Jacob, shall be, in the midst of many peoples, as dew from Yahweh, as myriad drops on plants, —which tarrieth not for man, nor waiteth for the sons of Adam.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa katika kabila za watu wengi, kama umande utokao kwa Yahwe, kama manyunyu kwenye majani, ambayo hayamsubiri mtu, na hayawasubiri watoto wa mwanadamu.
8 And, the remnant of Jacob, shall be among the nations, in the midst of many peoples, as a lion among the beasts of the jungle, as a young lion among flocks of sheep, —who, if he passeth by, both treadeth down—and teareth in pieces, and none can deliver.
Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa, miongoni mwa watu wengi, kama simba katikati ya kundi la kondoo. wakati akipita katikati yao, atawakanyaga juu yao na kuwachachana kuwa vipande vipande, na hakutakuwa na mtu wa kuwaokoa.
9 Let thy hand be uplifted against thine adversaries, —and, all thine enemies, shall be cut off.
Mkono wako utainuliwa dhidi ya maadui zako, na utawaharibu.
10 And it shall come to pass, in that day, Declareth Yahweh, That I will cut off thy horses out of thy midst, —and will destroy thy chariots;
“Itatokea siku hiyo,” asema Yahwe, “kwamba nitawaharibu farasi wako kutoka miongoni mwenu na nitayavunja magari yako ya farasi.
11 And will cut off the cities of thy land, —and will pull down all thy fortresses;
Nitaiharibu miji katika nchi yako na kuzingusha ngome zako zote.
12 And will cut off incantations, out of thy hand, —and, users of hidden arts, shalt thou not have;
Nitauharibu uchawi kwenye mkono wako, na hakutakuwa na waaguzi tena.
13 And I will cut off thine images and thy pillars out of thy midst, —and thou shalt not bow thyself down, any more, to the work of thine own hands;
Nitaziaharibu sanamu zako za pango na nguzo za mawe kutoka miongoni mwako. Hautaabudu tena ustadi wa mikono yako.
14 And I will uproot thy Sacred Stems out of thy midst, —and will destroy thy cities:
Nitazin'goa nguzo zako za Ashera kutoka miongoni mwenu, na nitaiharibu miji yenu.
15 Then will I execute, with anger and with indignation, vengeance upon the nations, —of which they have not heard.
Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayakusikiliza.”