< Isaiah 23 >

1 The oracle on Tyre, —Howl! ye ships of Tarshish, For it is laid too waste to be a haven to enter, From the land of Cyprus, hath it been unveiled to them.
Tamko kuhusu Tiro, Ombolezeni, enyi kondoo wa Tarishishi;
2 Be dumb, ye inhabitants of the Coast, —Whom the merchants of Zidon, passing over the sea, once replenished;
maana hakuna nyumba wala bandari; kutoka katika nchi ya Kyprusi wamefunuliwa hilo.
3 Yea on mighty waters, was the grain of Shihor, The harvest of the Nile, was her increase, —And so she became a mart of nations.
Na juu ya maji mengi ni nafaka za shiho, mazao ya Nile, na uzalishaji wao; mlikuwa wafanya biashara wa kimataifa.
4 Turn thou pale, O Zidon, For spoken hath the sea, the fortress of the sea saying, —I have neither been in pangs nor given birth I have neither brought up young men nor promoted virgins.
Kuwa na aibu, Sidoni; maana bahari imenena, mkuu wa bahari. Amesema, ''Sijafanya kazi wala kuzaa wala kukuza vijana wadogo wala kuwalea mabinti.
5 Like the report of Egypt, They shall be in pangs at the like report of Tyre.
''Pale taarifa ilipofika Misri, watauzunika kuhusu Tire.
6 Pass ye over to Tarshish, —Howl ye inhabitants of the Coast:
Katiza juu ya Tarshishi; Ole wenu, enyi wakazi wa pwani.
7 Is this to you an exultation? Though from ancient days, is her antiquity, Yet shall her own feet carry her away, far off to dwell.
Je hili limeshawahi kuwatokea, mji wenye furaha, ambao kwa asili yake umetoka katika kipindi cha kale. Ambapo miguu yake imempeleka mbali kuishi kwenye maeneo ya ugenini?
8 Who hath purposed this, against Tyre, The bestower of crowns, —Whose merchants are princes, Her traders the honourable of the earth?
Ni nani aliyepanga haya dhidi ya Tire, mtoa mataji, ambao wafanyabiashara wake ni wakuu, ambao wafanyabiashara ni watu wa kuheshimika duniani?
9 Yahweh of hosts, hath purposed it, —To humble the pride of all beauty, To make of little esteem all the honourable of the earth.
Yahwe wa majeshi amepanga kuharibu kiburi chake na utukufu wake, na kuwahaibisha waheshimiwa wote wa dunia.
10 Pass through thy land as the Nile, —O daughter of Tarshish, there is no restraint any longer!
Lima katika shamba lako, kama mtu alimavyo Nile, ewe binti Tarishishi. Maana hakuna tena eneo la soko huko Tite.
11 His hand, hath he stretched out over the sea, He hath shaken kingdoms, —Yahweh, hath given command against the Phoenician coast, To destroy her fortresses.
Yahwe amenyoosha mkono wake juu ya bahari, na ametingisha falme; na amepewa amri juu ya Fonensia, kuziharibu ngome.
12 Therefore hath he said, —No more, again, do thou exult, Thou violated virgin daughter of Zidon, —To Cyprus, arise and pass over, Even there, shall one find thee no rest.
Amesema, ''Hamtofurahia tena, binti bikira wa Sidoni uliyenyanyasika; nyanyuka, pitia Kyprusi; lakini wala hapatakuwa na punziko.''
13 Lo! the land of the Chaldeans, This is the people that was not, Assyria, founded it for the inhabitants of the desert, —They set up its siege-towers, They demolished its palaces Made it a ruin!
Tazama nchi ya Wakaldayo. Hawa watu wamesitisha kuishi pale; Waasiria wamelifanya jangwa la wanyama pori. Wameizingira minara; wameliharibu eneo lao; wamelifanya kuwa chungu cha uharibifu.
14 Howl, ye ships of Tarshish, —For laid waste is your fortress.
Omboleza ewe kondoo wa Tarishishi; maana kimbilio lako limeharibiwa.
15 So shall it be in that day, That Tyre shall be forgotten seventy years, According to the days of a certain king: At the end of seventy years, shall it befall Tyre according to the song of the harlot:
Katika siku hiyo, Tire itasaulika kwa miaka sabini, kama siku za mfalme. Baada ya miaka sabini kuisha huko Tire kutatokea kitu kama wimbo wa malaya.
16 Take thou a lyre, Go round the city, O harlot forgotten, —Sweetly touch the strings Lengthen out the song, That thou mayest be called to mind.
Chukua kinubi, nenda zunguka mji, mmewasahau malaya; cheza kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi, ili uweze kukumbuka.
17 So shall it be, at the end of seventy years, That Yahweh will visit Tyre, And she will return to her hire, —Yea she will play the harlot—with all the kingdoms of the earth, upon the face of the ground.
Itatokea baada ya miaka sabini, Yahwe ataisaidia Tire, na wataanza kututafuta pesa tena kwa kufanya kazi ya umalaya, na atafanya utumishi wake katika falme za dunia.
18 But her merchandise and her hire, shall be hallowed unto Yahweh, It shall not be stored up, nor hoarded, —For, to them who dwell before Yahweh, shall her merchandise belong, That they may eat to satisfaction And have stately apparel.
Faida yake na mapato yake yatatengwa kwa ajili ya Yahwe. Hayatahifadhiwa wala hayatakuwa na hazina, maana faida yao watapewa wale wanoishi mdhebauni mwa Yahwe na yatatumika kuwasambazia chakula cha kutosha na kupata mavazi yenye viwango bora.

< Isaiah 23 >