< Isaiah 20 >
1 In the year that Tartan entered Ashdod, when Sargon king of Assyria, sent him, —and he fought against Ashdod and captured it, —
Katika mwaka ambao Tartani alipofika kwa Ashdodi, alipotumwa na Sarjoni mfalme wa Asiria, nae akapigana na Ashdodd na akachukua.
2 At that time, spake Yahweh, through Isaiah son of Amoz, saying, Go, and loose the sackcloth from off thy loins, And thy sandal, draw thou off from thy foot, —And he did so, walking disrobed and barefoot.
Mda huo Yahwe alizungumza na Isaya mwana wa Amozi, ''Nenda ukaondoe nguo za magunia katika kiuno chako, na ondoeni viatu vyenu kwenye miguu.'' Alifanya hivyo, tembeeni uchi na miguu wazi.
3 Then said Yahweh, —As my servant Isaiah, hath walked, disrobed and barefoot three years as a sign and a wonder against Egypt and against Ethiopia,
Yahwe asema, ''Kama ilivyokuwa kwa mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na pasipo kuvaa viatu kwa miaka mitatu, ni ishara na dalili kuhusu Misri na kuhusu Ethiopia—
4 So, shall the king of Assyria lead away the captives of Egypt and the exiles of Ethiopia young and old disrobed and barefoot, with their persons behind Uncovered the shame of Egypt.
katika njia hii mfalme wa Asiria atawaongoza mateka wa Misri, na walioko uhamishoni Ethiopia, watoto kwa wazee, waliouchi na wasio na viatu, na ambao hawajajisitiri kuiweka Misri katika aibu.
5 Thus shall they be confounded and turn pale, —For Ethiopia, their expectation, and For Egypt their boast;
Watafadhaika na kuona aibu, kwa sababu ya Ethiopia ni matumaini yao na Misri ni utukufu wao.
6 And the inhabitant of this shore, shall exclaim, in that day, Lo! such, is our expectation, whereunto we fled for help, that we might be delivered from the presence of the king of Assyria! How then shall, we, escape?
Wenyeji wa pwani hiiwatasema siku hiyo, 'Kweli, hichi ndicho chanzo chetu cha matumaini, tulipokimbilia kuhitaji msaada kutoka kwa mfalme wa Asiria, je ni kwa jisi gani tunaweza kupona?''