< Esther 3 >
1 After these things, did King Ahasuerus promote to power Haman son of Hammedatha the Agagite, and exalted him, —and placed his seat above all the rulers who were with him.
Baada ya mambo haya, Mfalme Ahusiero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hammedatha mwagagi, na akaweka kiti chake cha ukuu juu ya wakuu wote waliokuwa pamoja naye.
2 And, all the kings servants who were in the kings gate, used to bend and bow themselves down unto Haman, for, so, had the king given command concerning him, —but, Mordecai, bent not nor bowed himself down.
Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme walipaswa kupiga magoti na kusujudia Hamani, kama mfalme alivyoagiza. Lakini Modekai hakupiga magoti wala kusujudu mbele ya Hamani.
3 Then said the king’s servants who were in the king’s gate unto Mordecai, —
Kisha watumishi wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimwambia Modekai, kwa nini hautii amri ya mfalme?
4 Wherefore art, thou, transgressing the command of the king? And it came to pass, when they had spoken unto him day by day, and he had not hearkened unto them, that they told Haman, to see whether the account of Mordecai would stand, for he had told them, that, he, was a Jew.
Walisema naye siku kwa siku, lakini alikataa kufuata matakwa yao. Hivyo wakaongea na Hamani kuona kama swala la Modekai lingebaki hivyo alikuwa amewataarifu kuwa Modekai alikuwa Muyahudi.
5 And, when Haman saw that Mordecai did not bend nor bow down unto him, then was Haman filled with wrath;
Hamani alipoona kuwa Modekai hapigi magoti wala kumsujudia, alipatwa na hasira.
6 but, it was contemptible in his eyes, to thrust forth a hand on Mordecai alone, for they had told him of the people of Mordecai, —and Haman sought to destroy all the Jews who were throughout all the kingdom of Ahasuerus, the people of Mordecai.
Alikuwa na wazo la kumuua Modekai, watumishi wa mfalme walikuwa wamemueleza kuwa Modekai na jamaa zake walikuwa Wayahudi. Hamani akaazimu kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa Modekai, ambao walikuwa katika ufalme wa Ahusiero.
7 In the first month—the same, was the month Nisan, in the twelfth year of king Ahasuerus, was Pur cast—the same, is the Lot, before Haman, from day to day, and from month to month, —and the lot fell on the thirteenth day of the twelfth month, the same, is the month Adar.
Katika mwezi wa kwanza, (ambao ni mwezi wa Nisani) ndani ya mwaka wa kumi na mbili wa Mfalme Ahusiero, walipiga kura mbele ya Hamani kura kila siku na mwezi, kuchagua siku na mwezi hadi walipochagua mwezi wa kumi na mbili, (mwezi wa Adari.
8 Then said Haman unto King Ahasuerus, There is a certain people, scattered abroad and dispersed among the peoples, throughout all the provinces of thy kingdom, —whose laws, are diverse from every people, and, the laws of the king, they observe not, for the king, therefore, it is not fit, to suffer them.
Kisha Hamani akamwambia mfalme Ahusiro, “kuna watu fulani katika majimbo yote ya ufalme wako wasiofuata sheria zako. Na kwa tabia yao ya kutofuata sheria zako hawapasi kuendelea kuwa hai.
9 If, unto the king, it seem good, let it be written, to destroy them, —and, ten thousand talents of silver, will I weigh out upon the hands of them who are doing the business, to bring [it] into the treasuries of the king.
Kama ikimpendeza mfalme, toa amri watu hawa wote wakatiliwe mbali, nami nitapima talanta elfu kumi za fedha katika mikono ya wale ambao ni wasimamizi wa maswala ya mfalme, ili kwamba waweke katika hazina ya mfalme.”
10 So then the king took his signet-ring from off his hand, and gave it unto Haman son of Hammedatha the Agagite, the adversary of the Jews;
Ndipo mfamle akavua pete yake ya muhuri na kumpa Hamani, adui wa Wayahudi.
11 and the king said unto Haman, The silver, is granted thee, —and the people, to do with them, as may seem good in thine eyes.
Mfalme akamwambia Hamani, “Nitahakikisha kwamba fedha inarudi kwako na kwa watu wako. Ili muitumie kama mpendavyo.”
12 Then were called the scribes of the king, in the first month, on the thirteenth day therein, and it was written according to all that Haman commanded unto the satraps of the king, and unto the pashas, who were over every province, and unto the rulers of every people, every province according to the writing thereof, and every people according to the tongue thereof, —in the name of King Ahasuerus, was it written, and sealed with the signet- ring of the king.
Kisha waandishi wa mfalme walikusanyika katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza, na mbiu iliyokuwa na matakwa ya Hamani yalikuwa yameandikwa na kupelekwa kwa wasimamizi wa majimbo, na wale wote waliokuwa juu ya wasimamizi wa majimbo yote, na wasimamizi wa watu, na kwa kila jimbo kwa andiko lao, na kila watu na lugha yao. Mbiu hii ilikuwa imeandikwa kwa jina la mfalme Ahusiero na kupigwa muhuri wa pete yake.
13 Then were sent letters, by the hand of the runners, into all the provinces of the king, To destroy, to slay and to cause to perish all Jews, both young and old, little ones and women, in one day, on the thirteenth of the twelfth month, the same, is the month Adar, —and the spoil of them to be a prey.
Barua hizi za kutaka kuwakatilia mbali Wayahudi wote zilizambazwa katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kuangamiza, kuua na kuwaharibu Wayahudi wote, tangu mdogo hadi mkubwa, watoto na wanawake, ndani ya siku moja katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari) na kuteka mali zo.
14 A copy of the writing, to be delivered as an edict throughout every province, was published to all the peoples, —that they should be ready against this day.
Nakala ya ilifanywa kuwa sheria na kupelekwa kila jimbo. Taarifa juu ya maangamizi ya Wayahudi ilienea katika kila jimbo kwamba watu wote wajiandae katika siku hiyo.
15 The runners, went forth, urged on by the word of the king, and, the edict, was given in Shusan the palace, —and, the king and Haman, sat down to drink, but, the city of Shusan, was perplexed.
Wasambazajia walisambaza agizo la mfalme. Tangazo hili pioa lilitolewa na kusambazwa katika mji wa Shushani. Mfalme alikuwa na Hamani walikaa na kunywa, lakini mji wa Shushani, lakini mjiwa Shushani ulikuwa katika uangamivu.