< 1 Chronicles 8 >
1 And, Benjamin, begat Bela his firstborn, —Ashbel, the second, and Aharah, the third, —
Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,
2 Nohah, the fourth, and Rapha, the fifth.
Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.
3 And Bela had sons—Addar, and Gera, and Abihud, —
Wana wa Bela walikuwa: Adari, Gera, Abihudi,
4 and Abishua, and Naaman, and Ahoah, —
Abishua, Naamani, Ahoa,
5 and Gera, and Shephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani na Huramu.
6 And, these, are the sons of Ehud, —these, are the ancestral chiefs to the inhabitants of Geba, but they were carried away captive, unto Manahath;
Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:
7 and, as for Naaman and Ahijah and Gera, the same, carried them captive, —and he begat Uzza and Ahihud.
Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.
8 And, Shaharaim, begat children in the field of Moab, after he had sent away Hushim and Baara his wives.
Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.
9 Then begat he, of Hodesh his wife, —Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam;
Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,
10 and Jeuz, and Sachia, and Mirmah, —these, were his sons, ancestral chiefs.
Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.
11 And, of Hushim, he begat Abitub, and Elpaal.
Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.
12 And, the sons of Elpaal, Eber, and Misham, and Shemed, —he, built Ono, and Lod, and the villages thereof.
Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),
13 And, as for Beriah and Shema, they, were ancestral chiefs to the inhabitants of Aijalon, —they, put to flight the inhabitants of Gath;
na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.
14 and Ahio, Shashak, and Jeremoth, —
Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,
15 and Zebadiah, and Arad, and Eder, —
Zebadia, Aradi, Ederi,
16 and Michael, and Ishpah, and Joha, sons of Beriah, —
Mikaeli, Ishpa, na Yoha.
17 and Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber, —
Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,
18 and Ishmerai, and Izliah, and Jobab, sons of Elpaal, —
Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.
19 and Jakim, and Zichri, and Zabdi—
Yakimu, Zikri, Zabdi,
20 and Elienai, and Zillethai, and Eliel, —
Elienai, Silethai, Elieli,
21 and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, sons of Shimei, —
Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.
22 and Ishpan, and Eber, and Eliel, —
Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,
23 and Abdon, and Zichri, and Hanan, —
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Hananiah, and Elam, and Anthothijah, —
Hanania, Elamu, Anthothiya,
25 and Iphdeiah, and Penuel, sons of Shashak, —
Ifdeya na Penueli.
26 and Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah, —
Shamsherai, Sheharia, Athalia,
27 and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri, sons of Jeroham:
Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.
28 these, were ancestral chiefs to their generations, chief men, —these, dwelt in Jerusalem;
Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.
29 And, in Gibeon, dwelt the father of Gibeon [Jeiel], the name of whose wife, was Maacah, —
Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka.
30 and his firstborn son, Abdon, and Zur and Kish, and Baal and Ner and Nadab, —
Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,
31 and Gedor, and Ahio, and Zecher.
Gedori, Ahio, Zekeri,
32 And, Mikloth, begat Shimeah, —moreover also, they, over against their brethren, did dwell in Jerusalem, with their own brethren.
na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.
33 So then, Ner, begat Kish, and, Kish, begat Saul, —and, Saul, begat Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.
Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.
34 And, the son of Jonathan, was Merib-baal, —and, Merib-baal, begat Micah.
Yonathani akamzaa: Merib-Baali, naye Merib-Baali akamzaa Mika.
35 And, the sons of Micah, were Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.
Wana wa Mika walikuwa: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.
36 And, Ahaz, begat Jehoaddah, and, Jehoaddah, begat Alemeth, and Azmaveth, and Zimri, —and, Zimri, begat Moza;
Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.
37 and, Moza, begat Binea, —Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son.
Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.
38 And, Azel, had six sons, and, these, were their names—Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obediah, and Hanan and Asah, —all these, were sons of Azel.
Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.
39 And, the sons of Eshek his brother, were Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.
40 And the sons of Ulam became men that were heroes of valour, archers, with many sons, and sons’ sons, a hundred and fifty. All these, were of the sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150. Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.