< Job 16 >
1 Then Job answered and said,
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 I have heard many such things: miserable comforters are ye all.
“Mimi nimevisikia vitu hivyo vingi; ninyi nyote ni wafariji wenye kuhuzunisha.
3 Shall vain words have an end? or what provoketh thee that thou answerest?
Maneno yenye upuuzi daima yanaweza kuwa na mwisho? Nini kimeharibika kwenu kwamba mnajibu kama hivi?
4 I also could speak as ye do; if your soul were in my soul’s stead, I could join words together against you, and shake mine head at you.
Mimi pia ningeweza kuzungumza kama ninyi mnavyofanya, kama ninyi mngekuwa katika nafasi yangu; Mimi ningekusanya na kuunganisha maneno pamoja dhidi yenu na kutikisa kichwa changu kwenu ninyi katika dhihaka.
5 [But] I would strengthen you with my mouth, and the solace of my lips should assuage [your grief].
Laiti, jinsi gani Mimi ningewatia moyo na midomo yangu! Jinsi gani faraja kutoka midomo yangu ingenga'risha huzuni yenu!
6 Though I speak, my grief is not assuaged: and though I forbear, what am I eased?
Ikiwa Mimi ninazungumza, kuomboleza kwangu hakujasikilizwa; Ikiwa nikiendelea katika kuzungumza, jinsi gani mimi ninaidiwa?
7 But now he hath made me weary: thou hast made desolate all my company.
Lakini sasa, Mungu,
8 And thou hast laid fast hold on me, [which] is a witness [against me]: and my leanness riseth up against me, it testifieth to my face.
wewe umenifanya mimi kuchoka; wewe umeifanya familia yangu yote kuwa ukiwa. Wewe umenifanya mimi kukauka, ambayo yenyewe ni ushuhuda dhidi yangu mimi; kukonda kwa mwili wangu huinuka dhidi yangu, na kunashuhudia dhidi ya macho yangu.
9 He hath torn me in his wrath, and persecuted me; he hath gnashed upon me with his teeth: mine adversary sharpeneth his eyes upon me.
Mungu amenirarua mimi katika ghadhabu yake na amenitesa mimi; Yeye amenisaga mimi kwa meno yake; Adui yangu amenikazia macho yake juu yangu kama yeye anavyonirarua mimi vipande.
10 They have gaped upon me with their mouth; they have smitten me upon the cheek reproachfully: they gather themselves together against me.
Watu wameachama na midomo iliyowazi juu yangu; wamenipiga mimi katika shavu kwa kunitukana; wamekusanyika pamoja kinyume changu mimi.
11 God delivereth me to the ungodly, and casteth me into the hands of the wicked.
Mungu amenikabidhi mimi juu ya watu wasio mcha Mungu, na kunitupa mimi ndani ya mikono ya watu waovu.
12 I was at ease, and he brake me asunder; yea, he hath taken me by the neck, and dashed me to pieces: he hath also set me up for his mark.
Mimi nilikuwa katika wepesi, na yeye amenivunjavunja mimi vipande. Hakika, amenichukua mimi kwa shingo na ameniponda mimi vipande vipande; yeye pia ameniweka mimi juu kama shabaha yake.
13 His archers compass me round about, he cleaveth my reins asunder, and doth not spare; he poureth out my gall upon the ground.
Wapiga upinde wake wote wamenizunguka mimi; Mungu huzikata vipande vipande figo zangu, na haniokoi mimi; yeye humwaga nje nyongo yangu juu ya ardhi.
14 He breaketh me with breach upon breach; he runneth upon me like a giant.
yeye hukanyaga kanyaga kupitia ukuta wangu tena na tena; yeye hukimbia juu yangu mimi kama shujaa.
15 I have sewed sackcloth upon my skin, and have laid my horn in the dust.
nguo ya magunia juu ya ngozi yangu; Mimi nimeisukuma kwa nguvu pembe yangu ndani ya ardhi.
16 My face is foul with weeping, and on my eyelids is the shadow of death;
Uso wangu ni mwekundu na kuomboleza; juu ya ngozi inayofunika macho kuna kivuli cha mauti
17 Although there is no violence in mine hands, and my prayer is pure.
ingawa hakuna dhuluma katika mikono yangu, na kuomba kwangu ni safi.
18 O earth, cover not thou my blood, and let my cry have no [resting] place.
Nchi, haifuniki juu damu yangu mimi; acha kulia kwangu kuwe hakuna mahali pa kupumzika.
19 Even now, behold, my witness is in heaven, and he that coucheth for me is on high.
Hata sasa, tazama, ushuhuda wangu uko mbinguni; yeye ambaye ashuhudiaye kwa ajili yangu mimi yuko juu.
20 My friends scorn me: [but] mine eye poureth out tears unto God;
Rafiki zangu wananicheka kwa dharau, lakini jicho langu linamwaga machozi kwa Mungu.
21 That he would maintain the right of a man with God, and of a son of man with his neighbour!
Mimi ninaomba ule ushuhuda ulioko mbinguni kumtetea mtu huyu na Mungu kama mwanadamu afanyavyo na jirani yake.
22 For when a few years are come, I shall go the way whence I shall not return.
Kwa maana wakati miaka michache itakapokuwa imepita, Mimi nitakwenda mahali ambapo mimi sitaweza kurudi.