< Micah 2 >
1 Woe to them that devise iniquity, And contrive evil upon their beds; When the morning is light, they practise it, Because it is in the power of their hand.
Ole wao wale wanao wanaokusudia mabaya, kwa wale wanaokusudia kwenye vitanda vyao kufanya maovu. Katika asubuhi wanayafanya kwa sababu wana nguvu.
2 They covet fields, and take them by violence; Houses, and take them from their owners. They defraud a man of his house; Yea, a man of his inheritance.
Wanatamani mashamba na kuyapunguza; wanazitamani nyumba na kuzichukua. Wanadhulumu mtu na nyumba yake, mtu na urithi wake.
3 Therefore, thus saith Jehovah: Behold, against this race do I meditate evil. From which ye shall not remove your necks, nor lift up your heads; For it shall be a time of evil.
Kwa hiyo Yahwe asema hivi, “Tazama, nakaribia kuleta janga dhidi ya huu ukoo, ambalo hamtazitoa shingo zenu. Hamtatembea kwa kiburi, kwa kuwa itakuwa wakati wa uovu.
4 In that day shall this song be uttered concerning thee. And this sad lamentation be made: “We are utterly laid waste; He hath changed the portion of my people; How hath he torn it from me! He hath taken away and distributed our fields.”
Katika siku hiyo maadui zako wataimba wimbo kuhusu wewe, na kuomboleza kwa maombolezo ya huzuni. Wataimba, 'Sisi Waisraeli tumeangamizwa kabisa; Yahwe hubadilisha eneo la watu wangu. Je ataliondoaje kutoka kwangu? Huwagawia mshamba yetu kusaliti.”'
5 Behold, thou shalt have no one henceforth Who shall draw out a line for a portion, In the congregation of Jehovah.
Kwa hiyo, ninyi watu matajiri hamtakuwa uzao kugawanya eneo kwa kupiga kura katika mkutano wa Yahwe.
6 “Prophesy not,” [[say they, ]] “O ye that prophesy!” If they prophesy not concerning these things, The shame will not depart.
“Msitabiri,” wanasema. “Hawatayatabiri haya mambo; lawama hazitakuja.”
7 O ye that are called the house of Jacob, Is the spirit of Jehovah impatient? Are these his doings? Are not my words kind to him that walketh uprightly?
Je litasemwa kweli, nyumba ya Yakobo, “je Roho ya Yahwe? Je haya ni matendo yake kweli?” Maneno yangu hayafai kwa kila mmoja atembeaye kwa unyoofu?
8 But long since hath my people risen against me, as an enemy; Ye strip the mantle from the garment of those that pass by securely, as men returning from war.
Hivi karibuni watu wangu wameinuka kama adui. Mmelivua joho, nguo, kutoka wale wapitao wasioshutumiwa, kama maaskari kurudi kutoka kwenye vita kwa kile wakifikiriacho ni salama.
9 The women of my people ye cast out from their pleasant abodes; Ye deprive their children forever of the glory which I gave them.
Mnawaendesha wanawake wangu kwa watu wangu kutoka kwenye nyumba nzuri; mnachukua baraka kutoka kwa watoto wao wadogo daima.
10 Arise and depart; This land is not your rest! On account of its pollution shall it be wasted, And given to utter destruction.
Inukeni na muondoke, kwa kuwa hii sio sehemu ambayo mnaweza kuishi, kwa sababu ya unajisi wake; imeangamizwa kwa maangamizo kabisa.
11 If a man follow wind, and invent falsehood, and say, “I will prophesy to thee of wine and strong drink!” He will be the prophet for this people.
Kama mtu akija kwenu katika roho ya uongo na kudanganya na kusema, “Nitatabiri kwenu kuhusu mvinyo na kilevi kikali,” angeweza kufikiriwa kuwa nabii kwa ajili ya hawa watu.
12 Yet will I fully gather thee, O Jacob, I will surely assemble the residue of Israel! I will put them together like sheep in a fold; Like a flock in their fold shall they be in a tumult on account of the multitude of men.
Nitawaleta pamoja wote hakika, Yakobo. Hakika nitawakusanya mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo katika zizi, kama kundi la wanyama katika malisho. Kutakuwa na kelele kwasababu ya wingi wa watu.
13 He that forceth a way goeth before them; They force their way, and pass through the gate, And go forth by it; And their king goeth before them, Even Jehovah at the head of them.
Mtu avunjaye hufungua njia zao kwa ajili yao kwenda mbele yao. Wamebomoa kupitia lango na kutoka nje; mfalme wao atapita mbele yao. Yahwe atakuwa mbele yao.