< Joel 2 >

1 Blow ye the trumpet in Zion; Sound an alarm in my holy mountain! Let all the inhabitants of the land tremble! For the day of Jehovah cometh, for it is near!
Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
2 A day of darkness, and gloominess, A day of clouds, and thick darkness. As the morning light spreadeth itself upon the mountains, There cometh a numerous people and a strong; Like them there have been none of old time, And after them there shall not be, Even to the years of many generations.
Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
3 A fire devoureth before them, And behind them a flame burneth; The land is as the garden of Eden before them. And behind them a desolate wilderness! Yea, nothing escapeth them.
Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
4 Their appearance is like the appearance of horses, And like horsemen do they run;
Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
5 Like rattling chariots they leap on the tops of the mountains; Like the crackling flame of fire, which devoureth stubble; Like a mighty host set in battle array.
Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
6 Before them the people tremble, And all faces gather blackness.
Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
7 They run like mighty men; They climb the wall like warriors; They march every one on his way; They change not their paths.
Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
8 One doth not thrust another; They march every one in his path, And though they rush among weapons, they are not wounded.
Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
9 They run through the city; They run upon the wall; They go up into the houses; They enter in at the windows, like a thief.
Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
10 The earth quaketh before them, And the heavens tremble; The sun and the moon are darkened, And the stars withdraw their shining.
Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
11 Jehovah uttereth his voice before his army; For very great is his host; Yea, it is mighty, executing his word; The day of Jehovah is great, and very terrible; Who shall be able to bear it?
Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
12 Yet even now, saith Jehovah, Turn ye to me with all your heart, With fasting, with weeping, and with mourning!
“Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
13 And rend your hearts, and not your garments, And turn to Jehovah your God, For he is gracious and merciful, Slow to anger, and of great kindness, And repenteth of a threatened evil.
Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
14 Who knoweth but he will turn and repent, And leave a blessing behind him, Even a flour-offering and a drink-offering for Jehovah your God.
Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
15 Blow ye the trumpet in Zion; Appoint yea fast; proclaim a solemn assembly!
Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
16 Gather the people; appoint a congregation; Assemble the elders; Gather the children and the sucklings! Let the bridegroom come forth from his chamber, And the bride from her nuptial bed!
Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
17 Let the priests, the servants of Jehovah, Weep between the porch and the altar, And say, Spare thy people, O Jehovah, And give not thine inheritance to reproach, And to be a by-word to the nations! Why should they say among the nations, Where is their God?
Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
18 Then will Jehovah be zealous for his land, And have compassion on his people,
Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
19 Yea, Jehovah will answer, and say to his people, Behold, I will send you corn, And new wine, and oil, and ye shall be satisfied therewith; And I will no more make you a reproach among the nations.
Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
20 I will remove far from you the northern host, And I will drive it into a dry and desolate land; Its van toward the Eastern sea, And its rear toward the Western sea. And its scent shall come up, And its ill savor shall come up, Because it hath done great things.
Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
21 Fear not, O land, exult and rejoice, For Jehovah hath done great things!
Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
22 Fear not, O ye beasts of the field, For the pastures of the desert spring up, For the tree beareth its fruit; The fig-tree and the vine yield their strength!
Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
23 And, O ye sons of Zion, exult, And rejoice in Jehovah your God! For he giveth you the former rain in just measure, And causeth showers to come down upon you, Even the former rain, and the latter rain, as aforetime.
Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
24 And the threshing-floors shall be full of wheat, And the vats shall overflow with new wine and oil.
Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
25 And I will restore to you the years Which the swarming-locust hath eaten, The licking-locust, the consuming-locust, and the gnawing-locusts, My great army, which I sent among you.
“Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
26 Ye shall eat in plenty, and be satisfied, And praise the name of Jehovah your God, Who hath dealt wondrously with you; And my people shall never be put to shame.
Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
27 Ye shall know that I am in the midst of Israel, And that I am Jehovah, your God, and none else; And my people shall never be put to shame.
Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
28 And it shall come to pass afterward, That I will pour out my spirit upon all flesh; And your sons and your daughters shall prophesy; Your old men shall dream dreams, Your young men shall see visions.
Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
29 Upon the men-servants also, and upon the handmaids, Will I pour out my spirit in those days.
Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
30 And I will show wonders in the heavens and in the earth; Blood and fire, and pillars of smoke.
Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
31 The sun shall be turned into darkness, And the moon into blood, Before the day of Jehovah cometh, The great and the terrible day. Then whoever calleth on the name of Jehovah shall be delivered;
Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
32 For upon mount Zion, and in Jerusalem, shall be deliverance, As Jehovah hath spoken; And among the remnant, whom Jehovah shall call.
Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.

< Joel 2 >